Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
dunia nzima ni wewe peke yako unaweza kujifanya jasusi ili upigwe risasi hadi upoteze fahamu kama lisu.
 
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.

Scenario 1
Ukisoma tamko la Acacia la juzi Sept 4 utaona kuwa kampuni hiyo sasa inataka kurejesha uhusiano mzuri na serikali. Hata hivyo, ili mpango huu uweze kutekelezwa, lazima Acacia ihakikishe inaondoa liability; Lissu. Ni bahati mbaya ametumika bila kujua namna hawa mabeberu wanavyofanya kazi zake. Wakikuruhusu 'utazame mfalme akiwa uchi' with naked eyes, huwa unatengeneza your own liability - and they do eliminate such liabilities in their account anytime when it so dictates.

Scenario 2
Inawezekana kabisa kuna watu walinasa mawasiliano yake na walipaji (wateja wake) kuwa muda huo wangempelekea mzigo wake. Watu wabaya wakafanya timing. Kuna haja ya kufanya thorough intel screen ya sababu ya kuwepo kwake mahali alipopigiwa risasi.

Scenario 3
Makundi yasiyofurahia kuwa overtaken na Lissu (2020 race) ndani ya Chadema. Polisi wachunguze simu na mawasiliano mengine ya Lissu kujua aliwasiliana na nani na alizungumza nini muda wa mwisho kabla ya kupigwa risasi.

Scenario 4
Lissu kwa Siasa zake ameji-expose kwa agents 'provocateur operatives'. Hawa hutumia mitafaruku katika jamii kupanga na kutekeleza mauji kwa lengo la kuchagiza vurugu katika jamii ili wafanikishe malengo yao ya kiuchumi na hata kisiasa. Kwa mfano, wakati huu nchi inapigana vita ya uchumi dhidi ya mabeberu na makampuni yao, inawezekana kabisa mabebru hao kutengeneza mazingira ya kuingiza nchi kwenye vurugu na machafuko ili serikali ishindwe kusimamia vita ya kulinda uchumi wa nchi na badala yake ielekeze nguvu zake kukabiliana na vurugu. Unaweza kuanzia hapa kufikiri motive ya Gazeti la The Washigton Post katika kadhia ya Lissu. Intel ya serikali inaweza kuchukua clue hii pia. Kwa nini matukio mengine yakitokea hapa nchini hawayatangazi promptly kama hili? There must be hidden motive, which must be established.
 
mtanzania.co.tz/mnyika-mchange-wavutana-sakata-la-mauaji/
Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, zimeendelea baada ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Chadema, John Mnyika na kada wa chama hicho, Habib Mchange kuvutana hadharani.
Hiyo ni siku chache baada ya Mchange kutoa tuhuma dhidi ya viongozi wa juu wa Chadema wakiwamo Dk. Willibrod Slaa, Freeman Mbowe(mwenyekiti wa chama), Tundu Lissu (mwanasheria) na Mnyika akidai kuwa wanasuka mipango ya mauaji dhidi ya wananchi katika maeneo mbalimbali nchini.
Wakizungumza jana katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Star TV, Mchange alizidi kudai kuwa viongozi hao nwanasuka mauaji dhidi ya wananchi na akamtaka Mnyika awaombe radhi Watanzania.
“Ninashangazwa Mnyika anashindwa kusema ukweli, kwani tukiwa katika uchaguzi mdogo Igunga alikuja na kuhangaika usiku kucha ili kufukia tindikali iliyomdhuru kada wa CCM, Mussa Tesha kwamba ndani ya Chadema, Slaa, Mbowe na Lissu eti hawatakiwi kuguswa.
“Huu ni uamuzi uliofanywa na Kamati Kuu ya Chadema ambayo ilibariki mipango mbalimbali ya mauaji, yakiwamo ya Chacha Wangwe na hata matukio ya Morogoro, Iringa na Arusha,” alidai Mchange.
Mchange alitoa matamshi hayo mazito mbele ya Mnyika kuhusu madai yake kwamba viongozi waandamizi wa chama hicho ndiyo mabingwa wa matukio ya ugaidi na utoaji roho za wenzao.

