Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Kuoa, tangu nioe leo ni siku ya sita tu lakini mke kishaota mapum*. Na yeye, kuna katabia anataka akalete naiona jela kabisa inaniita. Hapa napata Mukaka kwanza nijawe na Busara ndio nirudi home! Yaan ata 7 haijaisha mama
 
1. Kuaimini partnerahip kwenye biashara na watoto wa kishua. Wewe unawaza kutanua biashara na mtaji yeye anawaza show off.

2. Kuacha kufanya biashara ya kuzoa taka, sasa hivi ningekula te da manispaa kwa ukubwa.

3. Kutomsikiliza wife juu ya kuwaamini marafiki, jamaa wanaokuja kukopa. Niliamini wife ana roho mbaya kumbe, nilikuwa najikaanga

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
kuwa na mazoea na mtoto wa mwenye nyumba.

shida aliyokuwa nayo huyo mtoto anaongea sana alafu muongo muongo.

juzi nimesikia ana mimba sasa nataka leo usiku niame kimya kimya asije akanisingizia mimi bure
1677756667840.jpg
 
Kukimbilia kufanya biashara bill kuweka asset Chini ,kufanya bishara Ni tactic Sana ,Ni hatari Kama Huna back up ya maana. Nimeangika akuna anaenione huruma nalaumiwa Tena wakt kipind nafany harakati Kila mweny familia ananiunga mkono nyoko snaa
 
Back
Top Bottom