Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Wanafiki ndivyo walivyo Mkuu.
Sahihi. Katika hali halisi ambayo "raia namba moja wa Tanzania pamoja na wote wamuungao mkono", wamekuwa wakimshambulia TAML kwa kumuita msaliti. Si hivyo tu, bali pia wamekuwa wakionesha chuki dhahiri hasa katika kila hotuba za hadhara.
Sasa basi, katika mazingira hayo watawezaje kujitoa katika lawama, kushukiwa na kutwezwa na jamii yote? Tafakari!
 
Msimsahau..mbowe na LOWASSA into this......Kwa moto alionao LISSU kujijenga na kujipatia umaarufu ni kikwakazo ikubwa sana kwa USTAWI WA UENYEKITI WA MBOWE na ustawai wa LOWASSA kama mgombea URAIS 2020.....Changanya na zako
Acha hadithi hii..haivutiii..anaweza kuwa na maadui wengi likini sio kwa uandishi wako
 
Umeonyesha una maslahi na upsnde flani kiasi umehalibu mada na yaonyesha una mengi zaidi lejea kauli ya jk upinzani so uadui,jalibu kuwa wazi na kuficha hisia zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sitaki kua mnafiki. Ni kweli kuwa naiunga mkono serikali ya Magufuli. Lakini hapa siitetei serikali bali natoa sababu zangu kwa nini haiwezikani kuwa serikali inahusika.

Wakifanya hivyo (kumuua Lissu) watakuwa wamewapa CDM ushindi wa kilaini sana ifikapo 2020.

Lakini kwa kujua hili, wasioipenda serikali ya Magufuli wanaweza kabisa kumuua Lissu ili CDM ionewe huruma katika uchaguzi wa 2020.

Hizi mbinu ninazoziita "false-flag" tactics ni za kawaida sana duniani na zinatokea kila leo. Ukitaka ninaweza kukupa mifano mingi sana inayotokea hata sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Boss. Hoja zako ni muhimu sana. Hoja ya serikali umeielezea kidogo. Sioni namna serikali inaweza kuwa "so stupid" kufanya kitu kama hicho ikijua matokeo yake. Hoja ya wanaoichukia serikali ni strong zaidi. Maadui wa serikali ni wawekezaji na wengi waliotumbuliwa. Wangefurahi kuona JPM anachukiwa ndani na nje.
 
Naomba nikuongeze hoja ya nne.adui mwingine wa lissu ni lowassa na mbowe. Utambue kuna makubaliano yasiyo rasimi kati ya mbowe na lowassa kuwa lowassa ni mgombea urais mteule mwaka 2020.lkn nyota ya lowassa inaonekana kufifia na kufunikwa ni kijana mpambanaji na mwana harakati msomi tundu antipas lissu.na kuonekana lissu ndio chaguo la wanachadema vijana na wasomi kugombea urais mwaka 2020.hivyo lissu anaelekea kuzima tena ndoto za loeassa kugombea urais 2020 na lissu inaonekana ndie mtu pekee mwenye ueezo wa kupambana johb pombe magufuli.sisemi kuwa lowassa amehusika, ila najaribu kutoa picha tu ya watu ambao naamini wanameona lissu kuwa ni kitisho kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me namba nne nina uhakika nayo asilimia zote, hakuna serikali inayoweza kumuua mtu kizembe namna ile ingali inajua kua kesi moja kwa mija itakua ni yake.
Kama sivyo basi tuna serikali mbovu mno haijawah tojea.
Nitakua wa mwisho kuamini kuwa ni serikal

Sent from my head using brain
 
Mimi sitaki kua mnafiki. Ni kweli kuwa naiunga mkono serikali ya Magufuli. Lakini hapa siitetei serikali bali natoa sababu zangu kwa nini haiwezikani kuwa serikali inahusika.

Wakifanya hivyo (kumuua Lissu) watakuwa wamewapa CDM ushindi wa kilaini sana ifikapo 2020.

Lakini kwa kujua hili, wasioipenda serikali ya Magufuli wanaweza kabisa kumuua Lissu ili CDM ionewe huruma katika uchaguzi wa 2020.

Hizi mbinu ninazoziita "false-flag" tactics ni za kawaida sana duniani na zinatokea kila leo. Ukitaka ninaweza kukupa mifano mingi sana inayotokea hata sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu hili jambo wengi sana nabishana nao.
Inahitaji kufikilia nje ya box kuelewa hili ukifikiria kiwepes utapata jibu jepesi tu. Kuwa serikali ndo imefanya hili tukio. Lakin kiukwel ili tukio lina manufaa makubwa kisiasa.

Sent from my head using brain
 
Muwasilishaji wa uzi ungeongeza namba moja katika nadharia zako.kumbuka jamaa ni mwanasheria pia,pengine kuna kesi anayoisimamia na upende wa pili wa kesi hyo wanajaribu kumtoa uhai kwa manufaa yao...[emoji52]kwahyo tusiegemee upande mmoja tu wa serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe kabisa. Mimi nilijikita kwenye sababu za kisiasa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili halitaki tochi ni serikali ya ccm ndio iliyotaka kumuuwa au kutowa fundisho kwa wapinzani sababu 1:chama cha ccm kimezowea kuuwa 2: Magufuli alisema hataki kujaribiwa 3: ccm haraka haraka wametowa taarifa ya kulaani 4: ingekuwa sio dola hakuna anayeweza kufanya hujuma hii mchana kweupekama sio ccm 4: mpaka leo polisi hawajamkamata yoyote na matamshi yao niyaupole hatujawazowea polisi kuwa wapole isipokuwa hujuma iliyofanywa na dola 5: siku zote wapinzani wakitaka kufanya mikutano mapolisi wanawazuwia eti kuna habari za intelijensia mbona kuuliwa wapinzani huwa hawana intelijensia 6:mpaka leo hutukupata habari yoyote kwa kuripuliwa imma advocat ndio imepita hiyo ebu jaribu kipiga jiwe tu branch ya ccm uone walipotaka chadema kufanya maandamano ya ukuta mpaka nevi ilitayarishwa lakini jambo likifanywa na dola utasikiya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani CCM walitaka kujitia doa litakalohakikisha kushindwa kwao ifikapo 2020?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna mtu kauwawa au kujeruhiwa vibaya

'polisi humtafuta au hutafuta mtu asiekuwa na mahusiano nae mazuri karibuni' tuanzie hapo nani au kikundi gani kinachomgasigasi mh Tundu Lissu.
 
Wezi wa madini yetu waliozoea kupandikiza chuki za namna hiyo katika mataifa mengine.
 
Sahihi. Katika hali halisi ambayo "raia namba moja wa Tanzania pamoja na wote wamuungao mkono", wamekuwa wakimshambulia TAML kwa kumuita msaliti. Si hivyo tu, bali pia wamekuwa wakionesha chuki dhahiri hasa katika kila hotuba za hadhara.
Sasa basi, katika mazingira hayo watawezaje kujitoa katika lawama, kushukiwa na kutwezwa na jamii yote? Tafakari!
Mimi ni mshambuliaji mkubwa sana wa Lissu katika harakati zake za siasa za upinzani. Mara nyingi nilimshambulia vikali sana kwa hoja. Hii ndio demokrasia. Sio uuaji.

Akifa nitamtupia nani tena madongo ya hoja kama nilivyomfanyia hapo nyuma.

Lakini tutofautiane bila ya kuchukiana (disagree without being disagreeable). Kama utamuua kila unaetofautiana nae hivi kuna atakaebaki?

Watu waache huu unyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom