Umeongea pumbaNilichogundua humu wanaofurahia huo uamuzi ni wavaakobazi ambao shule zao huwa zinashika mkia miaka yote tangu nchi ipate uhuru,pia wanaona wivu na chuki wakiona zile za mtakatifu fulani zimeongoza.kwa kifupi wavaakobazi wamefichiwa aibu.
Katika mashindano yote lazima ajulikane mshindi na aliyepoteza ili mshindi apongezwe aliyepoteza atiwe moyo apambane zaidi.
Inawezekana. Tunaweza kuweka mkakati wa miaka 20 mbele. Kwamba tuanze sasa kutengeneza waalimu watakaoweza kutufanikishia hilo na ndani ya miaka 20 tuwe tayari tupo kwenye right track.Kama tukiamua lugha iwe kiingereza toka chekechea basi walimu wengi sana wa shule za umma itabidi warudi kujifunza hiyo lugha. Walimu wengi hawajui kiingereza, hata wale wa somo la English huwa wanalifundisha kwa kiswahili.
Division nazo zimefutwa? Maana bado watapangwa wa Kwanza mpaka wa mwisho.Sio kweli... kwanz hyo kitu ilkua inapelekea vitendo vingi vya udanganyifu na wizi wa mitihan
Inasaidia niniKwann wasitangaze na mikoa bora? Au napo ni branding ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah. Wengine tuliutafuta uTO kwa udi na uvumba tukachemka.
Darasa letu la form six PCB liligeuka bweni. Watu walihamishia hadi mabegi darasani. Sahani, pasi, ndoo za kuogea zote zilihamia darasani. Hadi mashuka tulikuwa tunafua na kuanikia darasani.
Kuna siku hadi mwalimu alikataa kufundisha maana darasa halikuwa na muonekano wa darasa.
My nigga nigga 😅sing all 🎵Baraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Hapo wanaosoma ni Top cream katika mitihani yaTaifa nchi nzima.Iliboru siyo ya mchezo kabisa. Yaani division 1 zipo 100 na division 2 ipo Moja . Hiyo ni shule hasa
Binafsi bado sijashawishiwa na hizo sababu za kusitisha huo utaratibu, nilitamani wauboreshe badala ya kusitisha.Baraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Acha uongoBaraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Mlitusua sasaDah. Wengine tuliutafuta uTO kwa udi na uvumba tukachemka.
Darasa letu la form six PCB liligeuka bweni. Watu walihamishia hadi mabegi darasani. Sahani, pasi, ndoo za kuogea zote zilihamia darasani. Hadi mashuka tulikuwa tunafua na kuanikia darasani.
Kuna siku hadi mwalimu alikataa kufundisha maana darasa halikuwa na muonekano wa darasa.
Wapo waliotoboa...Mlitusua sasa
1 ya ngapi mwaka gani?Wapo waliotoboa...
Karibu 20 iliyopita.1 ya ngapi mwaka gani?
Oh sawa mkuuKaribu 20 iliyopita.
Na ndiko tunakoelekea. Mpango wa MEWAKA (Mafunzo Endelevu kwa Walimu Kazini) utawaimarisha walimu katika eneo hili la lugha na ufundishaji.Inawezekana. Tunaweza kuweka mkakati wa miaka 20 mbele. Kwamba tuanze sasa kutengeneza waalimu watakaoweza kutufanikishia hilo na ndani ya miaka 20 tuwe tayari tupo kwenye right track.