LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Utachukua hata nembo ya nmb..Kuchukua mkopo NMB wa miaka 7.wa 19500000kuja kupiga hesabu natakiwa kurudisha milioni 39 Ni aibu na kosa ambalo sitarudia maishani ninaishi kwa utumwa
😂😂😂hapana bana, sikuwahi oa, nimejarib kuvaa viatu vya jirani zangu hapa
kuwa na mazoea na mtoto wa mwenye nyumba.Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.
Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
😂😂😂Kuoa, tangu nioe leo ni siku ya sita tu lakini mke kishaota mapum*. Na yeye, kuna katabia anataka akalete naiona jela kabisa inaniita. Hapa napata Mukaka kwanza nijawe na Busara ndio nirudi home! Yaan ata 7 haijaisha mama
Jamaa ta...ra ni mwongoKaishi kwa demu uliyemuhonga nyumba
Mapema inaanzia umri gani ?Honest comment..sina cha kuongezea brother japo manufaa utakuja yaona hapo mbele na sio mbali kama utaendelea kupambana kiume ila kiukwel family za mapema ni hatar [emoji23][emoji23]
saiv huwaibii wenye nyumba/viwanja ?Kuiba sadaka kanisani
Pole we are on the same pool.Kukosa mentor, nimejikuta nafanya Kila kitu Kwa akili yangu na mwishowe nimejaribu ila nimejifunza baada ya kuanguka, imenijenga imara.
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee rudi ukatubu tena.Kubishana na mzazi mdomo kwa mdomo huku nikiamini boom la chuo na msichana niliye mpenda watadumu milele.
Kilichonipata!!!
20's (25,26 27,28) kwa mwanaume ni mapema sana hasa kama bado hujawa financially free n stableMapema inaanzia umri gani ?
[emoji38][emoji38][emoji38] had wewe toto tunduKujifunza kubet japo najicontrol ila naona Ni kosaa kubwaa sana nilifanyaa[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilipopiga mshindo siku ya kwanza tu ikawa kosaa.. bora ningeliwaa[emoji38][emoji38][emoji38] had wewe toto tundu
Ushapandwa kichwani mapema tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuoa, tangu nioe leo ni siku ya sita tu lakini mke kishaota mapum*. Na yeye, kuna katabia anataka akalete naiona jela kabisa inaniita. Hapa napata Mukaka kwanza nijawe na Busara ndio nirudi home! Yaan ata 7 haijaisha mama
Huyu anataka kuking'oa na kichwa chenyewe aweke cha kwake sijui?Ushapandwa kichwani mapema tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]