Ni nani alienda kumuuma Rais Samia sikio kuhusu CCM wenzanke?

Ninyi ndio weupe kabisa kujua mchango wa JWTZ, kwa mama kuwa pale.
Kama hamjui na kwa taarifa yenu, JWTZ iko vizuri na TISS hawaoni ndani.
 
ni kisa cha kutunga...

alianza kwa kusema "kuna hadithi moja mtu mmoja alinitafuta..."

kitu kimekutokea unasemaje ni hadithi, kama sio umetunga tukio la kupeleka ujumbe ?
 
Yule aliyemwambia mama nitakufuata ofisini
 
Wote zungukeni ila ni Mzee Mwinyi 100%
 

mabeyo alisema kuna kitu ataenda kumuambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…