Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Elites ndio wafadhili wa watu wa vijijini, elites wanapoathirika kiuchumi inawagusa moja kwa moja hao wa vijijini. Na sasa ujumbe unaopelekwa vijijini na hao elites ni kwamba sera za huyu mtu ndo zinawafanya wasiwafadhili kama ilivyokuwa awali!
Unaweza kuwa sahihi. 2020 itafichua mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, Mimi najaribu kuwaza kama hiyo inaweza kuwa sababu/motive.
Ok. Kwamba inaweza kuwa motive ni suala linalohitaji uchunguzi huru, lakini ukiangalia hizo media ambazo bila shaka umezitumia kama reference kuhoji, wao wanajaribu kuhusisha haraka kabisa tukio hilo na ukosoaji wa Lisu dhidi ya serikali. Na ni muhimu kufahamu kuwa mataifa makubwa na media kubwa kubwa, zinamtazama Magufuli kama kiongozi asiyependa ukosoaji. Kwa hiyo kwao angle hiyo ya headline ina maana kubwa!
 
Reading some of the comments here and repetitive in other posts, one will realize that this was a calculated move. One might form a rebuttable presumption that many, particularly in social medias, were prepared to defend in whatever means any reflection/attack on GoT to have committed this act. Everybody knows who TL was against and what he fought for. It is quite inconceivable to be made to understand that the perpetrators of this evil act come from his own party members or enemies of the state. (my view of which i stand to be criticised)
Why it cannot be his own party and it is easy for you and others to point a finger at the Govt., Lissu had no chance of removing the Govt from power, but he had the popularity to win the Chadema leadership from Mbowe and he can outshine Lowassa and be the flag bearera of Chadema.

It could also be those who want a blame if such magnitude to divert the attention from the problems coming to face them in the parliament.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Politicians known how to use the chances like these some day you would be agreed by the poster of this thread that a lot of people would want lisu dead just just gor their benefit.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If you have would have been in politics and know the position ls is making for himself one would understand the attempts could be done by someone who is afraid to loose something .wish could give some examples too bad.anyway we pray for his recovery

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimsahau..mbowe na LOWASSA into this......Kwa moto alionao LISSU kujijenga na kujipatia umaarufu ni kikwakazo ikubwa sana kwa USTAWI WA UENYEKITI WA MBOWE na ustawai wa LOWASSA kama mgombea URAIS 2020.....Changanya na zako

Lowassa na Mbowe wanajeshi linalomiliki silaha nzito za kivita!
 
Tundu Lissu made himself a sweet target to quite a number of suspects!:

- Within his party he could already be, to some members, more profitable dead, come the right circumstances, than alive! AND SOME LITTLE DEVILS WON'T HESITATE WHEN THE ATMOSPHERE SIGNALS IT'S TIME TO PIN THE TAIL ON A FALSE MONSTER!
-
-
-

FILL THE GAPS!
Nadhani hizo gaps ndiyo majibu yenyewe.
 
Semeni yooote ila damu ya MTU ni kitu kingine. Mungu akitaka tuwajue wahusika hasa baada ya kilio cha wengi tutawajua kirahisi tuu. Kumbukeni yule kijana aliyetdka watoto na kuwaua Arusha na kukamatiwa Geita.
Na watajulikana tu mkuu....kuua mtu sio kama kuchinja kuku....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimsahau..mbowe na LOWASSA into this......Kwa moto alionao LISSU kujijenga na kujipatia umaarufu ni kikwakazo ikubwa sana kwa USTAWI WA UENYEKITI WA MBOWE na ustawai wa LOWASSA kama mgombea URAIS 2020.....Changanya na zako
pia kumbuka yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kutupa taarifa kuwa bombadia yetu imezuiwa na wanaotudai huko canada, na alilalamikiwa sana na WAZALENDO waliokuwa hawataki wananchi wajue.
 
Crap.....just be glad he 's alive na tumuombee.....from what i've seen and read hakuna serikali inayomiss target....tumuombee apone a-shed some light into this situation.

hata mvungi alipigwa na vibaka.
they do it to look like its unprofessional job.
upo?
 
Muwasilishaji wa uzi ungeongeza namba moja katika nadharia zako.kumbuka jamaa ni mwanasheria pia,pengine kuna kesi anayoisimamia na upende wa pili wa kesi hyo wanajaribu kumtoa uhai kwa manufaa yao...[emoji52]kwahyo tusiegemee upande mmoja tu wa serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimsahau..mbowe na LOWASSA into this......Kwa moto alionao LISSU kujijenga na kujipatia umaarufu ni kikwakazo ikubwa sana kwa USTAWI WA UENYEKITI WA MBOWE na ustawai wa LOWASSA kama mgombea URAIS 2020.....Changanya na zako
Ohoo!
 
Mhusika Mkuu ni Yule ambaye hajawahi Kukemea, au Kulaani Nape Kutishiwa Kwa Bastola, Na mhusika aliyeonekana wazi wakasema Hakamatiki. Sampuli hizi ndio zinazopiga watu risasi. Au yule aliyediriki Kumwambia Bashite Piga Kazi! Baada ya Kutisha watu kwa Mitutu ofisini kwao, Kituo cha TV!
 
Ok. Kwamba inaweza kuwa motive ni suala linalohitaji uchunguzi huru, lakini ukiangalia hizo media ambazo bila shaka umezitumia kama reference kuhoji, wao wanajaribu kuhusisha haraka kabisa tukio hilo na ukosoaji wa Lisu dhidi ya serikali. Na ni muhimu kufahamu kuwa mataifa makubwa na media kubwa kubwa, zinamtazama Magufuli kama kiongozi asiyependa ukosoaji. Kwa hiyo kwao angle hiyo ya headline ina maana kubwa!

Je, anakubaliana na ukosoaji?
 
Crap.....just be glad he 's alive na tumuombee.....from what i've seen and read hakuna serikali inayomiss target....tumuombee apone a-shed some light into this situation.
You are "right: they got it "right" with Ulimboka
 
Umeonyesha una maslahi na upsnde flani kiasi umehalibu mada na yaonyesha una mengi zaidi lejea kauli ya jk upinzani so uadui,jalibu kuwa wazi na kuficha hisia zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom