Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Nasema "alietaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.

Niungane na Watanzania wenzangu kumuombea Tundu Lissu dua/sala ili apone kikamilifu, Amin.

Nimejiuliza maswali mengi kuhusu shambulio hili la kipekee kwa mbunge (sijui kama kulikwishatokea shambulio jingine kama hili), hapa Tanzania.

Yafuatayo ni malumbano ya kifikra ndani ya nafsi yangu kuwa ni nani hawa waliotaka Tundu Lissu afe. Maoni yako yanahusika, tafadhal.

Nimefikiria wahusika katika dhana 4. Nitazichambua hizi dhana moja moja.

Dhana zenyewe ni hizi. Washambuliaji ni:

1. Vichaa fulani tu. (Random act)

2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.

3. Serikali yenyewe

4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.


1. Vichaa fulani tu. (Random act)
Hii inawezekana lakini inakinzana na taarifa za kuwa Lissu alikuwa anafuatiliwa na magari kwa kipindi kirefu. Huu mpango ulisukwa na pia walijua wanaemtaka hadi kumfuata mpaka nyumbani kwake. Sidhani hii ilikuwa ni Random Act. Dhana hii ni potofu.

2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
Hii inawezekana kabisa. Wengi walimshutumu Lissu kwa kupinga sera zote za serikali (mimi nikiwa mmojawao). Kuna watu walikwenda mbali zaidi na kusema wanataka serikali iwaruhusu wamuue. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu hawa.

Katika demokrasia watu tunashambuliana vikali kwa hoja na sio kwa kuumizana au kuuana. Kama hii itathibitika, basi kuna umuhimu wa kuwapatia ulinzi wanasiasa machachari wanaoibua hisia kali.

Kuna uwezekano mkubwa dhana hii ni sahihi.

3. Serikali yenyewe
Kuna watu mitandaoni wanadhani ni serikali yenyewe ndio imeunda hii mbinu ya kumuua Lissu ili awaondolee kelele. Wengi wanasema Lissu amefichua siri nyingi za serikali kufikia kuwa tishio kwa hii serikali.

Kwa maoni yangu huu ni upuuzi. Serikali hii inakubaliwa na watanzania wengi. Hoja karibuni zote alizotoa Lissu dhidi ya serikali zinaweza kujibiwa kirahisi sana. In fact, baadhi ya shutuma za Lissu zinaipaisha serikali kwa Watanzania. Kelele za Lissu zinaweza kuwa baraka (blessing) kwa CCM ifikapo 2020. Kumuua Lissu kutajenga hisia za uonevu na kuwaonea huruma CDM ifikapo uchaguzi mkuu. Serikali haiwezi kufanya kosa hilo.

Kwa hiyo dhana hii ni potofu

4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
Hii dhana inahusisha watu wanaoichukia serikali (sio lazima wapinzani, inaweza kuwa watu wa nje) wanaotaka kumuondoa Rais Magufuli madarakani ifikapo 2020 kwa kuihusisha serikali yake na mauaji ya Lissu.

Serikali ya Magufuli imeathiri maslahi ya watu wengi sana wa ndani na wa nje. Akiendelea hivi hivi ana uhakika kabisa wa kupita ifikapo 2020. Sasa utaitoaje hii serikali madarakani ifikapo 2020. Jenga chuki kwayo.

Kama nilivyoeleza kwenye dhana namba 3, watu wakiamini kuwa serikali imemuua Lissu kinyama basi watawaonea huruma CDM na kuichukia CCM. CDM watachukua dola ifikapo 2020.

Je ni nani hawa wanaotaka kufanya unyama kama huu na kuisingizia serikali ya CCM (false-flag attack)?

Nina dhana nyingine 2 au 3 hivi (mfano, internal politics within CDM) lakini ni za pembeni sana na uwezekano wake ni karibu na sifuri. Kwa sasa hayo ndio malumbano yanayoendelea kichwani mwangu.

