Wakuu naomba yeyote ambaye ameishapata scale ya mishahara mipya hasa ya TGTS inayoanza mwezi July atuwekee hapa.
we hata hunijui,inawezekana unanijua kama mwanafunzi wa chuo tu.haaaahata huna ajira wewe msanii tu, unafkr sikujui
hii ni teki home
Uwongo na umbea mtupu, waraka haujatoka na ulichoandika ni uzushi mtupu.
kazi huna unataka scale! maajabu.
Wakuu naomba yeyote ambaye ameishapata scale ya mishahara mipya hasa ya TGTS inayoanza mwezi July atuwekee hapa.
we hata hunijui,inawezekana unanijua kama mwanafunzi wa chuo tu.haaaa
mi nimejiajiri mshahara wangu ni mil 6,700,000.dawa kujiajiri tu
Haina ukweli wowote kwa sababu mshahara unaongezeka kwa asilimia sasa serikali haijatuambia imeongeza asilimia ngapi kwa mwaka huu wa fedha maana mwaka jana waliongeza asilimia 41
we hata hunijui,inawezekana unanijua kama mwanafunzi wa chuo tu.haaaa
hivi nchi za africa kutokee na ongezeko hilo? ni saw na 1,000,000 kupanda hadi mil 1,400,000 na kadhaa really?Mwaka jana 41%? Duh! Duh! Uongo ndio huu