1. Kwani akisikia ye ni nani!!?
2. Kwani Taarifa hizo zimetolewa kwa ajili ya nani!?

Ifikie pahala tuache siasa za chuki na ubinafsi.

Hakuna mtu yeyote mwenye timamu aliyefurahishwa na kitendo cha kupigwa risasi Mh. Lissu. Kikubwa nikuweka maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu; Mh. apone haraka aweze kurejea katika shughuli zake za kila siku.
Huku vyombo vya usalama vifanye kazi yake kwa kuwatafuta wahusika wa tukio hilo na kuwawajibisha.
 
Mkuu, inaitwa
"To DIVERT ATTENTION" / KUJARIBU KUBADILI hali halisi ILI TUACHE hili la MADINI na WIZI/WEZI na TUJIKIMU kwenye kujadili JARIBIO la maisha ya Tundu Lissu.
Hawatafanikiwa
 
wewe,eti unahuita ni uchambuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni nani adui namba moja wa Lissu aliyemfunga jela takribani mara 7?


Kwa haraka haraka watu watasema CCM inahusika, ila ukiangalia katika jicho la upelelezi unawezaona kuwa Lissu alitaka kuuliwa aidha na watu wenye mapenzi na nchi hii, chadema yenyewe ili kumfachua Magufuli, pamoja na baadhi ya maadui zake ambao pia yeye anadhani kuwa ni marafiki zake. Ujasusi ni kitu kinachotumia intelijensi sana ila kwa bahati mbaya watu hawafikirii au kuona mbali, matokeo yake wanakuja na hoja za kijinga kwa kunyoshea vidole wasio na hatia. My guess and knowledge inaniambia kwamba hapa CCM wala haiusiki.
 
Hiyo sio dhana ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raisi anafanya jambo la kizalendo, ila kuna watu labda wana tafsiri tofauti ya uzalendo kuhusu upinzani na ndo nacho kiona hapa
 
Najaribu kuwaza tu, meli iko baharini, na manahodha wetu na mabaharia wengine wako busy kutoboa meli,

Kuna wakati pia Hawa wemanahodha wetu unajenga shaka juu ya utimamu wa akili yao.

Jukumu LA kuwa na "nyundo na vifaa vya kar
akana" ni jukumu LA manahodha ndani ya meli, iweje meli itobolewe manahodha waseme hawajui?

Hii safari INA shaka, tulikotoka na tunakoenda si salama tena.
 
Wewe siyo siri n kutoka lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Actually, mimi sina chama.

Namuunga mkono Magufuli kwa utekelezaji wake wa sera. Nawapinga CDM kwa sasa kwa ubabaishaji wao na kigugumizi chao kuhusu ufisadi na demokrasia ndani ya chama.

Tukipata utawala mwengine nitapima kuwaunga mkono au kuwapinga.

Hii ndio raha ya kutokuwa na chama. Huna ushabiki wa kinazi kama timu za mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inteligensia yao ya kufahamu matukio kabla ipo katika kugundua uhalifu utakao kwenye maandamano ya wapinzani tu! Nje ya hapo Inteligensia kapuni. Ajabu sana nchi hii!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabaharia hao hawajawahi kurejesha majibu.. Upepo ukipita na jambo linapita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…