Hii professional nmeivamia wandugu npeni michongo mingne yakufanya kwani mwakan tu namalzia digrii yangu.
320,000.00 ukigawa kwa 30 ni sawa na 10,700/= Tshs kwa siku!
Hivi pesa hii mtu akijipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji wa pampu tu ya kawaida akitumia maji ya mto wa kudumu hawezi kupata hata 500,000 kwa mwezi?
Nauliza tu, I stand to be corrected!
Mkuu hii calculation ukiyoiweka ni sahihi kweli? maana hizo percentage ulizoweka makato yake yanafika sh 122591
Gross Salary 422,730.00
14% Tax 59,182.20
8% NHIF 33,818.40
5% pension 21,136.50
2% CWT 8,454.60
Take home salary= 300,138.30
nenda sudan kusin,wanawalipa vzr kabisa.Hii professional nmeivamia wandugu npeni michongo mingne yakufanya kwani mwakan tu namalzia digrii yangu.
Sorry nahisi nimekosea si unajua hesabu ni janga la kitaifa! Kote ni sawa ila NHIF ni tshs 12000/= ambayo sijui ni sawa na asilimia ngapi kwingine ni exatly ka ilivyoMkuu hii calculation ukiyoiweka ni sahihi kweli? maana hizo percentage ulizoweka makato yake yanafika sh 122591Gross Salary 422,730.00 14% Tax 59,182.20 8% NHIF 33,818.40 5% pension 21,136.50 2% CWT 8,454.60 Take home salary= 300,138.30
waanzshe viti maalumu wanaumeSomeeni??/gombeeni ubunge kama mnataka mshahara mkubwa
Mshahara wa polisi ukiwa na degree yeyote ile ni sh.455200 basic,na take home ni sh.359000,pia wanpata posho ya sh.100,000 katikati ya mwezi...hapo ni kabla hajapandishwa cheo chochote.Du kumbe hizi information zipo?
Jamani mi naomba ya polisi-professional with an undergraduate degree in Computer Science-Networking, with CCNA cerrtification.
6months experience...
gross salary 422,730Mkuu hii calculation ukiyoiweka ni sahihi kweli? maana hizo percentage ulizoweka makato yake yanafika sh 122591
Gross Salary 422,730.00
14% Tax 59,182.20
8% NHIF 33,818.40
5% pension 21,136.50
2% CWT 8,454.60
Take home salary= 300,138.30
gross salary 422,730Mkuu hii calculation ukiyoiweka ni sahihi kweli? maana hizo percentage ulizoweka makato yake yanafika sh 122591
Gross Salary 422,730.00
14% Tax 59,182.20
8% NHIF 33,818.40
5% pension 21,136.50
2% CWT 8,454.60
Take home salary= 300,138.30
aisee i should join polisi, ila nao tatzo ni kubanana mno.Mshahara wa polisi ukiwa na degree yeyote ile ni sh.455200 basic,na take home ni sh.359000,pia wanpata posho ya sh.100,000 katikati ya mwezi...hapo ni kabla hajapandishwa cheo chochote.
Hi, ladies and gents,
FYI
\Mshahara wa polisi ukiwa na degree yeyote ile ni sh.455200 basic,na take home ni sh.359000,pia wanpata posho ya sh.100,000 katikati ya mwezi...hapo ni kabla hajapandishwa cheo chochote.
very interestingHi, ladies and gents,FYI
Hi, ladies and gents,
FYI
By The PriestMshahara wa polisi ukiwa na degree yeyote ile ni sh.455200 basic,na take home ni sh.359000,pia wanpata posho ya sh.100,000 katikati ya mwezi...hapo ni kabla hajapandishwa cheo chochote.
Wacha kutudanganya wewe, Polisi wanalipwa kutokana na vyeo vyao na sio degree wala certificate. Mfano Ukiwa na mbavu mbili unaitwa Koplo hapo mshahara wako unakua tofauti na siye na mbavu, hali kadhalika mwenye mbavu tatu na kuendelea. ukiwa na nyota pia unakua na mshahara tofauti na mwenye mbavu