Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

Miaka 4? Unaota au? Mama ana miaka 14, so yaandae hayo meno yako vizuri.
 
Waswahili bhana!

Asipo safiri utasikia

Oooh tutajichanganya vipi na jumuiya ya kimataifa kama raisi asipotoka....

Oooh inabidi atoke tupate misaada....

Ooooh uwoni kikwete alitoka tukapata uwekezaji wa Dangote

Akisafiri utasikia

Raisi anatoka sana, safari zake hazina tija kwa taifa

Hivi anapata muda wa kuabudu kweli

Lini ataanza kusikiliza kero za wananchi

Hakuna jema kwa wananchi ukitoka maneno usipotoka maneno
 
Kwa hiyo hujui kwamba Rais ni taasisi! Safari ni sehemu ya majukumu yake, kuhusu ibada kwa Muslim mbona ni jambo la dakika chache tu!
 
Mnataka raisi aanze kutafuna mahindi na kunywa kahawa barabarani
 
Ubora wa kutoingilia faragha za watu kwa kuwa 'trepu" bila ridhaa yao. Udaku wa mitandaoni kila mtu anaruhusiwa kushiriki.
Kwani Magufuli asingeweka wazi kama anasoma hizo msg za watu wake wewe ungejua? Umekuja kuhusisha jambo ambalo hata haliendani na nilichozungumzia mimi, rais wa nchi anapata wapi muda wa kufuatilia udaku wa mitandaoni kushinda hata watu wasio na kazi za kufanya?
 
Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?
 
Huko kwenu ndio kuna hao wanyonge na wanawake malaya siwezi kukukatalia maana uhalisia unao wewe!
 
Hao uliowataja sio wakuwaamini japo wanakuwa ni wateule wako kama raisi!!!! Lakini mjuba alikuwa mpambanaji san aisee ile kuingia front mwenyewe sio mchezo na ndio ilileta heshima kwa watumishi wake... Ni vizuri mama nae akawa anatembea kuangalia watendaji wake wanafanya kama anavyoagiza au ndo somjo na wao
Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.

Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
 
Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?
Ana mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya ,, hawa wote wanamwakilisha yeye.
 
Kwani huko kwenu hamna viongozi wa ngazi za chini?Unadhani kazi zao ni nini?mnataka kila kitu Afanye Raisi? Basi waondolewe ofisini abaki Raisi tu!
Walizoea zile za one man show,, nchi ikawa ianjiendea tu bila uelekeo.
 
Acha kuuliza maswali ya kitoto
Rais haitaji kutembelea kila kijiji kujua kama waziri anafanya kazi zake vizuri.Nchi inaendeshwa kwa mifumo na kama unahisi mfumo uliopo sio madhubuti dai katiba mpya na serikali za majimbo sio kutaka Rais akakague mashimo ya choo ya shule na convoy.
Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?
 
Kama hawaaminiki kwa nini pesa za walipa kodi zinatumika kuwalipa.Hizo ofisi zao zifutwe kwa sababu hawana tija.
Mjuba hakuwa mpambanaji, alikuwa hajui wajibu wake mkubwa ni nini akaishia kuwa anafanya kazi za mwenyekiti wa kijiji na mkuu wa wilaya.
 
Tanzania ni kubwa mkuu wangu ukikaa tu officen huwezi kupata yote kwa usahihi...
Kama hawaaminiki kwa nini pesa za walipa kodi zinatumika kuwalipa.Hizo ofisi zao zifutwe kwa sababu hawana tija.
Mjuba hakuwa mpambanaji, alikuwa hajui wajibu wake mkubwa ni nini akaishia kuwa anafanya kazi za mwenyekiti wa kijiji na mkuu wa wilaya.
 
Siishi katika ushabiki na kujipendekeza, ukweli utabaki kuwa ukweli. Hata yeye mama karuhusu kukosolewa. Nawashangaa ninyi mnaokataa asikosolowe. Pia hata yeye ushukuru uongozi mbalimbali wa nyuma ulopita. Ni ninyi washabiki ambao mnataka asikosolowe anapo kosea. Legacy ya Magufuli haito potea kamwe. Alikubalika duniani si Tanzania pekee. Alirejesha hesima ya Tanzania.
Nitasema na hakuna mtu wa kuniziba mdomo. Sibabaiki kwa lolote lile. Na siogopi chochote kile. Na wala sitegemei kujikomba ili nipate liziki yangu.
 
Boss ungetoa data za ziara za JPM katika miaka mitano 2015 to 2020. Wanufaika wakubwa wa ziara zake walikuwa Tabora, Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga
 
Sijasema rais atembelee kijiji, bali nauliza atajuaje kuwa kama watumishi wake wanafanya kazi kiufasaha, mfano kama si kuingia mitandaoni asingejua kuwa huku mitaani vitendo vya ujambazi vimeudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…