GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Alifanyaje mkuu?Akili za Lissu ni nyingi sana mwaka 2020 alichokifanya kwa walinzi wake hasa wale binafsi walichukia mda kidogo baadae akaja kuwaambia kwa nini alifanya vile watu walibaki hoi,
ila Lissu ana marafiki pale kanisani waliobobea kwenye kulinda mageti 🤣🤣🤣🤣🫡🫡🫡🫡🫡
Unaanzaje kuhoji uwekezaji ambao HAUJAKAMILIKA ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]Hilo bwawa la umeme limesaidia nini zaidi ya kulingiza taifa hasara, umeme bado bei na bado umeme ni unakatikati hovyo. Sasa kulikuwa na tofauti gani baada ya hilo bwawa kukamilika. Umeme bado shida gharama bado zipo juu wanachafua mazingira tu na pesa zao za upigaji
Naunga mkono, ni mda huko Ngorongoro kila aliepotelewa na mpendwa wake katika hamisha kupata majina yao kwa utaratibu unaofaa na kuwakilishwaUkweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
Hapo sasa ukawaambie waalee wazee waraka.Na wewe uwekwe kijinga cha moto kinyeoni kwako
Ndiyo nini hiyo? Nimeshindwa kukuelewa msomi.Hivi viongozi wa kiislam mashehe wanKuwa na elimu ya Theolojia au Falsafa?
Hapo Rwanda bila kuwa na degree au Diploma ya dini huruhusiwi kuwa kiongozi wa dini
Misikiti mingi na makanisa yamejifunga automatic kwa kukosa mashehe na wachungaji wenye elimu ya theolojia au falsafa
Hapa Tanzania naona kama mashehe wana kalili tu kuruani na kuwa viongozi wa misikiti
Si unaona miaka yote ya uwekezaji hilo bwawa bado halijakamilika kama sio ufisadi ni nini? Wizi wa pesa za miradi ni jambo la kawaida kwenye utawala wa maccm.Unaanzaje kuhoji uwekezaji ambao HAUJAKAMILIKA ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna siasa bila matukio, hujui unachongumza au ushamba unakusumbua.Hii bia6ya chadema kuvizia matukio inafaa ipingwe na kila mtanzania mzalendo.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Unajuwa mkataba wa bwawa ulikadiria miaka mingapi liishe?Si unaona miaka yote ya uwekezaji hilo bwawa bado halijakamilika kama sio ufisadi ni nini? Wizi wa pesa za miradi ni jambo la kawaida kwenye utawala wa maccm.
Kaka usifananishe manabii wa Mungu na wanadamu wa ajabuajabu.Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
14Jeshi letu la polisi ni langapi kwa ubora duniani
N nani hao 5 bora kwa umaarufu hadi sasa?Hawezi mtaja JPM, amuulize mbowe.. Lissu kwa umaarufu tz labda wa 2900 maana hata jk, eddo, Slaa nk hawafikii hata kidogo.
Sibishi hongerani mimi ila najua utabisha.
Unabishana na Arab contractors waliotoa time frame ya kukamilika kwa mradi ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]Si unaona miaka yote ya uwekezaji hilo bwawa bado halijakamilika kama sio ufisadi ni nini? Wizi wa pesa za miradi ni jambo la kawaida kwenye utawala wa maccm.
Mimi sifuatiliagi mikataba haramu inayolenga kuiba mali za watanzania,. Tumeshuhudia mikataba mingi isiyo na tija kwa mwananchi wa kipato cha chini zaidi ya kuwafurahisha na kuwatajirisha watawala na familia zao huku wakiacha jamii kuishi na maumivu.Unajuwa mkataba wa bwawa ulikadiria miaka mingapi liishe?
Mradi gani? kila siku unapigwa kalenda? Semeni tu kama pesa za miradi mmekula.Unabishana na Arab contractors waliotoa time frame ya kukamilika kwa mradi ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Taja namba acha kurukarukaJikite kwenye mada
Kwanini wamasai wanaondolewa Ngorongoro ?Wako wamasai waliokubali kwenda MSOMERA HANDENI...
Lissu anawatetea "waasi" waliokataa UAMUZI WA SERIKALI....
"Operations" za serikali lini zina HIYARI ?!!!
Ingekuwa hivyo mataifa yasingepiga hatua yoyote ile....
Tumesoma kuwa OPERESHENI VIJIJI VYA UJAMAA ilibebwa vyema kiutekelezaji na watu wote.....
TUNDU LISSU AACHE HADAA ZAKE KOKO
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mwenyezi Mungu aliumba binadamu kwa mfano wakeKaka usifananishe manabii wa Mungu na wanadamu wa ajabuajabu.