Ni aidha uwe na mvuto au uwezo wa kuwahudumia. Vinginevyo wanawake hawana simile na wewe

Ni aidha uwe na mvuto au uwezo wa kuwahudumia. Vinginevyo wanawake hawana simile na wewe

Aisee umenikumbusha kitu' sku moja nalikuwa kwenye city bus za bongo/Dalala bus kutoka na siti za dala dala kujaa Basi nikawa nimekaa karbu na kwa dereva pale kuangalia Nyumba Upande wa abiria , wakapanda vidosho wa kiarbu pale magomeni...may be walikuwa wanachuo maana mmoja alinipa counterbook nilishike ...Basi wakati Gari inatembea akaingiza goti lake Katika Kati ya paja zangu maana alikuwa amesimama ..Gari ikitembe anasukuma goti kuelekea sehemu nyeti ' Gari ikisimama anasimama wima ' ilikuwa usiku ..ikianza mwendo anasukuma Tena ukizingatia alikuwa beautiful kweli, Nywele ndefu na alikuwa na mdogo wake' ishort alinipa shida ya kisaikologia ' Nathani alipenda urefu wangu na mm niliogopa kushuka nae maana alianza kushuka yeye na mdogo wake':
Ukweli wanawake wanapenda mwonekano Ila mm skuwa na pesa ya kutosha siku hiyo ' hiyo nikaaingia uwoga:
Nilimpa counter book lake nikaangalia anavyo shuka kwenye Gari akiwa na mdogo wake' wa kike....sikuwa hata na peni mfukoni.
Kama ataona hii post ajue alinipa shida siku ile' akikumbuka lazima anipe code alishukia wapi.
Sometimes unawaza kuwa na mwonekano Ila ujasiri ukawa mchache.
Kwani hukuwa na simu unampa aandike namba
 
Daladala imejaa , taa imewasha ..unaanzaje kutoa simu Yuko na mdogo wake' , mm na yy ndio tulijua kinachoendelea ila nilikuwa mwoga pia sio miaka Mingi Ila ujasiri uliisha lingne Nilikuwa mtu church hivyo huenda alitumwa anitoe kwenye Imani au cjui niliwaza hivyo.
Kwani hukuwa na simu unampa aandike namba
 
Daladala imejaa , taa imewasha ..unaanzaje kutoa simu Yuko na mdogo wake' , mm na yy ndio tulijua kinachoendelea ila nilikuwa mwoga pia sio miaka Mingi Ila ujasiri uliisha lingne Nilikuwa mtu church hivyo huenda alitumwa anitoe kwenye Imani au cjui niliwaza hivyo.
Hata jini pia
Vipi unamtamani Sasa umeacha church
 
Ndivyo wanaume wengi wanavyojidanganya,

Sex inauhusiano wa moja Kwa moja na mvuto WA maumbile.
Na sex ni moja ya kipengele muhimu kwenye Ndoa.

Elewa kuwa kazi na Pesa hata Wanawake wanaweza kuzifanya na kuzipata, pia Wanawake wanauwezo wa kujitunza lakini kitu pekee ambacho wanakitafuta Kwa mwanaume ni mvuto na uzuri WA mwanaume utakaotimiza hisia zao za ndani.
Mkuu acha kujifanya unawajua wanawake kuliko mungu aliye waumba aliye sema tuishi nao kwa akili kwa sababu wao wenyewe hawajui wana taka nini.

Kama una mvuto utagongewa kisa huna hela ,ukiwa na hela utagongewa kisa huna mvuto ,ukiwa navyo vyote utagongewa kisa huna nguvu za kiume,ukiwa nazo utagongewa kisa ww sio romantic na bahati mbaya tu duniani kote hakuna mwanaume ambaye anaweza kuwa na hivyo vyote kwa wakati mmoja.
Ukiona mwanamke ameamuwa kutulia na kuheshimu mahusiano au ndoa yake juwa hilo ameliamuwa kwa utashi wake na si kwasababu ya huo upuuzi unao itwa mvuto,pesa, sijui kumkojoza kitandani.

Alafu kingine acha kujidanganya mapenzi huwa hayana mahusiano yeyote na sura ya mtu mapenzi dhidi ya mtu huwa yanakuja tu automatic bila kujali hiyo uliye mpenda ana fananaje.
Hayo masuala ya mvuto yapo mitandaoni tu lakini mitaani hali ni tofauti kwa sababu wapo wanaume kibao ambao hawana muonekano wala pesa na bado wameoa wana wanawake wazuri tu na ndoa zao zina furaha.
Mm sijawahi kuona mwanaume ambaye alisha kosa mwana mke wa kuowa kisa muonekano wake lakini kuna wanawake kibao wazuri ambao wanatafuta hata hao wanaume wasio na mvuto ili wawaoe lakini hawawapati.
 
Nimekupa ushindi wa mezani bado hujaridhika?
Sasa mwanamke kusifiwa mzuri kwa mwanaume unataka tuwaze nini?
Kwan wanawake kwenu huwa mnawafanya nini?
Haya Njoo tugegedwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uzuri ni zaidi ya ngono. Upeo wako ni mdogo Sana.

Ukiona mtu muda wote anawaza kugegedwa au kugegedà pale anapoona uzuri ujue Akili yake Ipo Chini ya Akili ya ngedere
 
Back
Top Bottom