Ni dharau kubwa Kiongozi wa Taifa letu kutoa risala huko Brazil wakati wanaotakiwa kusikiliza wanaendelea na shughuli za kupakua chakula

Ni dharau kubwa Kiongozi wa Taifa letu kutoa risala huko Brazil wakati wanaotakiwa kusikiliza wanaendelea na shughuli za kupakua chakula

Acha uongo.

HAKUNA aliposema anawasihi mataifa tajiri yatambue na kutumia fursa zilizopo Africa.

Ametumia risala hiyo kuomba misaada na kusema dunia sio fair, Afrika tuna njaa na utapiamloa, magonjwa, ni masikini wa kutupwa, hatuna mashine za kilimo, wala mbolea, wala utafiti, na tuna madeni, na ushindani wa dunia ni mkali sana.

Halafu akasema bado tunasubiri ahadi ya mafanikio itakayoletwa na globalization.

Hivi nchi tajiri zilituahidi kwamba globalization itatutoa ???

Na zilitusukuma tuingie kwenye globalization ?

Waingereza ndio waliwaambia Waafrika wakafuate mataka taka kama ma ndala na ma vikombe ya plastiki CHINA badala ya kujifunza kuvizalisha nyumbani kuokoa foreign currency ???

Watu wanakula, sisi tunapita na bakuli kutangaza umasikini. Angeenda na ndege ya kulipia tiketi daraja la tatu, sio luxury class na ndege yake mwenyewe, too expensive! Wangemuelewa na wangemheshimu zaidi.
Anaomba kusaidiwa wakati wameenda na msafara wa watu 100 huku nchi tajiri zikienda na watu wachache!...nahisi wazungu huwa wanajiuliza maswali mengi sana kuhusu ngozi nyeusi
 
La msingi ni huo mfano wa muda wa msosi harusini huwa MC anamleta mpiga tumba kuburudisha au mpiga tumba, then watu wakimaliza kula anatolewa ziendelee ratiba za zawadi.
 
Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Ah ha ha haa ha ha akija huku sasa hata kukohoa raia haturuhusiwi
 
Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Ah ha ha haa ha ha akija huku sasa hata kukohoa raia haturuhusiwi
 
Hakuna Raisi au mtu wa maana nje anaweza sikiliza Samia, viongozi wetu huitwa kukamilisha ratiba. Heshima ya nchi ni kujenga uchumi wako, first agenda duniani kote ni kujenga uchumi imara wa nchi yako, sio risala , nani ata sikiliza Rais masikini duniani? Uta washauri nini wakuelewe? Hicho nacho kishauri mbona usikifanye wewe Tanzania ilaendelea? Upuuzi wa Marais wa Africa ni huo, kupoteza muda mwingi kufanya vitu vya kijinga.
 
Si mnapenda kujikomba nchi hii diplomasia na ushawishi kwenye mikutano mikubwa aliweza Nyerere na Mkapa

The rest hamna kitu

Kikwete angalu alijitahidi kwenye msiba wa Mandela

Nyerere alikuwa akihutubia UN wazungu wanasimama na kumpigia makofi kabisa

Mkapa alikuwa na hotuba zilizonyooka alikuwa amepikwa kweli kuwa Rais wa nchi.

Mwinyi, Magufuli, Samia Hawa kwenye hotuba hamna kitu

Hotuba inahitaji ipitiwe na ichakatwe na wataalamu sio unaamka tu una hasira na mmeo au mkeo unaanza kuongea mambo ambayo hayapo hapo ndio tunapofeli hakuna mtu atakusikiliza!!
Bora Magufuli alilitambua mapema akasusa.
 
Si mnapenda kujikomba nchi hii diplomasia na ushawishi kwenye mikutano mikubwa aliweza Nyerere na Mkapa

The rest hamna kitu

Kikwete angalu alijitahidi kwenye msiba wa Mandela

Nyerere alikuwa akihutubia UN wazungu wanasimama na kumpigia makofi kabisa

Mkapa alikuwa na hotuba zilizonyooka alikuwa amepikwa kweli kuwa Rais wa nchi.

Mwinyi, Magufuli, Samia Hawa kwenye hotuba hamna kitu

Hotuba inahitaji ipitiwe na ichakatwe na wataalamu sio unaamka tu una hasira na mmeo au mkeo unaanza kuongea mambo ambayo hayapo hapo ndio tunapofeli hakuna mtu atakusikiliza!!
Magufuli alitushika watz,...maana kila alipokuwa akihutubia, kuna sintofahamu inaenda kutokea...
 
Nimepitia risala alotoa mheshimiwa Rais wetu huko Brazil sijapenda the way walivyo mpa sikio,

Watu wameonekana Kama vile hawana muda na anachozungumza, wanazunguka na sahani za Chakula,

Ni Kama kwenye sherehe wakati wa chakula wanaweka kibwagizo!

View: https://x.com/swahilitimes/status/1858937943106159057?s=46&t=wVwOX7Oilw0E0zILKPC7xg

Ningekuwa Rais ningesema kwanza Naomba msikilize nasema nini

Britanicca

Tatizo hotuba yake ilijaa umatonya na njaa. So waliamua kumjibu kwa vitendo! Amalize aendelee na msosi!

Prof. PLO Lumumba anakwambia incumbent African leaders are disrespected in international meetings/gatherings simply because they lack moral audacity and mental emancipation.
 
Kwenye hivyo vikao, viongozi wa kiafrika wakihutubia ndio muda wa watu kwenda nje kunyoosha viungo, kuvuta sigara, na mambo kama hayo.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa mwamba!
 
Lakini kuna mtu alisema humu kwamba kaushangaza ulimwengu kwa hotuba yake na mwingine alienda mbali zaidi kusema kwamba ni kiongozi mwenye ushawishi mkubwa.Sasa hapa mbona unatueleza tofauti kiongozi
chawa ni wapuuzi sana.
 
  • Thanks
Reactions: IIS
Hili lingeweza kuepukika kwani watu.wa protokali wa embassy ya Tanzania.Rio watakuwa walipewa ratiba kabla. Wangeweza ku argue kuhusu timing ya kumpa mama nafasi.

Its an honour kualikwa G20 hasa Kwa raisi.Daktari Phd. Kutoka afrika.
 
Back
Top Bottom