National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kih koh koh....
Oya [emoji23]Najuta kushobokea ma baamedi 4ways Kinondoni kisa wanamakalio makubwa wanachuna bila huruma wana hakikisha umetoka na mapumbu tu huna hata mia
Unafundisha shule gani?Kuchukua mkopo NMB wa miaka 7.wa 19500000kuja kupiga hesabu natakiwa kurudisha milioni 39 Ni aibu na kosa ambalo sitarudia maishani ninaishi kwa utumwa
WeedKujua utamu wa papuchi a.k.a kipochi manyoya!najuuta kujua utamu wake!
Niaje mkuuOya [emoji23]
Toa ushuhuda wew
Habari yako mkuu green rajabNiaje mkuu
Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia jalala
Ilikuwaje kamanda?! 🤔🤔🤔Nilipoteza al
Most 15milion baada ya kumuoa mwanamke asiye na future wala nini! Mungu mlaani but now nazidi kurecover
Aamiin! 😔🙏🏾Pole sana mkuu. Mungu ana sababu na wewe jua hilo hivo usiache kumuomba na kumshukuru kwa zawadi ya uhai, ipo siku isiyo na jina utaamka bila ugonjwa mwilini.
Uzi gani umefutwa??Uzi umefutwa chap kwa haraka alaaaah
Agent of devil,kutapeli mademu aisee na kuwakimbia.
nimewafanyia Sana uhuni wanawake hasa wale walio nisumbua kipindi nawatongoza
nilitumia Hadi helazangu nyingi ili niongeze mashine kwaajili ya kuwakomoa mademu
ilifika kipindi nikimtomb demu harudi Tena geto hata nikimuahidi milioni Mana mashine kubwa +mkongo
mbaya zaidi nilikuwa nawarikodi kwasiri badae nawaonyesha masera.daaa ilikuwa makosa makubwa Sana
sasa hivi nishaacha ila natamani kurudia coz yalemaisha yalikuwa yakibabe Sana + kuinjoi na kila aina yademu na kumfanya kila uchafu ninaojua Mimi.
👉👉Agent of devil,
Ndugu yangu mpwayungu hii dunia jamani haina huruma ukitanguliza shida mbele,ni hatari sanaUnafundisha shule gani?