Ulichukua ENZI hizo riba asilimia 22. Pole sana, kama halijaisha nenda kaliuze Crdb au pbz Wana asilimia 12 Sasa hivi, upunguze machungu hata ya milioni 2.Kuchukua mkopo NMB wa miaka 7.wa 19500000kuja kupiga hesabu natakiwa kurudisha milioni 39 Ni aibu na kosa ambalo sitarudia maishani ninaishi kwa utumwa
Watu mna ujasiri, hivi unathubutuje kuuliza hivi?Mungu ni nan mkuu?
Kaza mkuuKukimbilia kuwa na familia mapema kabla sijajiweka vyema kifedha.
Nimekwama mambo mengi ada unastruggle , chakula unastruggle, kodi unstruggle.
Huwezi kujilipua tena unakuwa na limit ya tyme in short ukishakuwa na familia maisha yanabadilika sana.
Bado napambana nije kuishi maisha ya ndoto yangu ingawa mpambano ni mkali sana.
Hao wanaume wa kuwalia Yamini wa Leo na kesho wako wapi? Siku hizi ni rahisi kukimbiwa na mume kuliko kufukuzwa kazi.Heshimu mmeo kazi unaweza kufukuzwa hata kesho ila mmeo atabaki na wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuamini ana chura kufika ndani kumbe kavaa kigodoro.
Naam mkuu, siri ya maisha ya furaha ipo kwenye kugundua malengo ya maisha na hili watu wengi wameshindwa kulielewa, ukijua umekuja kufanya nini hapa duniani basi utaelewa makusudio yangu.Mkuu ahsante kwa comment hii. japo sijaelewa hapo kwenye siri ya furaha. fafanua plz.
umeoa au unapiga nyetokuoa
Una matatizo makubwa sana kisaikolojia. Believe meSinywi pombe,sivuti sigara, sivuti bange, sifatii la maisha ya watu, siyo mzinzi, sijawahi kumfitinisha mtu, kwenye ukoo wetu sina ambae nina ugomvi nae, sijawahi kuua,sijawahi kufanya mambo ya kishirikina, sijawahi kumtukana mzazi
Mimi sina lolote nalojutia katika dunia ni pesa tu sina ila nafuraha, sijihisi mwenye hatia yoyote
Ndiyo ninayo na nafurahi kuwa nayoUna matatizo makubwa sana kisaikolojia. Believe me
Hasa mwanamke akiwa na dharau kwa mumewe au kutokua mwaminifuHao wanaume wa kuwalia Yamini wa Leo na kesho wako wapi? Siku hizi ni rahisi kukimbiwa na mume kuliko kufukuzwa kazi.
ushauri wakoMapenzi ukiyaendekeza utakufa maskini..niishie hapa Kwa Leo
We ni malayaKushabikia Simba,
Ila asaivi nime silimu nimekuwa mwananchi
Mkuu ID yako imenifurahisha sana! Mixa mixa ya hatari 😎Kukimbilia kuajiriwa Serikalini na kuacha kabisa mishe nilizokuwa nafanya kabla ya kaujiriwa
Mzee baba wewe ni kibokoNilipoenda na furushi langu la bangi Oysterbay Polisi, ili niwauzie FFU, maana niliwaona sehemu wakilipuliza, hivyo nikaona ni busara nikiwapelekea mzigo wa jumla
Hapo kwenye pombe aise...kupunguza nimeweza ila kuacha sasaUna matatizo makubwa sana kisaikolojia. Believe me
Aiseee mbona ulijichanganyaa Parefu Mnooo.. yani unarudisha asilimia 100 ya hela uliyokopa khaa...!Kuchukua mkopo NMB wa miaka 7.wa 19500000kuja kupiga hesabu natakiwa kurudisha milioni 39 Ni aibu na kosa ambalo sitarudia maishani ninaishi kwa utumwa