Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

....kuoa mwanamke anauekuzidi kipato... Brother....USIJARIBU.....

Wanadharau...masimango..Wabinafsi...

Najuta najuta..Najutia....most of them ni real... DEVIL [emoji49]..........
Pole sana bro...
 
Kuitumikia dini badala ya kumtumikia Mungu

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Hakika hili limetugusa wengi.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
duuu! Pole
 
Ugonjwa wa ngozi ni tatizo dogo tu sababu baso unapumua ila kukata tamaa na kukosa shukrani huku ni kubaya zaidi, tatizo gani hilo mkuu linalokufanya uongee maneno mabaya namna hiyo, si useme tukusaidie? juu ya kila mwenye elimu pana mwenye elimu zaidi mkuu, salimia watu upate msaada.
 
Lips cheilitis mkuu . Yani ngozi ya kwenye lips hubanduka na kutoka mdomo ote mwekundu nikila mbele ya watu wanaweza kutapika wote ngozi ikiguswa tu na maji inakuwa kama ukoko wa ugali just imagine
mdomo umevimba sana na yote hayo kwa miaka 10 yote
nishatumia dawa na dawa nishaenda hospitali za kutosha hadi bugando na kwa specialist wa ngozi lakini wapi tu
status yangu ni negative
 
Ahsante sana ...Niliwahi kukosea pia hapa nilikuwa talented kwenye fani fulani nikajindai kuonyesha hadharani na kila mtu alikuwa anajua finally kilichonipata najuta.
Ni kama mambo ya London exhibition kwenye Industrial revolution wahuni USA,Japan, Belgium, Germany wakaiga, wakaboresha,wakamzidi aliyekuwa wakwanza kuundergo mapinduzi ya viwanda.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Kuzembea kitabu, uwezo nilikua nao na ninao hata sasa lakini sikutendea haki muda niliokua nao hapo nyuma.
Najua upumbavu unaogandana na jina mwanafunzi hivyo sihangaiki kuambia toto la mtu lisome kwasababu najua halitanisikiliza
Hapa ndo ata mimi najutiaga ilifika hatua wanafunzi wenzangu walikuwa wananifuata kunipa ushauri niachane na makundi mabaya nipambane na kitabu daah nikaishia kuwashit leo najiona mjinga sana.

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona hivyo kuna magonjwa ya kiroho, haya majonjwa hayawezi kukuacha kama wewe mwenyewe hujachukuwa hatua za kuacha tabia chafu/dhambi kama.

Usinzi uasherati, hasira, kibri, choyo, tamaa, kijicho, masengenyo, pombe bangi na sigara.

hayo yote yanafanyika kuwa kikwazo kwa namna moja ama nyingine katika kupona kwako. Mkabidhi Mungu maisha yako naye atafanya njia.
 
100%
 
kutapeli mademu aisee na kuwakimbia.
nimewafanyia Sana uhuni wanawake hasa wale walio nisumbua kipindi nawatongoza

nilitumia Hadi helazangu nyingi ili niongeze mashine kwaajili ya kuwakomoa mademu

ilifika kipindi nikimtomb demu harudi Tena geto hata nikimuahidi milioni Mana mashine kubwa +mkongo

mbaya zaidi nilikuwa nawarikodi kwasiri badae nawaonyesha masera.daaa ilikuwa makosa makubwa Sana

sasa hivi nishaacha ila natamani kurudia coz yalemaisha yalikuwa yakibabe Sana + kuinjoi na kila aina yademu na kumfanya kila uchafu ninaojua Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…