Please tell me I am not crazy.
Mtu hahitaji kusoma uzi wako mpaka mwisho ili ajue wewe ni wavipi? Lisu kashambuliwa na walewale walioshambulia ulimboka Dr. Huyo raisi na serikali unayosema inakubalika inakubalika lumumba? Ruhusuni mikutano ya vyama uone vumbi lake! Muwazuie watu kaongea af mseme imnakubalika?
 
Mtu hahitaji kusoma uzi wako mpaka mwisho ili ajue wewe ni wavipi? Lisu kashambuliwa na walewale walioshambulia ulimboka Dr. Huyo raisi na serikali unayosema inakubalika inakubalika lumumba? Ruhusuni mikutano ya vyama uone vumbi lake! Muwazuie watu kaongea af mseme imnakubalika?

One track minded. Hata akingejikwa mtasingizia chama tawala! hoja finyu haina mashiko hiyo!
 
Huyu mtoa mada ametoa uwanja watu wajadili, lakini kila baada ya post mbili anarejea kujibu au kuelekeza. Kaa utulie watu wajadili. Rejea post ya 200. Vinginevyo una motive tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Those who speak do not know, and those who know do not speak....sometimes the enemy is amongst us and not far...

Tunamuombea awe katika mikono salama ya madaktari na kuweza kupona.
 
Kumbe ndio ulikuwa unaelekea huko ,,tuache tumuombe mpendwa wetu apone hakuna marefu yasio kuwa na ncha
 
Ukiyatafakari ya marehem chachawangwe
Na hili la mheshimiwa lisu jibu la nani linakua gumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa takriban miezi 2 hivi wakuu wote, ikiwa ni pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema walikuwa kimya kiasi kwamba Chama kilionekana kuendeshwa kwa ku-swing sawa na matamko continuous yaliyokuwa yakitolewa na Tundu Lissu. Hili nalo ni eneo la kufanyia intel analysis.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema "alietaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.

Niungane na Watanzania wenzangu kumuombea Tundu Lissu dua/sala ili apone kikamilifu, Amin.

Nimejiuliza maswali mengi kuhusu shambulio hili la kipekee kwa mbunge (sijui kama kulikwishatokea shambulio jingine kama hili), hapa Tanzania.

Yafuatayo ni malumbano ya kifikra ndani ya nafsi yangu kuwa ni nani hawa waliotaka Tundu Lissu afe. Maoni yako yanahusika, tafadhal.

Nimefikiria wahusika katika dhana 4. Nitazichambua hizi dhana moja moja.

Dhana zenyewe ni hizi. Washambuliaji ni:

1. Vichaa fulani tu. (Random act)

2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.

3. Serikali yenyewe

4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.


1. Vichaa fulani tu. (Random act)
Hii inawezekana lakini inakinzana na taarifa za kuwa Lissu alikuwa anafuatiliwa na magari kwa kipindi kirefu. Huu mpango ulisukwa na pia walijua wanaemtaka hadi kumfuata mpaka nyumbani kwake. Sidhani hii ilikuwa ni Random Act. Dhana hii ni potofu.

2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
Hii inawezekana kabisa. Wengi walimshutumu Lissu kwa kupinga sera zote za serikali (mimi nikiwa mmojawao). Kuna watu walikwenda mbali zaidi na kusema wanataka serikali iwaruhusu wamuue. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu hawa.

Katika demokrasia watu tunashambuliana vikali kwa hoja na sio kwa kuumizana au kuuana. Kama hii itathibitika, basi kuna umuhimu wa kuwapatia ulinzi wanasiasa machachari wanaoibua hisia kali.

Kuna uwezekano mkubwa dhana hii ni sahihi.

3. Serikali yenyewe
Kuna watu mitandaoni wanadhani ni serikali yenyewe ndio imeunda hii mbinu ya kumuua Lissu ili awaondolee kelele. Wengi wanasema Lissu amefichua siri nyingi za serikali kufikia kuwa tishio kwa hii serikali.

