Hayakua maamuzi yangu mkuu zilikua influences za wazazi na ndugu kwenda huko elimu ya juu.. Shule nzima niliyosoma baada ya interview tulipita wanafunzi wawili tu hiyo interview ya wale wazungu kati ya watu 200, nilipataga hiyo bahati ya nafasi ya kwenda kusomeshwa Electrical Engineering na kampuni ya madini ya Barrick daah mzazi akazingua akaforce niende University! lakini nlkua napenda sana mambo ya mechanics na umeme ila ndio hivyo tu.Kamwe ucjutie maamuzi yko
Jivunie iyo elimu ya juu uliyo nayo maan siku ukitoboa uta enjoy sana ni swala la mda tuu. Maan ukiwa na elimu ndogo hata kama ukipata fursa utatumikishwa tuu ovyoovyo kwaio kaka ni swala tuu la mda. Amini utakuja kutoboa alafu hutoaminiHayakua maamuzi yangu mkuu zilikua influences za wazazi na ndugu kwenda huko elimu ya juu.. Shule nzima niliyosoma baada ya interview tulipita wanafunzi wawili tu hiyo interview ya wale wazungu kati ya watu 200, nilipataga hiyo bahati ya nafasi ya kwenda kusomeshwa Electrical Engineering na kampuni ya madini ya Barrick daah mzazi akazingua akaforce niende University! lakini nlkua napenda sana mambo ya mechnics na umeme ila ndio hivyo tu.
Kwani ujui chawa ni msoga gang the chegovara wa madawa ya kulevya ...hivyo ni chawa toka zamaniAisee kwa sasa umeamua uwe chawa
Yangu hata hayakuhusu.Wewe ndo wale wanaoamini umasikini na utajiri ni mpango wa Mungu?
Hawa viumbe hawafai sio wa kuwapa kipaumbeleTuko wengi mkuu...maumivu ni makali sana nikikumbuka sitaki hata kusikia habari za wanawake tena
POLE MKUU..Kuna binti nilikutana nae miaka miwili iliyopita sasa hivi najuta kukutana nae, najuta kumfaham, najuta kumuingiza kwenye maisha yangu. Japo tumeshaachana lkn mpaka leo najuta
Hata dada yako au binti yako ?Usimuonee huruma mwanamke labda mama yako
Haswaaaa.Mm nashauri watu kuchukua maamuv magumu sku zote
Hongera sana ww na mjomba ako.mjomba wangu hafanyi huo upuuzi wa kuandikia watu wenye akili zao timamu za kufanya maamuzi
Si jibu ulilotoa kwa huyo Jamaa, Yani nimei magine umekasirikaa LovelovieKwa nn?
Kumbuka mafanikio ni Siri, na Siri ndo mafanikio yenyewe. Sirudii tenaMkuu fafanua zaidi
AhsantePOLE MKUU..
Kumbe mkuu ulishawahi kuoa? What happened budda?kuoa
niliona ni upumbavu,Kumbe mkuu ulishawahi kuoa? What happened budda?