..tatizo la Lissu ni kwamba he is one dimensional, yaani yeye ni MPAMBANAJI muda wote.
..huyu ni mtu ambaye ameshambuliwa akakaribia kufa. Wakati mwingine ilitakiwa alalamike, anung'unike, alie, ili aonewe HURUMA.
..sasa hiyo nature yake imewafanya baadhi yetu kuona kilichomtokea Tundu Lissu kama ni jambo la kawaida.
..Naamini hatujapata picha halisi ya nini kilimtokea Tundu Lissu; mapito na machungu aliyokutana nayo, na jinsi alivyopambana.
mtumeni chakubanga au kheri james kwa nafasi la LumumbaAibu kubwa sana hii yani mkenya anaenda kutetea mazuri yaliyofanywa katika nchi yako lakini wewe na akili zako timamu unaanda maneno ya kwenda kukashifu nchi yako uliyozaliwa.
Huyu jamaa TL naamini hata familia yake binafsi itakuwa inampuuza kinamna namna.
star tv wasije wakatuwekea matangazo kama ile ya John pambalu na Mtozi
hata startimes c wana onyesha KTN siyoKTN Kenya pia huwa wanaonyesha kama una kingβamuzi cha Dstv
Ni kweli arudu kwa pamoja tujenge nchi yetusawa tutamsikiliza lakini mwambieni arudi kwao, bado analazimisha ukimbizi tu!!
Hata ningekuwa mimi ningechafua tu, li nchi lililonipiga risasi 16 bado niendelee kulipaka rangi nzuri? Nehi. Ila nikwambie kitu msipende kuona ukweli ni kuchafua nchi mi nasubiri kusikiliza ya ukweli natabeba ya uongo natupa kule, kwa mfano watu waliaminishana hakuna korona wakati watu wanadondoka kwa wingi watawala wanajificha kwenye changamoto ya upumuajiNimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure
Nini maana ya kuchafua nchi ?Nimeona Lisu leo amejipanga kuchafua nchi .
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure
Subiri uone mkosa akili atakavyoropoka hiyo saa tatu usikuNini maana ya kuchafua nchi ?
Mimi ninacho amini ,hata kama mama atakuwa na madhaifu namna gani,lakini kamwe hata kaa amfikie Jiwe kwa ukatilia aliotutenda.Kunaweza kuwa na mapungufu lakini hayawezi kufikia mapungufu ya regime iliyopita;Watu kuuwawa,watu kupotezwa,watu kupigwa risasi ,watu kutekwa,watu kubambikiwa kesi.Hayo yote yamefanyika bila hata uchunguzi wa kimagumashi kufanyika.Upendeleo wa waziwazi 'double standard',Ukabila na ukanda.Yaani maovu ya Jiwe ni mengi sana.Jiwe hajawahi kufuata hii katiba ya JMT wala sheria za nchi hata kwa asilimia 20% pamoja na mapungufu yote yaliyoko kwenye hiyo katiba.Kiufupi Jiwe alikuwa 'above the law'.Alikuwa juu ya mihimili yote mitatu!Uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu sana. Kesho tutajua kama mama atafagilia uhuru huo ataendeleza uminywaji wa uhuru huo.
walio ake wengine muwaache wafanye yao. ndgu wa azory na ben nao waomboleze?Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
hata startimes c wana onyesha KTN siyo
atazuia dstv?Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... hahahaaaa......!ππππ
Uwe unaelewa bwashee!atazuia dstv?
Mkuu nakubaliana na wewe. Kama Radioni tu, wanakata hata visehemu vya taarifa ya habari ambayo walikuwa hawajui kitasemwa nini, sembuse hicho kipindi ambacho wanajua kitakacho ongelewa!Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!
Mwanadamu huwa anajiandalia makao yake ya baadaye angali hai. Sasa kusubiri kuombewa baada ya kufariki, hilo ni tatizo.Tunakumbushana tu na wala isiwe nongwa.
Taifa liko kwenye Maombolezo ya siku 21 hivyo ni vema tukajikita kwenye maombolezo na kumuombea mwendazake.
Sitashangaa kama mh Dr Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na Waziri mstaafu atazuia kurushwa kwa mahojiano hayo ya akina Tundu Lisu yatakayokuwa mubashara.
Ki zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!