KKAMPENI YAKO SIO NZULI KIJANA. AKIKATAA KUOA UNATAKA AOLEWE YEYE AFANYE PAPAI
Funguka mkuu kila siku wanan pigia cmKuweka Bond gari zangu PLATNUM credit yale majaamaa makopeshaji pale Morocco. Ni majizi matapeli makubwa. Tafadhali ndugu zangu kamwe msiende kuwakopa wale washenzi
Matapeli yale kamwe usikubali kupokea simu zao.K
Funguka mkuu kila siku wanan pigia cm
Kumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua thamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani.Kumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua thamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani.
True......Kukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.
Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.
Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.
Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
How many unao?Najuta kuwa na watoto wa nje ya ndoa yangu.
Kwanini mkuu?Kufungua huu Uzi.
Hayo sio malengo mkuu matajiri wako wapi? wamepita kina mansa kankan musa wako wapi? mtu aliunyanyua uchumi wa misri kwa kupita tu lakini leo yuko wapi? so mkuu kazi na utajiri ni vitu vya njiani tu.Mkuu ahsante kwa jibu zuri, lakini bado naomba kuuliza, Je lengo linaweza kuwa tajiri, kufanya kazi au nn? tafadhal mwongozo..
Ahsante mkuu, basi lengo kuu liwe nini?? mmoja amesema kumwabudu Mungu je ni sawa?!.! Karibu mkuu ufafanue.Hayo sio malengo mkuu matajiri wako wapi? wamepita kina mansa kankan musa wako wapi? mtu aliunyanyua uchumi wa misri kwa kupita tu lakini leo yuko wapi? so mkuu kazi na utajiri ni vitu vya njiani tu.
Huu upuuzi nami unnigharimu mpaka leo....kwenda chuo kikuu ni kupoteza mudaKusoma mpaka chuo kikuu badala ya kwenda VETA.
Mkuu, wapo wengi tu.How many unao?
Tunatumia nusu ya muda wa maisha yetu kusoma.Huu upuuzi nami unnigharimu mpaka leo....kwenda chuo kikuu ni kupoteza muda
Huwez kichukia kitu from no where ukweli ni kwamba alioa ndoa ikamshinda sababu imemshinda basi analazimisha na watu wengine waione mbaya ubinafsi wa hali ya juu na high degree ya unprofessionalYeah, me mwenyewe leo ndio nimejua. Japo amejaribu kukataa 😅😅
Huwez chukia jambo from no where ukweli ulioa ndoa ikakushinda sababu ilikushinda unalazimisha watu wengine hasa vijana waichukue ndoa ni ubinafsi wa hali juuhapana bana, sikuwahi oa, nimejarib kuvaa viatu vya jirani zangu hapa
Labda kwenye FilamuKumbuka kuna watu wanafurahia ndoa kinoma
Ndo maana nikasema ulioa ndoa ikakufanyia kitu kibaya uzuri wa maisha neno lako sio sheriaLabda kwenye Filamu
Ku uhalisia Ndoa Ni Biashara ya Utumwa