Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Fanya makosa yote lkn usije ukampelekea mke wako gonjwa la zinaa.
Nilikua na mchepuko wangu miaka hiyo, toto la kimachame ana tako balaa. Baadaye tukapotezana. Sasa Kuna siku nikimkuta Ubungo ana grocery yake. Akanikaribisha tukaanza kunywa kipindi hicho nakunywa safari, baadaye wateja wote waliondoka nikabaki Mimi na yeye tu Kama saa tatu usk. Tukakaa ndani ya grocery huku tunakunywa, nikaanza kumnawa mpaka akaiva, yaani K imelowa balaa. Sasa pale hamna ndom maduka yamefungwa, toto la kichaga linalalamika lazima nimt0MB. Na Mimi huku abdala kichwa wazi hanielewi ameshasikia harufu ya samaki aliyechina. (Siri...mwanamke mwenye gono k huwa inatoa harufu Kama ya samaki aliyechina tofauti na harufu ya papa) baasi bwana, bidada akashusha kyupi na kuinamia makreti ya bia akanisusia mzigo. Nikasema potelea mbali hii Sasa too much. Nikamtumbukiza ndugu abdala kwenye tanuru, kumbe Toto la kimachame Lina gono. Hii style ukiijulia huku unachezea kisimbusi inamfikisha mwanamke Sanya juu haraka Sana. Kwa pamoja tukafika Sanya juu kabisa kule mlimani. Nikapandisha suruali, funga zipu nokasepa home.
Kesho yake nikatimiza wajibu wangu kwa wife. Baada ya siku nne hivi bomba Lina washa na nikilikamua linatoa chai nzito ya maziwa. Nikajua na wife nishaa nuambukiza. Nikivua chupi Ni Kama abdala ametema blue band Fulani.
Ngoma Sasa ikawa kumshawishi wife anywe madawa huku nikimchenga kuwajibika usiku.
Kumbuka kipindi hicho sinywi kwasababu nakunywa madawa, na wanawake wakiona hujanywa ndio wanataka Sana.
ITAENDELEA......
 
Fanya makosa yote lkn usije ukampelekea mke wako gonjwa la zinaa.
Nilikua na mchepuko wangu miaka hiyo, toto la kimachame ana tako balaa. Baadaye tukapotezana. Sasa Kuna siku nikimkuta Ubungo ana grocery yake. Akanikaribisha tukaanza kunywa kipindi hicho nakunywa safari, baadaye wateja wote waliondoka nikabaki Mimi na yeye tu Kama saa tatu usk. Tukakaa ndani ya grocery huku tunakunywa, nikaanza kumnawa mpaka akaiva, yaani K imelowa balaa. Sasa pale hamna ndom maduka yamefungwa, toto la kichaga linalalamika lazima nimt0MB. Na Mimi huku abdala kichwa wazi hanielewi ameshasikia harufu ya samaki aliyechina. (Siri...mwanamke mwenye gono k huwa inatoa harufu Kama ya samaki aliyechina tofauti na harufu ya papa) baasi bwana, bidada akashusha kyupi na kuinamia makreti ya bia akanisusia mzigo. Nikasema potelea mbali hii Sasa too much. Nikamtumbukiza ndugu abdala kwenye tanuru, kumbe Toto la kimachame Lina gono. Hii style ukiijulia huku unachezea kisimbusi inamfikisha mwanamke Sanya juu haraka Sana. Kwa pamoja tukafika Sanya juu kabisa kule mlimani. Nikapandisha suruali, funga zipu nokasepa home.
Kesho yake nikatimiza wajibu wangu kwa wife. Baada ya siku nne hivi bomba Lina washa na nikilikamua linatoa chai nzito ya maziwa. Nikajua na wife nishaa nuambukiza. Nikivua chupi Ni Kama abdala ametema blue band Fulani.
Ngoma Sasa ikawa kumshawishi wife anywe madawa huku nikimchenga kuwajibika usiku.
Kumbuka kipindi hicho sinywi kwasababu nakunywa madawa, na wanawake wakiona hujanywa ndio wanataka Sana.
ITAENDELEA......

