dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
sina pesa ya mchezo ya kununua kiumbe kwa kweliulioa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina pesa ya mchezo ya kununua kiumbe kwa kweliulioa
Ulioa ndoa ikakushinda hiyo ndo sababusina pesa ya mchezo ya kununua kiumbe kwa kweli
hapana sikuoa, ilikua sogea tuishi, ningeoa mbona ukweni wangetapika pesa ya mahari aiseeulioa ndoa ikakufanyia
hapana sinunui kiumbe, sijawahi nunua kiumbe, wala sitanunua binadamuUlioa ndoa ikakushinda hiyo ndo sababu
Yaan kila jambo ambalo linakushinda inaonekana unalazimisha watu wengine walichukuehapana sikuoa, ilikua sogea tuishi, ningeoa mbona ukweni wangetapika pesa ya mahari aisee
Ndoa ni UpumbavuYaan kila jambo ambalo linakushinda inaonekana unalazimisha watu wengine walichukue
Badilika mwanaume aogopi changamoto anazikabili
we mwenyewe umesema umeoa alafu kwa aibu ukabadilisha gia harakaharaka hio ni unprofessionalismhapana sinunui kiumbe, sijawahi nunua kiumbe, wala sitanunua binadamu
hapana sijaoa, na sitooawe mwenyewe umesema umeoa alafu kwa aibu ukabadilisha gia harakaharaka hio ni unprofessionalism
Ni upumbavu sababu ilikushindaNdoa ni Upumbavu
Nawasihi wasiyoao wasitapeliwe huko
😬Ni upumbavu sababu ilikushinda
Siumesema hapo juu na comment umeifuta ila umechelewa sababu walisha ku-quotehapana sijaoa, na sitooa
wala sikuifuta, bado ipoSiumesema hapo juu na comment umeifuta ila umechelewa sababu walisha ku-quote
Jambo likikushinda usilazimishe watu wengine walichukua kama ulipata kimeo pole ndo maisha kukosea ni sehemu ya maisha ya binadamuwala sikuifuta, bado ipo
lengo ni kuhimiza wanaojielewa wasiingie huko
kama ni jambo la kitapeli lazima niwatonye wanaojielewa wasipigweJambo likikushinda usilazimishe watu wengine walichukua kama ulipata kimeo pole ndo maisha kukosea ni sehemu ya maisha ya binadamu
Neno lako sio sheria yaan watu wengine wasioe sababu wewe ndoa ilikushinda una matatizo ya akilikama ni jambo la kitapeli lazima niwatonye wanaojielewa wasipigwe
hahaha, punguza hasira, kama uko kwenye shimo la utapeli tulia tu upigweNeno lako sio sheria yaan watu wengine wasioe sababu wewe ndoa ilikushinda una matatizo ya akili
Wewe lazima utakuwa na akili sana. Umemgundua gongowazi.Chura acha uongo!
Kwenye maisha wako ndoa zimewashinda na wako wanaofuruhai ndoa kinoma,Legacy ya ndoa ili msurubisha msalabani Analyse
Kuna watu ndoa zimewashinda, wanatumia nguvu nyingi kuwaaminisha wengine kuwa ndoa ni mbaya. Lakini pia kuna ambao ndoa zimeenda vzr, wanajaribu kuwaaminisha waliofeli, kuwa ndoa ni nzuri. Haya makundi mawili hayatoweza kuelewana kamwe.Huwez kichukia kitu from no where ukweli ni kwamba alioa ndoa ikamshinda sababu imemshinda basi analazimisha na watu wengine waione mbaya ubinafsi wa hali ya juu na high degree ya unprofessional
Hio paragraph ya mwisho nimeipenda i wish vijana wadogo wangeisomaKuna watu ndoa zimewashinda, wanatumia nguvu nyingi kuwaaminisha wengine kuwa ndoa ni mbaya. Lakini pia kuna ambao ndoa zimeenda vzr, wanajaribu kuwaachanisha waliofeli, kuwa ndoa ni nzuri. Haya makundi mawili hayatoweza kuelewana kamwe.
Sio wote watakuwa na matokeo sawa, hata kama jambo wanalolifanya ni sawa