Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Kumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua thamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani.
Kumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua thamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani.

👆👆👆 I second you mkuu 😭😭😭
 
Kukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.

Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.

Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.

Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
True......
Very true.....
 
Mkuu ahsante kwa jibu zuri, lakini bado naomba kuuliza, Je lengo linaweza kuwa tajiri, kufanya kazi au nn? tafadhal mwongozo..
Hayo sio malengo mkuu matajiri wako wapi? wamepita kina mansa kankan musa wako wapi? mtu aliunyanyua uchumi wa misri kwa kupita tu lakini leo yuko wapi? so mkuu kazi na utajiri ni vitu vya njiani tu.
 
Hayo sio malengo mkuu matajiri wako wapi? wamepita kina mansa kankan musa wako wapi? mtu aliunyanyua uchumi wa misri kwa kupita tu lakini leo yuko wapi? so mkuu kazi na utajiri ni vitu vya njiani tu.
Ahsante mkuu, basi lengo kuu liwe nini?? mmoja amesema kumwabudu Mungu je ni sawa?!.! Karibu mkuu ufafanue.
 
Every mistake is actually a lesson!
Same as every failure.
We can say there are no mistakes/failures
 
Back
Top Bottom