jahanbaksh
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 122
- 161
Ni kuomba tu kuwe na extra earnings zingine kama seminars na kadhalikaDuh hali ni tight
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kuomba tu kuwe na extra earnings zingine kama seminars na kadhalikaDuh hali ni tight
Ndiyo kama Una mkopo elimu ya juu mambo yanakuwa magumu kiasi.Duh hali ni tight
Hakuna mshahara wa masters kwa entry level kama sijakosea. Ila nafikiri masters yako inatumika kama added advantages mbele ya safari utakapokuwa kaziniTGS ni hela ndogo.Hivi masters ya afya ni shingap?
Kabisa mkuu.unakuta uliajiriwa na diploma ukaomba mkopo ukapata ukimalza kusoma tu.wanaanza kukata kwenye salary ya diploma aisee hali inakuwa ngum zaid.Ndiyo kama Una mkopo elimu ya juu mambo yanakuwa magumu kiasi.
Mm mshahara wa pili tu baada ya kuingia kazini wakaanza kuchukua chao.Kabisa mkuu.unakuta uliajiriwa na diploma ukaomba mkopo ukapata ukimalza kusoma tu.wanaanza kukata kwenye salary ya diploma aisee hali inakuwa ngum zaid.
Bora wewe uliajiriwa na degree.Mm mshahara wa pili tu baada ya kuingia kazini wakaanza kuchukua chao.
UpoHakuna mshahara wa masters kwa entry level kama sijakosea. Ila nafikiri masters yako inatumika kama added advantages mbele ya safari utakapokuwa kazini
Anthanthesi/usingiz.Upo
Ila sijajua muulizaji anauliza masters ya afya ipi maana zipo nyingi.
Kwamba Daktari aliyespecilize kwenye Masuala ya gazi anaesthesia auAnthanthesi/usingiz.
Sio kweli kaka,Pgss 7 tu haivuki 1.2 M,how pgss 4 iwe 1.2 M fuatilia vzr mkuu.1.2M basics
LSS ni watu ganiWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Wakuu wa idara wa Halmashauri na wakurugenziHao LESS
LSS ni watu gani
OkWakuu wa idara wa Halmashauri na wakurugenzi
Huyu kama ni mtu wa anaesthesia kweli, akikumixia madawa huamki aiseee😅Kwamba Daktari aliyespecilize kwenye Masuala ya gazi anaesthesia au
Specialist wa usingizi anaanza na TGHS G.Huyu kama ni mtu wa anaesthesia kweli, akikumixia madawa huamki aiseee😅
Inategemea ni master ya nini?,na upo taasisi ipi?,UDSM Tutorial assistant akienda kupiga master akirudi anakua assistant lecturer,hapo hapo clinic ya UDSM ,Medical officer akienda kupiga MMED anaesthesia akirudi analipwa PMGSS 11,baada ya 8 aliyoanza nayo kaziHakuna mshahara wa masters kwa entry level kama sijakosea. Ila nafikiri masters yako inatumika kama added advantages mbele ya safari utakapokuwa kazini
Master ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=TGS ni hela ndogo.Hivi masters ya afya ni shingap?
Kwa kuongezea.Wakuu wa idara wa Halmashauri na wakurugenzi