Nyalumana originally
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 421
- 1,367
Ndo kujichanganya rafiki yanguAiseee mbona ulijichanganyaa Parefu Mnooo.. yani unarudisha asilimia 100 ya hela uliyokopa khaa...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kujichanganya rafiki yanguAiseee mbona ulijichanganyaa Parefu Mnooo.. yani unarudisha asilimia 100 ya hela uliyokopa khaa...!
Yani pengine ningekua na maisha mazuri sana, nilipata chance nyingi sana ila kwa kujifanya mpenda haki nikaachana nazo.Kilikukuta nini tena ??, Young princess ariana
nmegundua late sanaYaah watu wanakukanyaga tu ili wapite upande wa pili thats a life huruma haitakiwi
Nimejifunza hili piaKumuamini mtu kupita kiasi kujaribu kumridhisha na kumpenda mtu asieijua thamani yako kamwe usije kufanya haya mambo utajutia kupoteza muda wako binadamu hawana shukrani.
Siku zote huwa tunawatafuta wachawi wa maisha yetu. Ukweli ni kwamba huwa tunaweka mazingira ya kukwama wenyew.Nimejifunza hili pia
kushawishika kusomea kozi mpya ya procurement kwa kigezo chakupata ajira kirahisi[emoji28][emoji28]
kudate mwanaume asie na ela kwa kuamini tutachuma wote [emoji31][emoji31]
Lengo hasa ni kumwabudu alitetuumbaMkuu ahsante kwa jibu zuri, lakini bado naomba kuuliza, Je lengo linaweza kuwa tajiri, kufanya kazi au nn? tafadhal mwongozo..
Bado uwe registered in board, mara watake uje na certifocate yao yan tafran na ukipata kazi sehemu ya washenz unaeeza uliwa kwa ajiki ya 20% ambazo ukiwa mtu wa haki huzipigi lkn bado utaonekana mizinguakushawishika kusomea kozi mpya ya procurement kwa kigezo chakupata ajira kirahisi[emoji28][emoji28]
kudate mwanaume asie na ela kwa kuamini tutachuma wote [emoji31][emoji31]
Muamala Haina faida?Kufanya biashara ya miamala badala ya vifaa vya umeme jumla na reja.
Hakika nakuwaga na majuto kwa kuchelewa kuianza hii biashara.
Nawaza nimepoteza 3 years kwa miamala na hakuna kitu nimevuna.
Nahitaji wakala wa SMP TAA
So sorry ila huezi jua, maybe ulikuwa unatengenezwa kuwa mtu safii princess ariana.Yani pengine ningekua na maisha mazuri sana, nilipata chance nyingi sana ila kwa kujifanya mpenda haki nikaachana nazo.
nmegundua late sana
Yeah life ni journey kubwa. Hope ukipata next time ukipata seat, hutopigaaAhsante sana ...Niliwahi kukosea pia hapa nilikuwa talented kwenye fani fulani nikajindai kuonyesha hadharani na kila mtu alikuwa anajua finally kilichonipata najuta.
Nashukuru sana kwa clarification. ahsante sana.Lengo hasa ni kumwabudu alitetuumba
Ulikua huoni humu walivokua wakisema kataa ndoaKuoa, tangu nioe leo ni siku ya sita tu lakini mke kishaota mapum*. Na yeye, kuna katabia anataka akalete naiona jela kabisa inaniita. Hapa napata Mukaka kwanza nijawe na Busara ndio nirudi home! Yaan ata 7 haijaisha mama
acha kabisa kwenye hii sekta kuna ukiritimba mwingi sanaBado uwe registered in board, mara watake uje na certifocate yao yan tafran na ukipata kazi sehemu ya washenz unaeeza uliwa kwa ajiki ya 20% ambazo ukiwa mtu wa haki huzipigi lkn bado utaonekana mizingua
Dereva tu anayekupeleka material kununua ukitoka anategemea umtoe hata 50 wakati mwenyewe mtu wa haki
Hiyo inaitwa wala sijali
Acha ubaguzi mkuu
Pole sana naona una majuto mengi sanaDaa nina makosa hadi najiona paka,,
Kuchagua kutanyia kazi wilaya ya nyumbani(unaogopa kuchanganyikana)
Kujiunga vicoba,saccos
kuoa kwa kuvuta/pasi kushirikisha
kuoa mapema
Kukopa pesa ndefu
Kubeti pesa ndefu tena kwa wachina(mbaya mnoo)!!
Kumpa uhuru sana mwanamke(mke wangu)
Kukubali kesi(ilikuwa inanikabiri) iishe ili twende kwenye bargain!!(bora ningekaza)!!
kutokupenda kusali,kujumuika na waumini!!
PoleKuweka Bond gari zangu PLATNUM credit yale majaamaa makopeshaji pale Morocco. Ni majizi matapeli makubwa. Tafadhali ndugu zangu kamwe msiende kuwakopa wale washenzi
Mashetani yale"loan sharks" sipendi mtu mwingine arudie makosa niliyofanyaPole
Wale ni kuwaua tuMashetani yale"loan sharks" sipendi mtu mwingine arudie makosa niliyofanya