Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie unawezaje kuacha mkuu,kwa faida je ukikopa ukasepa wanakutafuta,maana namm napitia hili lajamaaaKwani umefungiwa hapo mbona kuacha ni vyepesi sana kama umejipanga .wanaacha sana tu
Pole sana! Ukiwa unawajibika kwao wote lazima cha Moto ukione,ila kama wale mababa wa kumwaga mbegu tu na kuishia huwezi jutia chochote kile.hahahaMkuu, wapo wengi tu.
😂😂😂🤣 daima mbele nyuma mwikoKushabikia Simba,
Ila asaivi nime silimu nimekuwa mwananchi
Ndo maana najuta sana mkuu. Hapa kila mtoto anatakiwa aende shule.Pole sana! Ukiwa unawajibika kwao wote lazima cha Moto ukione,ila kama wale mababa wa kumwaga mbegu tu na kuishia huwezi jutia chochote kile.hahaha
Analysehapana sikuoa, ilikua sogea tuishi, ningeoa mbona ukweni wangetapika pesa ya mahari aisee
labdaaSo sorry ila huezi jua, maybe ulikuwa unatengenezwa kuwa mtu safii princess ariana.
[emoji117]Fursa bado zipo , maana dunia ni Kama darasa Lina maajabu mengi.
Pole sana mkuu. Mkuu, usichoke kumuomba Mungu.Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
Kwa maobi niliyoomba tokea niugue kama ningeyahamishia yakawa ni kuomba nipate pesa ningekuwa tajiri mkubwaPole sana mkuu. Mkuu, usichoke kumuomba Mungu.
Sio mbaya kuonyesha uwezo wako mbele za watu, ila kuwa makini kwani wengine si wema.
👉Uwezo in term of👉
👉Akili,kipaji,kazi au hata mafanikio
Imenikuta hii, na nimejifunza aisee. Hope nitachomoka katika hilii
kwa kweli vijana huwa tunajisahau mno kwenye maswala ya ibada,nakutenga muda mahususi kwaajili ya muumba wetuWasia wangu kwa vijana wenzangu, tumieni umri wenu vyema kila moyo wako unapopiga basi umeshapunguza idadi katika ile hesabu maalumu uliyoandikiwa, msihangaikie sana hii dunia kwani kwa namna yeyote hamuwezi kutoka hapa mkiwa hai.
Jambo la pili, mkitaka amani ya kudumu katika nyoyo zenu toeni viumbe wote na mumtie mola wenu aliyewaumba peke yake, hapo atawapatia wenza wazuri na wenye mapenzi kutoka kwake, atawapatia maisha mazuri na yenye kuwatosheleza, atawazidishia furaha na baraka katika maisha yenu, lakini mkirundika virus na bakteria wa kila aina humo ndani mtajuta na mtazidiwa na stress mpaka kupoteza muelekeo jumla.
Mwisho, ninajuta sana kuchelewa kugundua siri ya maisha ya furaha, nimetumia umri wangu kwa sehemu kubwa kuhangaika kuokota mawe kumbe pana mahali almasi zimejaa tele, kwa hasara hii kila mara nawaeleza watu wa karibu na ndugu jamaa na marafiki kuwa wasipate hasara kama niliyopata mimi wajiandae na siku yao ya kufa kwani hapo ndio mwanzo wa maisha ya kweli.
yaah ni vile tu tunawaamini sana watu wanaotuzunguka ikiwa ni mbwa mwitu wakali sana waliovalia ngozi ya kondooNAKAZIA HAPA... Hili ni jambo muhimu sana sana sana..dawa ya hii ni kuwa mkimya kupita kiasi...
Na matokeo ni majuto wakati muda huo wala majuto hayafai kitu, nguvu zote kwisha, ujanja wote na ujana umetoweka.kwa kweli vijana huwa tunajisahau mno kwenye maswala ya ibada,nakutenga muda mahususi kwaajili ya muumba wetu
Trust the process, princess ariana Kuna mwangaza unakuja🙏🙏labdaa
mmh sawaTrust the process, princess ariana Kuna mwangaza unakuja[emoji120][emoji120]