Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Miaka 4? Unaota au? Mama ana miaka 14, so yaandae hayo meno yako vizuri.Akisema warumi ataonekana ana mdomo... hata msiba haujaisha vizur huyo kashaanza kukimbilia nchi za watu Sijui anatafuta nini
Magu alikua ana mapungufu yake ila ulikua unaona kabisa he was dedicated in serving the people of Tanzania, alikua na uchungu na nchi yake, ila huyu mama yupo kimaslahi, yani tutalia na kusaga meno had miaka minne iishe
Waswahili bhana!Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Alichaguliwa na Shujaa (Pendekezo la Makamu wa Rais).Yeye alichaguliwa na wawekezaji makanjanja na keyboard warriors, nyie wananchi pambaneni na hali zenu.
Kwa hiyo hujui kwamba Rais ni taasisi! Safari ni sehemu ya majukumu yake, kuhusu ibada kwa Muslim mbona ni jambo la dakika chache tu!Ila mama anasafiri sana,tangu aanze urais hajatulia kabisa sijui muda wa kufanya maamuzi sahihi anaupata sangapi,muda wa kufikiria changamoto za wananchi na namna za kuzitatua,hata muda wa Ibada na Mwenyezi Mungu anaupata kweli,kila leo safari,events....na ndo ameanza tu majukumu
Kwani Magufuli asingeweka wazi kama anasoma hizo msg za watu wake wewe ungejua? Umekuja kuhusisha jambo ambalo hata haliendani na nilichozungumzia mimi, rais wa nchi anapata wapi muda wa kufuatilia udaku wa mitandaoni kushinda hata watu wasio na kazi za kufanya?Ubora wa kutoingilia faragha za watu kwa kuwa 'trepu" bila ridhaa yao. Udaku wa mitandaoni kila mtu anaruhusiwa kushiriki.
Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?Kama mlichagua wabunge na madiwani bom imekula kwenu.
Rais anapata taarifa kuhusu wananchi wake kupitia wawakilishi wenu kwani si rahisi mtu mmoja amfikie kila mtu nchi nzima.
Jiwe maranyingi alifanya hivyo kwenye vijiji vya barabara ya Moro - Dom- Mwanza.,, akitokea Mwanza au akitokea Dodoma. Alikuwa ansababisha foleni kubwa barabarani hata ajari wakati mwingine.
Mama hataki kusababisha foleni kwenye barabara zetu hizo nyembamba ,,anaruka na jet smoothly.
Tujifunze kuwa serious na maisha yetu tunapochagua wawakilishi wetu. (Ondoa uchaguzi wa mwaka jana, najua hatukupata hiyo fursa.)
Huko kwenu ndio kuna hao wanyonge na wanawake malaya siwezi kukukatalia maana uhalisia unao wewe!Unaweza usijiite ila uhalisia ukawa wewe ni mnyonge ni sawa mwanamke anayejiuza hata asipojiita malaya ila uhalisia itabaki kuwa ni malaya.
Nafikiri sababu ya watu kukubali kujiita wanyonge pengine walijiona wanathaminiwa na kusikilizwa hali ya kuwa wao ni watu wa hali ya chini kitu ambacho pengine hakikuwahi kuwepo huko awamu za nyuma.
Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Zile ziara za mwendazake zilikuwa za kujijenga kutawala zaidi ya miaka 10.
Ana mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya ,, hawa wote wanamwakilisha yeye.Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?
Walizoea zile za one man show,, nchi ikawa ianjiendea tu bila uelekeo.Kwani huko kwenu hamna viongozi wa ngazi za chini?Unadhani kazi zao ni nini?mnataka kila kitu Afanye Raisi? Basi waondolewe ofisini abaki Raisi tu!
Hao viongozi wote wanamsaidia rais, sasa yeye anahakikisha vp kwamba watendaji wake wanafanya kazi vizuri au ndio hata wakimuongopea ni sawa tu?
Hao uliowataja sio wakuwaamini japo wanakuwa ni wateule wako kama raisi!!!! Lakini mjuba alikuwa mpambanaji san aisee ile kuingia front mwenyewe sio mchezo na ndio ilileta heshima kwa watumishi wake... Ni vizuri mama nae akawa anatembea kuangalia watendaji wake wanafanya kama anavyoagiza au ndo somjo na wao
Kama hawaaminiki kwa nini pesa za walipa kodi zinatumika kuwalipa.Hizo ofisi zao zifutwe kwa sababu hawana tija.
Mjuba hakuwa mpambanaji, alikuwa hajui wajibu wake mkubwa ni nini akaishia kuwa anafanya kazi za mwenyekiti wa kijiji na mkuu wa wilaya.
Hongera kwa jibu Zuri. Ule wa mwenda zake haukuwa utaratibu mzuri na usiofaa kabisa. Waachwe aatu wa Chini watekeleze majukumu yaoWapo wasaidizi wake huku chini na ana waamini pia
Siishi katika ushabiki na kujipendekeza, ukweli utabaki kuwa ukweli. Hata yeye mama karuhusu kukosolewa. Nawashangaa ninyi mnaokataa asikosolowe. Pia hata yeye ushukuru uongozi mbalimbali wa nyuma ulopita. Ni ninyi washabiki ambao mnataka asikosolowe anapo kosea. Legacy ya Magufuli haito potea kamwe. Alikubalika duniani si Tanzania pekee. Alirejesha hesima ya Tanzania.Paint it any color you want laki uozo utabaki kuwa uozo tu hivyo basi utaendelea kuitwa uozo, kutuletea fabricated stories kana kwamba hatuna ufahamu na historia ya tawala zilizopita alimradi tu mpate pa kumkandamiza rais wa awamu ya 6 haitasaidia chochote.
Bora sasa tuko kwenye phase ya utawala ambao hauna muelekeo wa kuuana, kutesana na kutekana hivyo basi hizo rubbish mletazo hazina mashiko.
Hii haina maana ya kuwa madam President akitupeleka alijojo tutamnyazia, la hasha.
Sijasema rais atembelee kijiji, bali nauliza atajuaje kuwa kama watumishi wake wanafanya kazi kiufasaha, mfano kama si kuingia mitandaoni asingejua kuwa huku mitaani vitendo vya ujambazi vimeudi.Acha kuuliza maswali ya kitoto
Rais haitaji kutembelea kila kijiji kujua kama waziri anafanya kazi zake vizuri.Nchi inaendeshwa kwa mifumo na kama unahisi mfumo uliopo sio madhubuti dai katiba mpya na serikali za majimbo sio kutaka Rais akakague mashimo ya choo ya shule na convoy.