Hata hivyo, mtangazaji wa kipindi hicho alipomhoji Mchange kwa nini madai hayo hakuyapeleka polisi kipindi chote hadi sasa ndiyo anaibuka nayo, kada huyo alisema amefanya hivyo kwa kuchukuliwa maelezo yake polisi na akawataka Mnyika na Mbowe nao wafanye hivyo.
Mchange ambaye ni mwanachama wa Chadema kutoka Wilaya ya Temeke aliwahi kugombea ubunge katika Jimbo la Kibaha Mjini mkoani Pwani mwaka 2015 na kushindwa.
Alisema viongozi wa Chadema pamoja na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, wamekuwa wakitekeleza mambo hayo hasa wanapotofautiana katika msimamo na mitazamo ndani au nje ya chama.
“Dunia nzima inajua watu hawa wameshiriki kwa ukamilifu kumuondoa duniani aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Wangwe. Hii haina ubishi kwamba
Mbowe, Slaa na Mnyika walijaribu mara kadhaa kutaka kumuua kwa sumu na kushindwa mpaka walipoweza kumuua kwa ajali ya kutengeneza Julai
28 mwaka 2008 wakimtumia kijana ambaye dunia nzima inamjua,” alidai Mchange.
Wakati kada huyo akirusha makombora hayo, muda wote Mnyika alikuwa mtulivu huku akionyesha a kutabasamu.
Mchange katika kipindi hicho cha Star Tv, alimshangaa Mnyika kukiri kwamba anamfahamu Mallya wakati awali alimkana kutomfahamu kwa namna
yoyote.
Mchange alidai baada ya Wangwe kufariki dunia kwa ajali ya gari eneo la Pandambili, Dodoma Julai 28, 2008 usiku Mnyika alizungumza na waandishi
wa habari kesho yake na kumkana Deus Mallya akisema Chadema haimtambui.
“Maana yake ni nini? Ni kwamba Mnyika na Chadema walimkana Mallya kimkakati ili kukiondoa chama kwenye ushahidi wa mauaji ya kiongozi wake
mkuu msaidizi,” alidai Mchange na kuhoji, “kwa nini Mnyika alimkana Mallya aliyekuwa si tu rafiki yake lakini mshirika wake mkuu kwenye harakati za
ujenzi wa chama?”
Alidai baada tu ya tukio hilo, Dk. Slaa alimuagiza Mkurugenzi wa Kampeni na Uchaguzi aidhinishe malipo na vijana waliohusika wakapelekwa Mwanza
na kuhifadhiwa kwenye Hoteli ya Magnum kwa zaidi ya mwaka mmoja, wakiendeshwa na dereva mmoja maarufu wa Chadema ambaye hakumtaja.
Mnyika ajibu mapigo
Akijibu tuhuma hizo, Mnyika alisema madai ya Mchange hayana ukweli ila anachofanya ni kutafuta huruma ya siasa mbele ya Watanzania.
“Suala la madai ya Igunga ya kuhusika kwangu na tindikali, mimi sikuwapo nchini nilikuwa Zambia kama mwangalizi katika uchaguzi mkuu… sasa nahusikaje.
“Ni muda mrefu chama chetu kimekuwa kikihusishwa na madai haya lakini tuliandika barua kwa Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ili aunde tume ya mahakama kuchunguza madai haya ya muda mrefu dhidi ya chama chetu mpaka sasa yupo kimya.
“Mchange anatumiwa na CCM na chama chake cha ACT ili avuruge. Iweje leo hii aje na hoja ya Wangwe au kwa kuwa ni marehemu, si jambo jema kuzungumzia suala la marehemu…nachotaka kusema ni kwamba watawala lazima wajue hawawezi kutusingizia tuhuma za mauaji wakati mikakati hii inafanywa na wao wenyewe,” alisema Mnyika.
Wiki iliyopita madiwani wawili wa Chadema waliokuwa CCM Mkoa wa Shinyanga, waliibua tuhuma hizo wakidai walitumwa waitungue helikopta ‘ iliyokuwa imewabeba viongozi wa chama hicho akiwamo Dk. Slaa.
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Sebastian Mzuka na Zakaria Mfuko wa Kata ya Masekelo, walidai kula njama za kumuua Dk. Slaa, zikipangwa na kile walichodai mtandao mpana wa CCM na Serikali yake.

Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji - Click to see also ☛ Mnyika, Mchange wavutana sakata la mauaji via @MtanzaniaNews
 
Kwa upande wangu mara nyingi historia ni mwalimu mzur makundi yenye tabia ya kuhusishwa na mambo kama haya ni mawl serikali au maadui zake wenyewe ndani ya chama chao hcho hcho. Lkn kundi la kwanza lnapewa nguvu kubwa lkn mwisho wa sku tuxubr polce wao waweza kutupa majb mazur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema ni gumu but at the same time unapiga ramli chonganishi eti ni cdm. You are really bogus indeed.
Sawa mkuu mie ni bogus, lakini lazima ujue serikali yoyote uwa ikitaka kufanya operation kama hizo uwa hakuna makosa eti target ijeruhiwe: opeartion zote wanamaliza kazi within targeted object asap na uwa ikibidi na witness around wanamalizwa.
Kwahio conclusion yangu kwa hili la TL si vema kuifikiria eti serikali ina mkono humo; kwa lipi haswa?? Na wakati TL akiongea wanafanya kumpumzisha ndani siku 2 au 3. Hao watakua wahuni fulani kama sio ndani ya cdm basi watu wanaolengwa na hii vita ya serikali ya awamu ya 5 ili tu kuichonganisha serikali na wananchi. Issue ndogo, mtu wa serikali yupo kazini apige kweli risasi 32 bila target ?? Nitakua wa mwisho kuliamini hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa maana ya gvt kuhusika huo ni uongo wabkiwango cha abunuasi, ila ninachoamini hawakuwa na mpango wa kumuua ls ila walitaka kutoa taarifa kuwa ls alindwe,

siamini kama ls anahoja nzr kiasi kuleta shida kwa serikali, yaan ukimlinganisha yy na dr slaa, au zk, ls anaingia mara 100 zaidi, hvyo hii mbinu iliyotumika imefell waje na plan b..

