Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Alifanyaje mkuu?
 
Wako wamasai waliokubali kwenda MSOMERA HANDENI...

Lissu anawatetea "waasi" waliokataa UAMUZI WA SERIKALI....

"Operations" za serikali lini zina HIYARI ?!!!

Ingekuwa hivyo mataifa yasingepiga hatua yoyote ile....

Tumesoma kuwa OPERESHENI VIJIJI VYA UJAMAA ilibebwa vyema kiutekelezaji na watu wote.....

TUNDU LISSU AACHE HADAA ZAKE KOKO

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unaanzaje kuhoji uwekezaji ambao HAUJAKAMILIKA ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono, ni mda huko Ngorongoro kila aliepotelewa na mpendwa wake katika hamisha kupata majina yao kwa utaratibu unaofaa na kuwakilishwa
 
Ndiyo nini hiyo? Nimeshindwa kukuelewa msomi.
 
Si unaona miaka yote ya uwekezaji hilo bwawa bado halijakamilika kama sio ufisadi ni nini? Wizi wa pesa za miradi ni jambo la kawaida kwenye utawala wa maccm.
Unajuwa mkataba wa bwawa ulikadiria miaka mingapi liishe?
 
Kaka usifananishe manabii wa Mungu na wanadamu wa ajabuajabu.
 
Si unaona miaka yote ya uwekezaji hilo bwawa bado halijakamilika kama sio ufisadi ni nini? Wizi wa pesa za miradi ni jambo la kawaida kwenye utawala wa maccm.
Unabishana na Arab contractors waliotoa time frame ya kukamilika kwa mradi ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unajuwa mkataba wa bwawa ulikadiria miaka mingapi liishe?
Mimi sifuatiliagi mikataba haramu inayolenga kuiba mali za watanzania,. Tumeshuhudia mikataba mingi isiyo na tija kwa mwananchi wa kipato cha chini zaidi ya kuwafurahisha na kuwatajirisha watawala na familia zao huku wakiacha jamii kuishi na maumivu.
 
Kwanini wamasai wanaondolewa Ngorongoro ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…