Kwa maoni yangu huu ni upuuzi. Serikali hii inakubaliwa na watanzania wengi. Hoja karibuni zote alizotoa Lissu dhidi ya serikali zinaweza kujibiwa kirahisi sana. In fact, baadhi ya shutuma za Lissu zinaipaisha serikali kwa Watanzania. Kelele za Lissu zinaweza kuwa baraka (blessing) kwa CCM ifikapo 2020. Kumuua Lissu kutajenga hisia za uonevu na kuwaonea huruma CDM ifikapo uchaguzi mkuu. Serikali haiwezi kufanya kosa hilo.

Kwa hiyo dhana hii ni potofu

4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
Hii dhana inahusisha watu wanaoichukia serikali (sio lazima wapinzani, inaweza kuwa watu wa nje) wanaotaka kumuondoa Rais Magufuli madarakani ifikapo 2020 kwa kuihusisha serikali yake na mauaji ya Lissu.

Serikali ya Magufuli imeathiri maslahi ya watu wengi sana wa ndani na wa nje. Akiendelea hivi hivi ana uhakika kabisa wa kupita ifikapo 2020. Sasa utaitoaje hii serikali madarakani ifikapo 2020. Jenga chuki kwayo.

Kama nilivyoeleza kwenye dhana namba 3, watu wakiamini kuwa serikali imemuua Lissu kinyama basi watawaonea huruma CDM na kuichukia CCM. CDM watachukua dola ifikapo 2020.

Je ni nani hawa wanaotaka kufanya unyama kama huu na kuisingizia serikali ya CCM (false-flag attack)?

Nina dhana nyingine 2 au 3 hivi (mfano, internal politics within CDM) lakini ni za pembeni sana na uwezekano wake ni karibu na sifuri. Kwa sasa hayo ndio malumbano yanayoendelea kichwani mwangu.

Please tell me I am not crazy.
Unaonekana dhahili ww unajua na ni mpotoshaji katika vidole vyangu vya mkono wa kushoto nakuchagulia kidole cha kat na nikirefu kuliko vyote.kitakupa jibu ya maswali yk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 × 1 = is....... Kutaka Urais na wazeee waliotoa bil 5. Sio mchezo. Ofisi za mhariri wa wanahalisi kuchomwa MTO ni nani? Tusijitie ufahamu bureee. Ni 1 × 1 = ni ....,...
..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We are very hungry and angry,
The right to demand. freedom to speak!
We used our mouth and pen,the truth to speak

They used guns and bullets, to kill the truth!
Always pushing the trigger, the bullet to speak...

The message they sent,the bullet will tell
That we need more guns and bullets,the truth to speak.

For them democracy is a gun,patriotism is the bullet
Killing and violence is the peace they want!

THE BULLET WILL TELL


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 × 1 = is....... Kutaka Urais na wazeee waliotoa bil 5. Sio mchezo. Ofisi za mhariri wa wanahalisi kuchomwa MTO ni nani? Tusijitie ufahamu bureee. Ni 1 × 1 = ni ....,...
..

Sent using Jamii Forums mobile app
usijifanye mjuaji kututoa kwenye issue.mtatafuta mbuzi wa kafara hadi lini.watanzania wenye ufahamu wanajielewa!!!!!
 
Sawa mkuu mie ni bogus, lakini lazima ujue serikali yoyote uwa ikitaka kufanya operation kama hizo uwa hakuna makosa eti target ijeruhiwe: opeartion zote wanamaliza kazi within targeted object asap na uwa ikibidi na witness around wanamalizwa.
Kwahio conclusion yangu kwa hili la TL si vema kuifikiria eti serikali ina mkono humo; kwa lipi haswa?? Na wakati TL akiongea wanafanya kumpumzisha ndani siku 2 au 3. Hao watakua wahuni fulani kama sio ndani ya cdm basi watu wanaolengwa na hii vita ya serikali ya awamu ya 5 ili tu kuichonganisha serikali na wananchi. Issue ndogo, mtu wa serikali yupo kazini apige kweli risasi 32 bila target ?? Nitakua wa mwisho kuliamini hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je, uko tayari kusaidia upelelezi ili hao watuhumiwa wa cdm watiwe nguvuni?
 
Back
Top Bottom