Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Ni kawaida kwa watu Mashariki ya Kati kwenda Paris weekend kucheza disco na kurudi kazini Jumatatu.
 
Tangia majuzi account ya Twitter ya Tanzania Leak's ilikuwa ikitoa raarifa juu ya Rais kwenda mapumziko ya Pasaka Dubai, taarifa hazikupewa uzito mkubwa ila leo hii ndege ya Rais wa Tanzania Gulfstream G550 yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kwenye mtandao wa Flight Radar ikitokea na Dubai na dakika chache zilizopita ilikuwa imeshatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwal Nyerere.

View attachment 2585662View attachment 2585663

Hii Tanzania Watanzania wakiitaka?

IMG_8396.jpg
 
Kwani Samia hana HOME SHOPPING CENTRE wake? Kama Kikwete alikuwa nao kwanini yeye asiwe nao? Marehemu Kawawa alishasema " KILA MTU NA MHINDI WAKE"!
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
 
HIYO NDIYO TAFSIRI SAHIHI YA KUWA NA RAIS WA OVYO,kuna jirani yangu anashindia maji ya kunywa siku ya tatu Leo ila huyu rahisi wa mchongo anaruka angani kama mbayuwayu kutokana na kodi za mafukara huku akiyaacha MAJIZI yakiiba mabilioni ya pesa
 
Samia hana huo upuuzi! Ni mweupeee hana hata tone la mauchafu yenu! Na kwenye utawala wake hatazalisha wakuu wa mikoa/wilaya matajiri kama akina Makonda, Sabaya, Mnyeti!! Wezi now wanashughulikiwa kwa jicho la Umma, no kufichaficha or kumtimua na kumdhihaki CAG
Comments nyingi ni za mawazo ya Kimasikini!

Sijawahi kuona Rais Commited kama tuliyenaye sasa!

Kuna mataifa sasa hivi yanawaza kusimamisha Rais Mwanamke.

Rais Samia namlinganisha na Chancellor Angela Mikhel wa Ujerumani.

Katika watu wasiopenda Mapesa ya Dhambi ni Huyu Mama!

Hivi kupumzika ni Dhambi!

Kuna wakati Mwanadamu anahitaji MUDA WAKE PEKE YAKE KWA AJILI YA RE TREAT...

KANISA KATOLIKI LINA ENDESHA RETREAT...NA UNAPATA WATU WAPYA Muda tu baada ya kumaliza retreat.

Mawazo mengine Bhana du!!!
 
HIYO NDIYO TAFSIRI SAHIHI YA KUWA NA RAIS WA OVYO,kuna jirani yangu anashindia maji ya kunywa siku ya tatu Leo ila huyu rahisi wa mchongo anaruka angani kama mbayuwayu kutokana na kodi za mafukara huku akiyaacha MAJIZI yakiiba mabilioni ya pesa
Huyo rafiki yako mwambie afanye kazi, Rais au serekali haitaweza kumpekekea chakula kwake.(KAZI NDIO UTU, KAZI NDIO UHAI)
 
Mara nyingi hauoni destination ila sina uhakika kwa ndege ya rais wa Tz

Pia ndege kuwa tracked hvy sio ishu kubwa mana hakuna details muhimu za ndani kabisa za ndege mfano, huwezi kujua kuna idadi gn ya watu humo ndani, serial number huzioni. Tunachoona ni safari zake, namba za usajili ya ndege, mmiliki wa ndege (kama ni private mara nyingi hua hawamuandiki mhusika) n.k

Air force one sijawahi kuona wakitaja destination, VP wa USA alivoondoka siku kama 5 hv mbele Air force one ilipita Tena kwenye anga letu lkn haikuwa na destination, hy siku nilikuwa napoteza muda kwa kuangalia ndege zinazopita kwenye anga letu na nikaiona hy ndege ikiwa kwenye uelekeo wa JNIA lkn ikapitiliza kuingia bahari ya Hindi.
.
 
Back
Top Bottom