Duuh we jamaa kwa kusimulia story kiboko
 
hapana, ila ilikua bado kiduchu tu, na ningeingia humo, wallahi yule takataka angerudisha mahari na pesa za sherehe

nawaonea huruma sana ME walio kwenye ndoa

Kikubwa upate mtu sahihi, ukiona ndoa ngumu ujue kuna mmoja hajakamilisha vigezo kwa mwenzie (anjihisihisi sababu ya majungu)au hawajakutana watu sahihi!!

Mfano: unakuta mtu kaoa/kaolewa anaingia katika ndoa na hisia kuwa ndoa ngumu, wanawake/wanaume si watu wa kuwaamini, ukimwonyesha upendo mwenzio anakuwa jeuri!!! Hapo lazima pawe na shida kubwa kifupi hamuaminiani 😂😂😂 kuna ndoa mahali wanashangaa mie na mke wangu mpendwa tunavyoaminiana na kuishi kwa furaha!!

Mie nipo kwenye ndoa, nina-enjoy kinyama mpaka najiuliza kwa nini nilichelewa kuoa!! Ila mke sikuokota barabarani au kwenye vijiwe vya bar, nilihataji rafiki na mshikaji wangu!!

Uliza hao majirani zako walipata wapi wake zao, watakwambia alikuwa jirani wakati naishi Tandale, nilikutana nae bar au church!! Fanya hiyo tafiti utaniambia kama kuna aliyetafuta "mke" kati ya hao unaoona wanaishi hovyo katika ndoa!!
 
Kuoa, tangu nioe leo ni siku ya sita tu lakini mke kishaota mapum*. Na yeye, kuna katabia anataka akalete naiona jela kabisa inaniita. Hapa napata Mukaka kwanza nijawe na Busara ndio nirudi home! Yaan ata 7 haijaisha mama

Najuta kuchelewa kuoa, nina mwaka wa 12 katika ndoa, sijakosea kuoa hata kidogo. Naifurahia mno tena mno!!

Ushauri: Huyo ni mkeo, siyo mshikaji wa mtaani!! Kaa nae kwa utulivu, ongea nae kwa utulivu as ndoa yenu bado inanukia pilau (changa sana). Unatakiwa kumkunja awe vile unataka sababu katoka katika maisha yao na harakati zao.

Kama ni Muislam na umeoa sababu ya Ramadhani hiyo ni big mistake, unatakiwa uoe pale unafeel kuwa na unahitaji mwenza!! Ukifeel utajua ni mwenza wa aina gani unamtaka, awe vipi na mtaishi vipi; unaframe wewe mwenyewe toka mapema.

Hujachelewa bro, mjenge vile unataka. Mwanzo tumia busara uone anaelekea ila nawe hakikisha unamuonyesha kuwa unajali!!
 
Lips cheilitis mkuu . Yani ngozi ya kwenye lips hubanduka na kutoka mdomo ote mwekundu nikila mbele ya watu wanaweza kutapika wote ngozi ikiguswa tu na maji inakuwa kama ukoko wa ugajust imagine
mdomo umevimba sana na yote hayo kwa miaka 10 yote
nishatumia dawa na dawa nishaenda hospitali za kutosha hadi bugando na kwa specialist wa ngozi lakini wapi tu
status yangu ni negative
Pole kwa hilo tatizo mkuu wangu, nakuahidi ntakuja na suluhisho baadae jioni inshaallah.
 
Ulichukua ENZI hizo riba asilimia 22. Pole sana, kama halijaisha nenda kaliuze Crdb au pbz Wana asilimia 12 Sasa hivi, upunguze machungu hata ya milioni 2.
2022 nilienda NMB kuchukua mkopo wa M 80 wa miaka 7 nikakuta nitakatwa M 165, nikawaambia nitarudi kesho kujaza fomu za mikopo ndiyo ilikuwa jumla.

Taasisi za mikopo zinatutegemea sana wakopaji kuliko tunaokopa.
 
Kiukweli hii kampeni ya Kataa ndoa imeanza kunihasri sijaoa Sasa nipo njia panda nikiona Kataa ndoa na kuangalia wanayokutana nayo wanandoa Basi nabaki tu kuguna.
Usiogope.. slogani ni ile ile NDOA NI UTAPELI...
 

Attachments

  • IMG_20220605_201846.jpg
    IMG_20220605_201846.jpg
    39.5 KB · Views: 25
Back
Top Bottom