mhmhm sasa ukilinganisha na wengine kuna utofauti kweli au? mfano wale wahasibu, administatrators n.k ambao nao ni graduate/bachelor ? na wao si wanaanza na TGSD1 instead of TGTSD1, kifupi mie naona ngoma droo coz hata nao rate ni hiyo hiyo sema tu watu tuna kasumba ya kuwaponda walimu au kazi ya ualimu but salary level is almost the same, and sometimes walimu wana opportunity ya kutumia brain zao kuongeza kipato tofauti na wafanyakazi wa kawaida ambao toka saa 2 asubuhi hadi saa 9 na nusu yupo tu ofisini na dili hazisomi at the end of the month hana source nyingine zaidi ya kusubiri semina au workshop