Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

Next on Straight Talk Africa: Tundu Lissu alongside Professor Lumumba - PLO

Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa

View attachment 1738931

Kesho saa 3 unusu usiku
Mkuu mbona moto utawaka,mh lissu,wakati anagombea Urais chama Cha wanasheria rafiki zangu ni wanasheria siku tunabadilishana mawazo walisema ,achana na yule bwana alitema lugha ya malkia sio ya dunia hii,kwamba wao wanadai maneno mengine yalihitaji kamsi,so waheshimiwa tunao ndani ya jf wanaweza sema sio kweli
Sasa akikutana na prof lumumba moto utawaka natamani ningekua nipo free nikusanye zangu kamsi mine notice stress za leo
 
Aibu kubwa sana hii yani mkenya anaenda kutetea mazuri yaliyofanywa katika nchi yako lakini wewe na akili zako timamu unaanda maneno ya kwenda kukashifu nchi yako uliyozaliwa.

Huyu jamaa TL naamini hata familia yake binafsi itakuwa inampuuza kinamna namna.
Mchaga na mpare wanawadharau sana waluguru nadhani hata kitaifa hili ni kabila dhaifu.
 
Hayo mayai yatakayotemwa humo...
Maana PLO anae misifa kweli...


Naombeni no ya mkalimani
 
Wakati upi mgumu?
Subili hapo hakuna wakupiga makofi wala kuzomea. Hoja to hoja.

Hapa wa kupanic anajulikana mbona,ngoja kesho apewe darasa na misamiati ya kutosha. Prof Lumumba hoyeee[emoji3][emoji3]
 
Huu mjadala sidhani kama una mizania sawa...

Lissu ni mwenye kumjua zaidi Magufuli na serikali ya JMT kuliko Lumumba...

Labda kama utakuwa mjadala wa kawaida usiohitaji washiriki kuweka bayana vielelezo kadha wa kadha...

Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
 
Uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu sana. Kesho tutajua kama mama atafagilia uhuru huo ataendeleza uminywaji wa uhuru huo.


Star Tv wanao uhuru huo wa kumrusha Lissu live?Au ni',Kila zama na kitabu chake?''Ingekuwa vizuri tufahamu pia kama watarusha pia You tube,in case kama chochote kitatokea!
 
Huu mjadala sidhani kama una mizania sawa...

Lissu ni mwenye kumjua zaidi Magufuli na serikali ya JMT kuliko Lumumba...

Labda kama utakuwa mjadala wa kawaida usiohitaji washiriki kuweka bayana vielelezo kadha wa kadha...

Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
Mwana kulitaka mwana kulipata , huyu lumumba mwacheni Kiherehere kimponze
 
Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.


Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !

Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?

Tundu Lissu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Nyie mfanyiwe Nini ili mkubali kua nyie ni nyumbu tu na hamto badilika chadema mnasubir kumnenepesha ngombe wakat wa kampen [emoji26][emoji26]
 
Hapa wa kupanic anajulikana mbona,ngoja kesho apewe darasa na misamiati ya kutosha. Prof Lumumba hoyeee[emoji3][emoji3]

..Sidhani kama Prof Lumumba atakuwa tayari kutetea rekodi mbaya ya Jpm inayohusiana na kuminya demokrasia, na covid-19 denial.

..Kuna maisha baada ya Jpm, na naamini Prof.Lumumba ataamua kuangazia na kusonga mbele.
 
Back
Top Bottom