Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Pita kila sehemu wanayosoma magazeti utasikia wakisema wahusika wa hili swala la Lissu ni kina fulani
 
Naomba nikuongeze hoja ya nne.adui mwingine wa lissu ni lowassa na mbowe. Utambue kuna makubaliano yasiyo rasimi kati ya mbowe na lowassa kuwa lowassa ni mgombea urais mteule mwaka 2020.lkn nyota ya lowassa inaonekana kufifia na kufunikwa ni kijana mpambanaji na mwana harakati msomi tundu antipas lissu.na kuonekana lissu ndio chaguo la wanachadema vijana na wasomi kugombea urais mwaka 2020.hivyo lissu anaelekea kuzima tena ndoto za loeassa kugombea urais 2020 na lissu inaonekana ndie mtu pekee mwenye ueezo wa kupambana johb pombe magufuli.sisemi kuwa lowassa amehusika, ila najaribu kutoa picha tu ya watu ambao naamini wanameona lissu kuwa ni kitisho kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliifikiria hoja hii halafu nikaipa low priority. Lakini ulivyoandika hapa sasa naona inaweza kuwa na mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lingekuwa ni tukio la kwanza, ingekuwa taabu kuhisi mpangaji wa mipango hii ya kishetani. Yametokea mauaji na majaribio kadhaa ya mauaji. Wananchi hawana haja ya kuambiwa, nani wamhisi.

Aliuawa Mawazo Geita, aliuwa M/Kiti CDM Arusha kwa kukatwa shingo, waliuawa wananchi waliokuwa wanahudhuria mkutano wa CDM. Ni lazima uwe mpumbav.u hasa kuamini kuwa mauaji haya yanafanywa eti na watu wa nje au wenye chuki na serikali.

Tundu Lisu mwenyewe alikwishatamka kuwa kulikuwa na mpango wa kumwua, na nani alikuwa anataka kumwua.
 
Hivi wewe unadhani kuna mtanzania atendelea kumchagua ifikapo 2020? Amechokwa kila kona. Anatuharibia amani yetu. Haya mambo hayajapata tokea katika awamu zote zilizotangulia isipokuwa hii. Tumechoshwa na vitendo hivi vya kinyama. 2020 he must go, over.
 
Lingekuwa ni tukio la kwanza, ingekuwa taabu kuhisi mpangaji wa mipango hii ya kishetani. Yametokea mauaji na majaribio kadhaa ya mauaji. Wananchi hawana haja ya kuambiwa, nani wamhisi.

Aliuawa Mawazo Geita, aliuwa M/Kiti CDM Arusha kwa kukatwa shingo, waliuawa wananchi waliokuwa wanahudhuria mkutano wa CDM. Ni lazima uwe mpumbav.u hasa kuamini kuwa mauaji haya yanafanywa eti na watu wa nje au wenye chuki na serikali.

Tundu Lisu mwenyewe alikwishatamka kuwa kulikuwa na mpango wa kumwua, na nani alikuwa anataka kumwua.
Viongozi kadhaa wa CCM wameuawa Kibiti. Ni nani aliehusika vile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na vuguvugu na joto LA kisiasa,bado ni fumbo juu ya nani wanahusika na shambulio hili..ni kweli raia wamefikia kuwa na chuki kiasi hiki dhidi huyu mbunge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe Kifyatu kwa akili zako za Lumumba, unadhani kuna mtanzania atendelea kumchagua Dikteta ifikapo 2020? Amechokwa kila kona. Anatuharibia amani yetu. Haya mambo hayajapata tokea katika awamu zote zilizotangulia isipokuwa hii. Tumechoshwa na vitendo hivi vya kinyama. 2020 he must go, over.
Tusubiri ifike 2020. Tusihesabu vifaranga kabla mayai hayajatotolewa.

Kuhusu shambulizi la Lissu, nina uhakika watu wanaotaka CDM ishinde ifikapo 2020 wanahusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa fikra zenye maono ndani yake si rahisi kumuhusisha mh.Raisi na kadhia hiyo.Kwani hata yeye anajua kufanya hivyo ni kuifuta CCM.
Si rahisi kuihusisha serikali na kadhia hiyo.Kwa kuwa hana madhara yeyote kwetu na serikali zaidi ya mashindano ya majukwaani kama yupo basi sio serikali bali ni matakwa yake na anajua faida yake
Si rahisi kuhusisha uongozi wa chadema na kadhia hiyo.Kwa kuwa nini manufaa ya TL kwa Chama Chadema wanajua kama yupo basi si uongozi ni mtu binafsi.

ILA NI RAHISI SANA TENA SANA
Kuhusisha wezi wa madini yetu na kadhia hiyo kwani walijua lengo lingefanikiwa nini kingejili baina ya serikali na wananchi wake kuelekea 2020 huku sisi tukigombana wao wakiwa bize katika kutimiza lengo lao.
Ni rahisi pia kuwahusisha watumbuliwa na wanaotarajiwa kutumbuliwa kwa kuwa bila shaka yeyote wana hamu sana kuona kiasi anachochukiwa Mkulu haitoshi lengo hili lingefanikiwa bila shaka yeyote 2020 sio mbali wangekuwa tayari wamefanikiwa kupanda mbegu yenye kuvumilia hata rushwa ili tu 2020 jamaa asiwepo.

Watu wenye chuki huwa hawaangalii hasara za wengine huangalia tu hasara atakayoipata yule wanayemchukia.

MH.TUNDU LISSU ni binadamu kama wengine hata kama ana mapungufu yake mengi tunayoyasema humu bado haijafikia hatua tuwe na akili zenye funza ndani yake za kuomba bora afe!!

RUDI TENA MH.TL WENGI UMETUFUMBUA MACHO.
 
The first suspect will be your 1st enemy, who is Lisu's 1st enemy?? Is known or unknown, I think you know? so usianze kuleta blabla hapa
 
Naona kila mwanalumumba anajitahidi kufungua uzi wa kujitetea, hamchomoki katika hili.

Chuki yenu kwa Lissu tunaijua.
 
Back
Top Bottom