Sabaya ana kesi ya jinai! Anapaswa kuozea jela!
Twambie kwanza kosa la Godbless Lema, ni nini? Halafu tukwambie makosa ya sabayaHapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Twambie kwanza kosa la Godbless Lema, ni nini? Halafu tukwambie makosa ya sabaya
Na bado utaona hadi kihindihindi....huo ni mwanzo tuHapa Naona kizunguzungu tu.
Ushahidi huu hapa .[emoji1787] ndio huu huu umbeya ninaokwambia uupunguze mtoto wa kiume. Ukiambiwa ulete ushahidi utaanza kujamba hovyo.
Kuna mashitaka ya uongo (kesi ya kusingiziwa) kwahiyo hapa ushahidi haueleweki. Mpaka nchi zile kubwa zinajua huyu jamaa amesingiziwa. Kwa kutoleta picha mbaya kwa nchi raisi anaamua kufuta tu. Kama ulikuwa unafuatilia mazungumzo ya kesi ya mbowe hapa jf utajua ile ilikuwa kesi ya mchongo na misaada ingeenda kubumaKama mwanachama ni shetani....
Mwenyemeza atakuwa nani??
Kama Rais kaamua kusamehe na kufuta kesi kwanini asifute ya Sabaya??
Mwanachama wake ??
Hata kesi za Sabaya ni za uongo.Kuna mashitaka ya uongo (kesi ya kusingiziwa) kwahiyo hapa ushahidi haueleweki. Mpaka nchi zile kubwa zinajua huyu jamaa amesingiziwa. Kwa kutoleta picha mbaya kwa nchi raisi anaamua kufuta tu. Kama ulikuwa unafuatilia mazungumzo ya kesi ya mbowe hapa jf utajua ile ilikuwa kesi ya mchongo na misaada ingeenda kubuma
Kuna kesi ya ukweli. Vielelezo vyote vya ushahidi kuwa umetenda kosa lipo. Hapa raisi hana mamlaka ya kufuta kesi kwasababu ni kweli umetenda kesi na vielelezo vipo.
Hata kesi za Sabaya ni za uongo.
Hakuna ushahidi.
Katoe huo ushahidi wewe maana wenzako wameshindwa kuuthibitisha.Mbowe alikuwa anakesi ya mchongo ila Sabaya anakesi halisi. Sabaya ni jambazi hata polisi wanajua hili, wakimuachia huyu jamaa. Hawawezi kuishi miaka mingi uraiani ni kama Ditopile Mzuzuri.
Kwahiyo kile kikosi kazi cha Zitto na Mukandara itakuwaje ?Hakuna haja ya katiba mpya.
Ya nini sasa.
Kafutiwa na nani ? Rais anaweza kusamehe wafungwa tu si kufuta kesiMbowe kafutiwa kesi ya Ugaidi.
Tatizo linaanzia hapo kwenye kuingilia mahakamani, kama huko nyuma mahakama zilitumika kutotenda haki basi sasa hivi tulitegemea kutoona tena mahakama zikiingiliwa bali tungeona mahakama zikitenda haki huku zikiwa huru.Sasa hivi ndio mmejiridhisha kuwa rais anaingilia mahakama, ila sasa hivi ameingilia kuhakikisha inatenda haki. Mara zote huko nyuma mahakama zilitumika kukomoa wapinzani.
Unaandika hata hukijui. Ugaidi unaujua au unausikia? Ukamatatwe na kesi ya ugaidi halafu usamehewe?πππππππKatoe huo ushahidi wewe maana wenzako wameshindwa kuuthibitisha.
Mnabwabwaja tu hapa mitandaoni ila mahakamani hamuendi kuutoa huo ushahidi.
Mtaani hawezi kufanywa lolote maana ana haki zote kama Mbowe aliyesamehewa kwa ugaidi.
Usijitoe ufahamu we chawa .!Kafutiwa na nani ? Rais anaweza kusamehe wafungwa tu si kufuta kesi
Thawabu kwa sabaya? Ukimtoa sabaya jela unapata dhambiHata mitume walianza kuwasamehe hao wakosaji.
Msamaha ni kwa mkosaji sio kwa ambaye hana kosa?
Kama Rais anataka thawabu amsamehe Sabaya na sio Lema ambaye hana kosa
Lolote.
Kaka mbona kama unajitia ufahamu?Hakuna mahakama iliyothibitisha hilo kutokea.
It's very simple and straight, kesi ya Lema ni kesi ya kubambikiwa(za kutungwa kwa sababu za kisiasa) wakati kesi za ujambazi za Sabaya anazokabiliana nazo ni criminal charges ambapo ameshitakiwa na watu aliowafahia uhalifu. Naamini hilo unalifahamu na unajitoa ufahamu lakini kama haulifahamu basi pages zinazohusu siasa za Kibongo si sehemu sahihi kwako.Hapa Naona kizunguzungu tu.
Rais akiwa Arusha anasema alizungumza na Lema na kumwambia kwamba asihofu arudi nyumbani atamfutia kesi zake.
Jambo hili linashangaza mno.
Mosi, Rais anapata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili mwingine?
Haoni kwamba anavunja katiba hadharani?
Tunaposoma katiba tunaona kwamba Mahakama ni mamlaka inayojitegemea.
Yeye nguvu za kuingilia Mamlaka nyingine anazitoa wapi?
Ukiachana na hilo.
Lema ni mpinzani. Yeye ni Chama tawala.
Chukulia mfano wa mtoto na mtoto wa jirani.
Yaani inakuwaje mama anaacha wanawe wanalia njaa halafu anapeleka chakula kwa watoto wa jirani.
Huyu atakua mzazi wa aina gani?
Rais yupo tayari kufuta kesi ya Lema hata kwa kuvunja katiba lakini hayupo tayari kuvunja katiba kwa kufuta kesi ya Sabaya ambaye ni mwanachama wake.
Upendo wa mashaka huu. Au tuuiteje.
Maana Logically it doesn't make sense at all.
Wewe ni Sabaya au ni ndugu yake? Walalamikaji dhidi ya Sabaya ni wewe utawalipa?Niambie ni mahakama ipi imemtia hatiani sabaya kwa makosa yake.
Anafuta kesi za kubumba huku anafunga wengine kwa kesi za kubumba.
Huu tuite nini??