Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

Huu ushauri mzuri sanaa
 
So sorry ila huezi jua, maybe ulikuwa unatengenezwa kuwa mtu safii princess ariana.
[emoji117]Fursa bado zipo , maana dunia ni Kama darasa Lina maajabu mengi.
Moja ya vitu ambavyo nilikuwa namlaumu mshua why hujawa kama mzee fulani, anakula rushwa ana pesa kedekede.
Akanijubu nimewawekea akiba ya jina. Baadaye mtapata faidaya jina. Sikuelewa.

Nipo kazini, kuna siku mmoja alikiwa kiongozi mkubwa ofisini kufanya ukaguzi, wakati akiwa mkutanoni kuna kujitambulisha, nilivyosema jina langu akasema namfahamu sana mzee wako ni mtu mwema sana. Mkurugenzj mtumie huyu jamaa vizuri kama anaishi kama baba yake ni faida kwenu.

Mungu si athumani nilihamishiwa kitengo kingine ambako kuna nafuu sana.




Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Hapa huna Cha kujutia mzee Kuna watu walitamani kupata watt mapema kila unachoptia ndo ulichoandikiwa keep steel hustling buddy kila kitu kinawezekana
 
Hili nakubaliana na ww kw asilimia 200 hsa hapo kw ndgu
 
Kuna jamaa nilifanya naye Kazi... Tukatengeneza pesa ndefu Sana, na mgao wangu ulikuwa kama mil.17.... jamaa akanipiga zote...[emoji22][emoji22]..... Maninaaa! Jamaa sijawahi kuonana naye mpaka Leo... Yapata Miaka 8 Sasa....

Sijasahau.... Kila nikikumbuka nakwazika upya... Maninaaa![emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Kwenda advance badala ya Diploma.
Ndugu zangu advance ni kupoteza muda.
Over
 
Fanya mahusiano na soulmate wako, kuna watu roho zinaendana na kuna wengine hazitokaa ziendane, kuna watu ukifanya nao mahusiano ni sawa na ncha za sumaku zinazofanana, will always repel, wengine ni ncha zisizofanana, will always attract

Search for Billy Kimber
 
Kuchukua mkopo NMB wa miaka 7.wa 19500000kuja kupiga hesabu natakiwa kurudisha milioni 39 Ni aibu na kosa ambalo sitarudia maishani ninaishi kwa utumwa
Hili Watu wengi wanazungumzia inaonekana ni lina ukweli, inakuaje unalipa pesa nyingi kiasi hicho kuliko deni?
 
Hii kitu imenikuta mwaka jana saivi naona life sio.. ila ni funzo ukikosea ni kupambana tu na changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…