Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Pamoja na hoja zako kupendelea upande mmoja lakini ukweli watanzania wanajua muhusika .Hampendi kuambiwa Ukweli hakika mshahara wa dhambi ni mauti kila mtu atavuna anachopanda kwa muda wake. Get well soon Tundu Lissu
 
5.anaombania nao madaraka chamani kwake,hakuna asiyejua alikua interest fulani chamani,refer yule alipata ajali akafa akitokea dodoma baada ya kuonyesha interest ya nafsi fulani chamani

ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
 
Kazi mojawapo ya idara ya Usalama wa Taifa ni kudetect na kuprevent threat to our national security.

Haihitaji mtu kuwa na akili sana kuelewa kwa hali ya siasa ya sasa ikitokea Lisu akashambuliwa watu watainyooshea vidole Serikali.

Hii ni kwa sababu Lisu ashasema idara hii inamfuatilia na inataka kumdhuru. Pia, anakwaruzana na Magufuli openly. Hii ni sababu nyingine kwa nini jambo lolote lile likitokea juu yake Serikali inanyooshewa vidole.

Sasa Rais anapotangaza kwamba yupo kwenye vita ya uchumi, vyombo vya usalama vinapaswa kuhakikisha hakuna "mzungu" anayekuja kumdhuru Lisu ili kuichonganisha Serikali.

Hivyo alipaswa kuwa chini ya uangalizi. Isitoshe kama mzungu anatoka nje na kuweza kufanya hili basi hatupo salama. Hii inaonyesha failure kwa vyombo vyetu.

Failure hii si mara moja bali mara mbili. Kushindwa kutambua hatari na pia kushindwa kuzuia hatari.

Jambo lingine unalohoji kuhusu hii coincidence ya kusoma ripoti na Lisu kupigwa risasi. Unasahau hizi ripoti si tu zinawachafua hawa wazungu bali hata serikali zilizopita.

Je, inawezekana watu kutoka hizi Serikali zilizopita hawapendi kuchafuliwa na sasa wameamua kuhamisha upepo? Hii pia ni moja ya scenario.

Lakini haya matokeo ya kuteka watu na kutolea bastola watu si mapya sasa.

Kabla ya kunyooshea vidole hao wazungu tujiangalie na sisi kwanza kama tu wasafi.
Nimejifunza kitu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema "alietaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.
...
Nimefikiria wahusika katika dhana 4. Nitazichambua hizi dhana moja moja.

Dhana zenyewe ni hizi. Washambuliaji ni:

1. Vichaa fulani tu. (Random act)

2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.

3. Serikali yenyewe

4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
...
Please tell me I am not crazy.

Pole kwa familia yake Mh Lissu, Chadema na TLS.

Kifyatu, you are not crazy at all.

Uchambuzi wako unatoa taswira-mwelekeo wa sababu za tukio hilo. Ila umeacha kugusia zifuatazo:
1) Maadui wake kisiasa
3) Maadui wake kiuchumi

1) Kwamba umaarufu wake kisiasa, umemjengea maadui kisiasa, na wasio na subira watapenda kumwondoa. Politics is power na ndiyo maana matajiri na wasomi hukimbilia huko.

2) kwamba katika shughuli zake za uwakili huenda kajijengea uadui na wateja wake au upande wa pili kwa kutokutimiza wajibu wake wa kuwatetea kama itahusisha kiasi kikubwa cha malipo ya pesa. Wapo watu ambao huwa hawana subira ya kukubali matokeo yaliyo kinyume na matarajio yao.

Yote kumi ya sababu, tisa tinajifunza kuwa na simile katika maisha. TUSIKIMBIE WAKATI HATUNA BREKI
 
Katika Uchunguzi wa Mauaji au Jaribio la Mauaji, Wapelele makini Swali la Kwanza Kujiuliza, Who would have a Motive! Or in Other words who would stand to benefit in Such a murder or an attempt.

Now this question must be addressed ASAP regardless of the fact that some individuals who might as well be gulty are condemning the incident, We need to Know whol would want Tundu Lissu dead!
 
Pole kwa familia yake Mh Lissu, Chadema na TLS.

Kifyatu, you are not crazy at all.

Uchambuzi wako unatoa taswira-mwelekeo wa sababu za tukio hilo. Ila umeacha kugusia zifuatazo:
1) Maadui wake kisiasa
3) Maadui wake kiuchumi

1) Kwamba umaarufu wake kisiasa, umemjengea maadui kisiasa, na wasio na subira watapenda kumwondoa. Politics is power na ndiyo maana matajiri na wasomi hukimbilia huko.

2) kwamba katika shughuli zake za uwakili huenda kajijengea uadui na wateja wake au upande wa pili kwa kutokutimiza wajibu wake wa kuwatetea kama itahusisha kiasi kikubwa cha malipo ya pesa. Wapo watu ambao huwa hawana subira ya kukubali matokeo yaliyo kinyume na matarajio yao.

Yote kumi ya sababu, tisa tinajifunza kuwa na simile katika maisha. TUSIKIMBIE WAKATI HATUNA BREKI
Uchambuzi mzuri sana na ni kweli sikuyaainisha haya. Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mti mbichi wenye matunda ukitendewa hivi je mti mkavu unafanywa nini
 
Msimsahau..mbowe na LOWASSA into this......Kwa moto alionao LISSU kujijenga na kujipatia umaarufu ni kikwakazo ikubwa sana kwa USTAWI WA UENYEKITI WA MBOWE na ustawai wa LOWASSA kama mgombea URAIS 2020.....Changanya na zako
Saws sawa kabisa. Vyombo vyote vya uchunguzi wanavyo serikali nini kinawazuia kuifanyia kazi theory yako hiyo?
 
Tundu Lissu made himself a sweet target for quite a number of suspects!:

- Within his party he could already be, to some members, more profitable dead, come the right circumstances, than alive! AND SOME LITTLE DEVILS WON'T HESITATE WHEN THE ATMOSPHERE SIGNALS IT'S TIME TO PIN THE TAIL ON A FALSE MONSTER!
-
-
-

FILL THE GAPS!
 
Reading some of the comments here and repetitive in other posts, one will realize that this was a calculated move. One might form a rebuttable presumption that many, particularly in social medias, were prepared to defend in whatever means any reflection/attack on GoT to have committed this act. Everybody knows who TL was against and what he fought for. It is quite inconceivable to be made to understand that the perpetrators of this evil act come from his own party members or enemies of the state. (my view of which i stand to be criticised)
 
Semeni yooote ila damu ya MTU ni kitu kingine. Mungu akitaka tuwajue wahusika hasa baada ya kilio cha wengi tutawajua kirahisi tuu. Kumbukeni yule kijana aliyetdka watoto na kuwaua Arusha na kukamatiwa Geita.
 
Back
Top Bottom