Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma nilichokiandika.?Wewe unaamini Samia anaweza kuhongeka kwa safari za Dubai? Akili ya kawaida tu
Makamu wa raisi USA wakati anatua Taiwan mbona tracking ilikuwa inawekwa wazi hadi humu?hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Mkuu hiyo app inatrack ata ndege za nje ya nchi?Tukuamini wewe?
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.
View attachment 2585662View attachment 2585663
Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?
hivi ndege ya raisi inakuwa tracked kirahisi hivi ?
vipi Air force one?
Huna akili!! Siwezi soma pumba zako,maneno ya kwanza tu yanaonesha wewe ni zeroUmesoma nilichokiandika.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asali inalambwa mpka yenyewe inasema eeeeeeh
Atanue nini sasa,anapata wapi huo muda wa kutanua wakati nchi ina matatizo lukuki....kama ni kweli alienda basi kuna shida mana na kikwete nae alikuwaga hivi hivi mwisho wasiku tukasikia anataka kuhonga bagamoyo yetu kwa wachina.Mwacheni mama atanue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rais anaenda Dubai ila kapitia Buza sijui kwa mpalange hiyo radar inavyoonyesha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba angekuwa kashawasha magari na uelekeo ni Chato, huko njiani ni mwendo wa kutumbua wajingawajinga.
Wewe unaamini Samia anaweza kuhongeka kwa safari za Dubai? Akili ya kawaida tu
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAGKwani Samia hana HOME SHOPPING CENTRE wake? Kama Kikwete alikuwa nao kwanini yeye asiwe nao? Marehemu Kawawa alishasema " KILA MTU NA MHINDI WAKE"!
Comments nyingi ni za mawazo ya Kimasikini!Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Huyo rafiki yako mwambie afanye kazi, Rais au serekali haitaweza kumpekekea chakula kwake.(KAZI NDIO UTU, KAZI NDIO UHAI)HIYO NDIYO TAFSIRI SAHIHI YA KUWA NA RAIS WA OVYO,kuna jirani yangu anashindia maji ya kunywa siku ya tatu Leo ila huyu rahisi wa mchongo anaruka angani kama mbayuwayu kutokana na kodi za mafukara huku akiyaacha MAJIZI yakiiba mabilioni ya pesa
.Mara nyingi hauoni destination ila sina uhakika kwa ndege ya rais wa Tz
Pia ndege kuwa tracked hvy sio ishu kubwa mana hakuna details muhimu za ndani kabisa za ndege mfano, huwezi kujua kuna idadi gn ya watu humo ndani, serial number huzioni. Tunachoona ni safari zake, namba za usajili ya ndege, mmiliki wa ndege (kama ni private mara nyingi hua hawamuandiki mhusika) n.k
Air force one sijawahi kuona wakitaja destination, VP wa USA alivoondoka siku kama 5 hv mbele Air force one ilipita Tena kwenye anga letu lkn haikuwa na destination, hy siku nilikuwa napoteza muda kwa kuangalia ndege zinazopita kwenye anga letu na nikaiona hy ndege ikiwa kwenye uelekeo wa JNIA lkn ikapitiliza kuingia bahari ya Hindi.