Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

....kuoa mwanamke anauekuzidi kipato... Brother....USIJARIBU.....

Wanadharau...masimango..Wabinafsi...

Najuta najuta..Najutia....most of them ni real... DEVIL [emoji49]..........
Pole sana bro...
 
Habari zenu wananchi wa Taifa la JamiiForums, leo katika kutafakari kwangu nimewaza sana haya maisha kuna ups and downs nyingi sana ambazo zingine zina utata sana kutokana na makosa tuliyoyafanya huko way back na unatamani kuwasaidia wengine wasirudie makosa hayo.

BINAFSI: Wakati nipo chuo mwaka wa tatu UDSM huko Tanzania nikipiga zangu Computer Science nilipata mchongo Nokia Siemens kuna mradi wa kusimika minara walikuwa wakifanya na walihitaji watu competent kwenye eneo la Network Systems nikapewa hiyo connection na nilipiga kazi kama mwaka hivi hela ilikuwa tamu ila bahati mbaya kuna rafiki yangu wa karibu sana (family friend) alipata majanga ya kifamilia kodi nyumbani ilimuishia, michongo alikuwa hana na mke wake alikuwa akiumwa sana aliniomba nimsaidie amalize suala lake la kodi nikamsaidia lakini baadae aliniomba nimkopeshe kama milioni 12 aende morogoro akafanye mishe za kilimo ila ndani ya miezi 7 atakuwa kasharejesha yote so kwasababu ya ukaribu wetu na jinsi nilivyomfahamu way back sikuwa na shaka na ombi lake.. dah niliingia benki nikamtolea milioni 12 akanishukuru akasepa yaani toka nimempa hiyo pesa sikuwahi kummwona tena maishani nilimtafuta sana baadae hata mke wake naye akawa hapatikani nilienda kwao kupeleka malalamiko yangu lakini ni kama walinipoza tu kwa maneno mwisho nikachoka na kuamua kupotezea ila iliniuma hii mistake.. usimuamini kiumbe anayeitwa mtu kupita kiasi..

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kipindi cha nyuma cha maisha yako na ungependa wengine wajifunze ili wasikosee?
Kuitumikia dini badala ya kumtumikia Mungu

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Kukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.

Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.

Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.

Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
Hakika hili limetugusa wengi.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
duuu! Pole
 
Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
Ugonjwa wa ngozi ni tatizo dogo tu sababu baso unapumua ila kukata tamaa na kukosa shukrani huku ni kubaya zaidi, tatizo gani hilo mkuu linalokufanya uongee maneno mabaya namna hiyo, si useme tukusaidie? juu ya kila mwenye elimu pana mwenye elimu zaidi mkuu, salimia watu upate msaada.
 
Ugonjwa wa ngozi ni tatizo dogo tu sababu baso unapumua ila kukata tamaa na kukosa shukrani huku ni kubaya zaidi, tatizo gani hilo mkuu linalokufanya uongee maneno mabaya namna hiyo, si useme tukusaidie? juu ya kila mwenye elimu pana mwenye elimu zaidi mkuu, salimia watu upate msaada.
Lips cheilitis mkuu . Yani ngozi ya kwenye lips hubanduka na kutoka mdomo ote mwekundu nikila mbele ya watu wanaweza kutapika wote ngozi ikiguswa tu na maji inakuwa kama ukoko wa ugali just imagine
mdomo umevimba sana na yote hayo kwa miaka 10 yote
nishatumia dawa na dawa nishaenda hospitali za kutosha hadi bugando na kwa specialist wa ngozi lakini wapi tu
status yangu ni negative
 
Ahsante sana ...Niliwahi kukosea pia hapa nilikuwa talented kwenye fani fulani nikajindai kuonyesha hadharani na kila mtu alikuwa anajua finally kilichonipata najuta.
Ni kama mambo ya London exhibition kwenye Industrial revolution wahuni USA,Japan, Belgium, Germany wakaiga, wakaboresha,wakamzidi aliyekuwa wakwanza kuundergo mapinduzi ya viwanda.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Kuzembea kitabu, uwezo nilikua nao na ninao hata sasa lakini sikutendea haki muda niliokua nao hapo nyuma.
Najua upumbavu unaogandana na jina mwanafunzi hivyo sihangaiki kuambia toto la mtu lisome kwasababu najua halitanisikiliza
Hapa ndo ata mimi najutiaga ilifika hatua wanafunzi wenzangu walikuwa wananifuata kunipa ushauri niachane na makundi mabaya nipambane na kitabu daah nikaishia kuwashit leo najiona mjinga sana.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
Ukiona hivyo kuna magonjwa ya kiroho, haya majonjwa hayawezi kukuacha kama wewe mwenyewe hujachukuwa hatua za kuacha tabia chafu/dhambi kama.

Usinzi uasherati, hasira, kibri, choyo, tamaa, kijicho, masengenyo, pombe bangi na sigara.

hayo yote yanafanyika kuwa kikwazo kwa namna moja ama nyingine katika kupona kwako. Mkabidhi Mungu maisha yako naye atafanya njia.
 
Wasia wangu kwa vijana wenzangu, tumieni umri wenu vyema kila moyo wako unapopiga basi umeshapunguza idadi katika ile hesabu maalumu uliyoandikiwa, msihangaikie sana hii dunia kwani kwa namna yeyote hamuwezi kutoka hapa mkiwa hai.

Jambo la pili, mkitaka amani ya kudumu katika nyoyo zenu toeni viumbe wote na mumtie mola wenu aliyewaumba peke yake, hapo atawapatia wenza wazuri na wenye mapenzi kutoka kwake, atawapatia maisha mazuri na yenye kuwatosheleza, atawazidishia furaha na baraka katika maisha yenu, lakini mkirundika virus na bakteria wa kila aina humo ndani mtajuta na mtazidiwa na stress mpaka kupoteza muelekeo jumla.

Mwisho, ninajuta sana kuchelewa kugundua siri ya maisha ya furaha, nimetumia umri wangu kwa sehemu kubwa kuhangaika kuokota mawe kumbe pana mahali almasi zimejaa tele, kwa hasara hii kila mara nawaeleza watu wa karibu na ndugu jamaa na marafiki kuwa wasipate hasara kama niliyopata mimi wajiandae na siku yao ya kufa kwani hapo ndio mwanzo wa maisha ya kweli.
100%
 
kutapeli mademu aisee na kuwakimbia.
nimewafanyia Sana uhuni wanawake hasa wale walio nisumbua kipindi nawatongoza

nilitumia Hadi helazangu nyingi ili niongeze mashine kwaajili ya kuwakomoa mademu

ilifika kipindi nikimtomb demu harudi Tena geto hata nikimuahidi milioni Mana mashine kubwa +mkongo

mbaya zaidi nilikuwa nawarikodi kwasiri badae nawaonyesha masera.daaa ilikuwa makosa makubwa Sana

sasa hivi nishaacha ila natamani kurudia coz yalemaisha yalikuwa yakibabe Sana + kuinjoi na kila aina yademu na kumfanya kila uchafu ninaojua Mimi.
 
Back
Top Bottom