Kwahiyo tusisomeshe watoto sababu Kuna possibility kubwa wakakosa ajira,Kuna wenye degree za coding wamemaliza vyuo vikuu.hizo nchi kazi hawana
Na Tanzania tunao wenye degree coding zote wanajua kazi hawana na hata wakitaka kujiajiri soko la wahitaji hizo huduma nchini hawapo
HOJA ni chakula mashuleni kirudishwe.Wakati uke shule za msingi zilikuwa mbali sana na nyumbani kwa mtoto
Sasa hivi shule za msingi ziko jirani tu na makazi ya mtoto
serikali haijawahi kuacha kufanyia kazi masuala yenye maslahi mapana ya nchi.Pia ni vizuri mkakubali issue ya KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi,
Ni Kwa maslah mapana ya nchi yetu.
+ kujazwa tamthiliya zileHizo laptop zitaishia kuwekewa nyimbo za sukari,kamatia chini, enjoy,hanii aaahha hanii,amelowa amelowa
+ kujazwa tamthiliya zileHizo laptop zitaishia kuwekewa nyimbo za sukari,kamatia chini, enjoy,hanii aaahha hanii,amelowa amelowa
Unapokeaje HOJA ya kuomba verified I'd, au wizara Yako kuwa na account JAMII forum Ili tuwe tunaeleza wazi HOJA na changamoto za wananchi Ili zipate majibu sahihi na Kwa haraka?serikali haijawahi kuacha kufanyia kazi masuala yenye maslahi mapana ya nchi.
naomba muelewe kwamba watoto wa viongozi walio wengi wanasoma shule za kata na wanamaendeleo mazuri sana.
pelekeni watoto wenu huko kata, pamenoga.
masuala yote ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiutamadudi, sayansi na tekinolojia yataendelea kuboreshwa kwa mipango, awamu na kadiri ya upatikanaji wa fedha.
wito wangu kwenu wananchi wenzangu, tuipe nafasi serikali, tujitahidi kulipa kodi kwa wakati bila kukwepa, tuiunge mkono ccm na serikali yake, ili hatimae masuala muhimu ikiwemo hili la katiba yaweze kufanyiwa kazi kwa wakati muafaka na kwa hatua na kuweza kuimarisha, Amani, umoja, mshikamano na utangamano miongoni mwa Watanzania.
Think positive.+ kujazwa tamthiliya zile
Ova
Kuna Short term na long-term plans.Madawati tu kimbembe mtaweza laptop
Ova
nalitafakari, asante sana...Unapokeaje HOJA ya kuomba verified I'd, au wizara Yako kuwa na account JAMII forum Ili tuwe tunaeleza wazi HOJA na changamoto za wananchi Ili zipate majibu sahihi na Kwa haraka?
UBARIKIWE 🙏nalitafakari, asante sana...
Wasome tu hata muziki wasome sijapinga hata sarakasi mbona watu wanasoma ninachokataa ni wewe kusema may be lazima mashuleni wafundishwe sijui.coding nk na kila mtoto awe na LaptopKwahiyo tusisomeshe watoto sababu Kuna possibility kubwa wakakosa ajira,
Ndivyo uwazavyo?
Kupanga ni kuchagua,Wasome tu hata muziki wasome sijapinga hata sarakasi mbona watu wanasoma ninachokataa ni wewe kusema may be lazima mashuleni wafundishwe sijui.coding nk na kila mtoto awe na Laptop
Kuna miradi hutungwa nje huko kutengeneza soko lao la bidhaa zao ili kula pesa zetu za kigeni tuzipatazo kwa shida sana ni kutupora hata hizo pesa za kigeni chache tumepata kwa kuwauzia mahindi au Njegere zetu kwa bei ndogo wanapanga wao wakati sisi hatuna ubavu kupanga bei za laptop wabazotuuzia
Hivi chukulia mkulima wa kahawa au ndizi au mahindi anatakiwa auze kiasi gani ili ipatikane hela nchi inunue laptop moja ya mtoto mmoja tu shule?
Watu wanafanya kazi wana hela kuliko mkulima hela ya kununua laptop hawana
Leo unashauri kila mtoto wa shule apewe laptop wewe kichwani zimo?
Pilli hizo laptop zinatumia software ambazo zote zinauzwa na zina annual fee kwa pesa ya kigeni
Wewe ni makerting officer wa kampuni za laptop au? Uwe na huruma na pesa zetu za kigeni hata kama unawinda commission kwa udalali wako wa kuuza laptop ukijificha kichaka cha siasa na kutukana CCM kujitia una uchungu kila mtoto apate Laptop wakati dalali tu wa kampuni za Laptop
tutafunga Wifi kwa kila shule, na itakua monitored na halmashauri na serikali itagharamikia na kusimamaia masuala yote technically. Ondoa shaka, hivi tuna peleka billions of money mashleni, tunatoa billions of money elimu ya juu, hatushindwa kutoa laptops na network bure kwaajili ya wanafunzi kujifunzia...Hizo laptop wanaenda nazo home au zinabakia shuleni cost ya bando watamudu je shule zote Zina umeme.
Maeneo yote Yana network.
Pana vijiji mtandao pekee ni halotel mnara mmoja Tena wa solar jua likizama hakuna network
Hizo wifi mmeshindwa zifunga masokoni mastand penye watu ndo mtaweza mashuleni.tutafunga Wifi kwa kila shule, na itakua monitored na halmashauri na serikali itagharamikia na kusimamaia masuala yote technically. Ondoa shaka, hivi tuna peleka billions of money mashleni, tunatoa billions of money elimu ya juu, hatushindwa kutoa laptops na network bure kwaajili ya wanafunzi kujifunzia...
miundombinu ya masoko ni changamoto kidogo,Hizo wifi mmeshindwa zifunga masokoni mastand penye watu ndo mtaweza mashuleni.
Lete takwimu kuonyesha kuwa shida ya ufaulu wa wanafunzi shida ni mloKupanga ni kuchagua,
Kama chama chako hakina Vision hiyo,
Kikae pembeni waje wengine.
Mipango ni muhimu,
Short-term plan ,tuanze na chakula mashuleni Nchi nzima,
Shortlong plan Laptop,nk nk.
miundombinu ya kujifunzia ni pamoja na madawati. kwa sehemu kubwa wanafunzi wanakaa kwenye madawati na wanaenea kwa uwiano sahihi.Kila mwanafunzi ana dawati kweli?! Naona tuanzie hapa kwanza!
Mkuu uliyoyaandika ni mazuri ila kujifananisha na Rwanda inayopora mali za wakongo pamoja na kuwaua sio sawa. Ni aibu kubwa kujifananisha na watu wanaomwaga damu za waafrika wenzao. Au hujui Rwanda ilishawahi kumweka mnyarwanda mwenzao James Kabarebe kuwa mkuu wa majeshi ya DRC enzi za Kabila? Kabarebe alishawahi pia kuwa mkuu wa majeshi ya Rwanda. Tuikosoe serikali bila kujishusha thamani mbele ya watu wa hovyo.Kwann tuzidiwe na Rwanda, Taifa dogo na ni waafrika wenzetu?
Rwanda hata bandari, ziwa au migodi ya Dhahabu hawana.
Tukienda hivi, watatutawala one day.