ni mhim tukatambua jambo moja, ls ni binadam ambae anahaki zote za kuishi kitendo cha mtu kupanga mauaji juu yake ni laana kubwa sana,

hvyo naungana na wale wote wanao laan jambo hili namwombea apone haraka, ni vyema vyombo vya usalama vifuatilie na kuja na taarifa sahihi, ili kuondoa hizi dhana potofu...

think..
 
Scenario 1
Ukisoma tamko la Acacia la juzi Sept 4 utaona kuwa kampuni hiyo sasa inataka kurejesha uhusiano mzuri na serikali. Hata hivyo, ili mpango huu uweze kutekelezwa, lazima Acacia ihakikishe inaondoa liability; Lissu. Ni bahati mbaya ametumika bila kujua namna hawa mabeberu wanavyofanya kazi zake. Wakikuruhusu 'utazame mfalme akiwa uchi' with naked eyes, huwa unatengeneza your own liability - and they do eliminate such liabilities in their account anytime when it so dictates.

Scenario 2
Inawezekana kabisa kuna watu walinasa mawasiliano yake na walipaji (wateja wake) kuwa muda huo wangempelekea mzigo wake. Watu wabaya wakafanya timing. Kuna haja ya kufanya thorough intel screen ya sababu ya kuwepo kwake mahali alipopigiwa risasi.

Scenario 3
Makundi yasiyofurahia kuwa overtaken na Lissu (2020 race) ndani ya Chadema. Polisi wachunguze simu na mawasiliano mengine ya Lissu kujua aliwasiliana na nani na alizungumza nini muda wa mwisho kabla ya kupigwa risasi.

Scenario 4
Lissu kwa Siasa zake ameji-expose kwa agents 'provocateur operatives'. Hawa hutumia mitafaruku katika jamii kupanga na kutekeleza mauji kwa lengo la kuchagiza vurugu katika jamii ili wafanikishe malengo yao ya kiuchumi na hata kisiasa. Kwa mfano, wakati huu nchi inapigana vita ya uchumi dhidi ya mabeberu na makampuni yao, inawezekana kabisa mabebru hao kutengeneza mazingira ya kuingiza nchi kwenye vurugu na machafuko ili serikali ishindwe kusimamia vita ya kulinda uchumi wa nchi na badala yake ielekeze nguvu zake kukabiliana na vurugu. Unaweza kuanzia hapa kufikiri motive ya Gazeti la The Washigton Post katika kadhia ya Lissu. Intel ya serikali inaweza kuchukua clue hii pia. Kwa nini matukio mengine yakitokea hapa nchini hawayatangazi promptly kama hili? There must be hidden motive, which must be established.

I totally agree with you. This is an economic war against the government. There must be a hidden motive.
Hao criminal gansters ushwara lazima wakamatwe haraka iwezekanavyo.
 
I totally agree with you. This is an economic war against the government. There must be a hidden motive.
Hao criminal gansters ushwara lazima wakamatwe haraka iwezekanavyo.

upo sahihi something been arranged somewhere, na kama si hvyo naanza kuiona ile njia ilitumika kwa mataifa mengine waki apply hapa,

bahati nzr sis hatuna udini wala ukabila, kwa hyo wameleta watu ili waanze kufanya hayo ili ionekane kuwa gvt imefanya, plan falled..

wakajipange upwa..
 
upo sahihi something been arranged somewhere, na kama si hvyo naanza kuiona ile njia ilitumika kwa mataifa mengine waki apply hapa,

bahati nzr sis hatuna udini wala ukabila, kwa hyo wameleta watu ili waanze kufanya hayo ili ionekane kuwa gvt imefanya, plan falled..

wakajipange upwa..
Ls man kama ulivyosema wajipange upya na hawapenyi kwetu ng'o! Walijaribu kuleta udini walishindwa, wakajaribu ukabila wakashindwa. We are unique and we will continue staying strong! Tatizo Uncle Magu hataki kuendelea baada ya 2025 hapo ndipo anaponikosesha usingizi! jamani nani anamfahamu Mganga nikamloge asahau kumbukumbu ya miaka ikifika 2025? Magu weee!
 
JF sijui imekuaje? Yaaan mnazunguka zunguka tilalila nyingi wakati muuaji anajulikana, sijui tumekuwa 'wazee'??
 
Back
Top Bottom