You are perhaps!
 
Hoja no.3 umetanguliza hisia zako Mbele zaidi kuliko kutafakari na kufikiri kwa Kina kwakua bdo ht km S/kali itakua imehusika ktk mchakato huo Uwezo wa CCM kuendelea kushikilia Dola ni mkubwa sanaa kwakua katiba bDo inampa Raisi nafasi kubwa zaidi(INAMLINDA)+Upinzani ht km utakua na Nafasi kubwa ya kushinDa na chama tawala kikachakachua matokeo hakutakuepo na suala la upinzani kukata rufaa ili uchaguzi urudiwe kwa kufuata Haki na Sheria,2005 mpk Raisi mstaafu anaapishwa mgombea mkuu wa Upinzani W.slaa alikua analalamika suala la kuibiwa kura zake na akafikia hata hatua ya kusema kwamba hamtambui Raisi mteule/aliyepo madarakani lkn baada ya Hapo hakikufanyika chochote So this is to reminD you that the first anD foremost key thing here is to change our Katiba,Halafu Issue ya kui neglect s/kali kwa hoja kwamba wtu wataionea huruma CDM ni kutoelewa kwamba hii Nchi illiteracy rate ni kubwa zaidi Maeneo ya Vijijini ambapo ukitembeza chumvi,kofia,fulana za rangi+Matamasha kadhaa n Lunch ya haja watu wanasahau shiDa na kurusha Mikono Juu so Chama tawala kina take Over,itizame hoja yko Vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sinema ya Mbowe, anataka kuondoa ushindani maana jamaa amekuwa popular kumzidi yy, [HASHTAG]#2020[/HASHTAG]
 

Umesahau dhana nyingine wewe na watu wa namna yako mnaojipendekeza mpewe nafasi na serikali hii inayotaka kusifiwa tu. Uzuri wake mnatekeleza amri kutoka juu halafu mnakuwa wa kwanza kuanzisha thread JF.
 
.....
......maji hayazoleki
 
Naanza na kutoa pole kwa watz wenzangu juu ya Mh.Lissu kwa janga lililomkuta..
Kwamfano Siku imetokea Mara Mungu amejaalia hao wahalifu wakakamatwa na IKIBAINIKA kua serikali haikuhusiana kabisa na matendo hayo..
HAO WENYE KUISHUTUMU SERIKALI YETU YA AWAMU YA 5,JE NYUSO ZAO WATAZIWEKA WAPI??

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Kumekucha tena .naona mmeshaingia kazini .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mnajishuku si mkae kimya msubiri watu wafanye uchunguzi wao??:
 
Acha Ujinga...mwombe mama yako nauli uende shule, au kojoa ukalale mtoto! Kwa akili yako kwanini isiwe serikali? Na kwa akili yako ndo umekaa hapo unasubiri Sirro amkamate Magufuli au Paul Makonda, au yeye mwenyewe Sirro na Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wajikamate kuwa ndo walihusika kutaka kumwua Lissu? Acha ujinga dogo
 
Serikali haikwepi na wala hawana pa kutokea
Police ccm bashite wanahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…