we uwezo wako umeupima wapi, inaonekana wazi kabisa we ndio shida. Kumwandika tu mke wako huku ni uwezo mdogo sana unao. Mzazi mwenzako? We ni kijeba nini?Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Sasa kama wewe umesoma Elimu ya juu,na mkeo upeo wake ni mdogo,utakuwa humtendei haki,ukiwa unwzungumzia mambo makubwa,Siasa,uchumi,diplomasia,tekinolojia,tafuta topic anayoweza kuimudu,malezi,mapishi,wanyqma,biashara,kama wewe una degree,lakini huwezi kufanya mazungumzo na mtu wa std 7,basi wewe Elimu haijakusaidia,hata kama umesoma,inabidi uwe na uwezo wa kujichsganyanya na watu wa kawaida,Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
ndugu yangu,nakushauri kwa moyo mweupe,huyo usimuache ndo mzuri,hatakusumbua kabisa,siku ukioa mjuaji kama wewe,humo ndani moto utawaka,utanikumbuka mimi.Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Unabahati Sana ndugu Ila bahati mbaya huitambui na hauioniYaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mbona kama vyote vinavyohitajika kwenue ndoa anavimudu?Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
wewe unataka akili zake za nini?? tumia zako achana na akili za mkeo zinamtosha yeye tuuuYaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mkuu kama anawajibika na mambo mengine ya familia hapo nyumbani na kitandani, mbona hivyo vitu vinatosha kwa mke, mambo ya academic ya Nn kwenye ndoa? Hiyo na mengine ya kisomi kisomi tumia akili yako kujazia ili Maisha yaendeYaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Unaambiwa na nani angali ni mkeoN.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mimi nilishapiga marufuku mambo ya hayo maurembo, maana ukizubaa umeishq.Siku hizi ni kama tumeoa dada wa Kazi, maana hawa ndio utimiza majukumu ya mke kwenye ndoa,mke anachojua ni kuchati na kukaa mguu pande tu.
Wanaogopa kuharibu makucha yao ya kuzimu.
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu[emoji23]Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Umeamua kukazia kabisa, Tako linazidi kumtoa mtoto wa mtu creditHana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu[emoji23]
CC: Shimba ya Buyenze
Tumemwambia kama ana tako amvumilie tu, naona amekua mkali kweliUnaambiwa na nani angali ni mkeo
mwambie huyo,.Lengo la Kuoa Lilikua nini?Tukijua lengo uenda tukasema kweli huyo hakufai au wewe ndio hufai maana uenda umebadirika toka kwenye lengo lenu la Kuoana. Mimi naamini ulioa ili mtengeneze familia jambo ambalo umesema anaweza,sina uhakika kama ulioa ili mshirikiane Kufanya Ugunduzi wa Kwenda Kuishi Mars huko uku Mkitukimbia na kutuacha tuendelee kutawaliwa na Chama Cha Mambuzi.Any way your Lucky Kuoa mwanamke wa Ivo Karne hii.