Magufuli si bora kwakwe! We Rais wa nchi anaenda kuitangazia Dunia kuwa yule Gaid na wenzake wamehukumiwa tayar mchezo! Alafu baada miezi anakuja kumfutia kesi hivi tuna Rais au! Rais anatoa kauli ambazo haziminiki! Kama aliweza kuiaminisha Dunia kuwa huyu Gaidi ndiyo ukae uamini malidhiano manayofanya siri?Acha umbeya mtoto wa kiume uyu mbowe aliyekuwa anateswa na magufuli kamuuwa nani? Nyie ndo mnatakiwa kukamatwa mkajibu mashtaka pumbavu
Kwani raisi amempa lema msamaha au amefuta kesi kwasababu ni wazi kabisa ilikua ni ya kiasi kisiasa.. Na kwasabab awamu hii iliamua kuuzika siasa za awamu ya tano Waka kubaliana kufanya maridhiano yakisiasa... Hamna sehemu raisi katoa msamahaDhamira ya Rais sio ya dhati .
Anawatumia tu Chadema kwa manufaa ya kisiasa.
Wenye makosa ndio wanapaswa musamehewa ili msamaha uhesabike.
Kwakua Lema hana kosa basi hajafanya lolote kumsamehe maana tayari hana kosa.
Anayepaswa hapa kusamehewa ni sabaya maana ndiye mkosaji.
Hakuna faida yeyote kumsamehe asiye na kosa.
Ila mtu anapata thawabu kwa kumsamehe mkosaji.
Hapa kama kawaida CHADEMA mnatumika.
Kuendelea kumuweka magereza sabaya ni kuendeleza siasa za awamu ya tano.Kwani raisi amempa lema msamaha au amefuta kesi kwasababu ni wazi kabisa ilikua ni ya kiasi kisiasa.. Na kwasabab awamu hii iliamua kuuzika siasa za awamu ya tano Waka kubaliana kufanya maridhiano yakisiasa... Hamna sehemu raisi katoa msamaha
Kubalini yaishe [emoji1787][emoji1787] . Mimi ni sawa na baba yako mdogo.Wewe bado mdogo sana hujui lolote.
Uwezo huo huna bwana mdogo.Kubalini yaishe [emoji1787][emoji1787] . Mimi ni sawa na baba yako mdogo.
Kwa kumfunga Sabaya.Pongezi nyingi ziende kwa Maza.
[emoji1787] ndio huu huu umbeya ninaokwambia uupunguze mtoto wa kiume. Ukiambiwa ulete ushahidi utaanza kujamba hovyo.Magufuli si bora kwakwe! We Rais wa nchi anaenda kuitangazia Dunia kuwa yule Gaid na wenzake wamehukumiwa tayar mchezo! Alafu baada miezi anakuja kumfutia kesi hivi tuna Rais au! Rais anatoa kauli ambazo haziminiki! Kama aliweza kuiaminisha Dunia kuwa huyu Gaidi ndiyo ukae uamini malidhiano manayofanya siri?
Mbowe ni mafia ukimuendea vibaya anakumaliza! Sio mtu wa mchezo mchezo yule
Ushahidi wa nn unataka? omba Mungu akukutanishe na watu muhimu then ukutanae kwenye michongo ya maana alafu jifanye mjuaji unaweka kauzibe kama hupotezwi[emoji1787] ndio huu huu umbeya ninaokwambia uupunguze mtoto wa kiume. Ukiambiwa ulete ushahidi utaanza kujamba hovyo.
Kwa kufuta Makesi ya kubambika aliyoyarithi kutoka kwa mtangulizi wake.Kwa kumfunga Sabaya.
Na kumfutia kesi Lema.
Na kuyaanzisha mapya yanayofanana na ya mtangulizi wake.Kwa kufuta Makesi ya kubambika aliyoyarithi kutoka kwa mtangulizi wake.
Kwa kufuta Makesi ya kubambika aliyoyarithi kutoka kwa mtangulizi wake.
Sawa vijana tumewakuza hapa JF kisa mnashabikia CCM basi mnajiona mmekuwa pumbavu zenu sana.Uwezo huo huna bwana mdogo.
Unajitutumua tu hapo.
Nakufahamu vizuri sana.Sawa vijana tumewakuza hapa JF kisa mnashabikia CCM basi mnajiona mmekuwa pumbavu zenu sana.
Huyo Mnyantuzu alikuwa na kiburi na kujisahau kuwa sasa ni zamu Mkojani.Miaka saba jela, faini Sh15 milioni kwa kumkashifu Rais Samia
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka saba na faini ya Sh15 milioni, Levinus Kidanabi maarufu kama 'Chief Son's kwa makosa matatu ikiwamo kumkashifu Rais wa Jamhuri...www.mwananchi.co.tz
Au awatume tena Wamasai wakalie na kusaga meno na wengine wagalegale pale Ikulu.Sabaya ana kesi ya jinai! Anapaswa kuozea jela!
Samia ni member wa genge la wahuni wa msoga ....Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Hana influence hiyo Umasaini! Nani anamzimikia Arusha? Abebe msalaba waKe mwenyewe!Au awatume tena Wamasai wakalie na kusaga meno na wengine wagalegale pale Ikulu.