Usikute hapo umeshalipwa buku 7

Sasa mbona ujumbe wako content zero na Logic nayo hamna kbsa?

Huu ujumbe hata mtoto wangu anaesoma darasa la 4 anaweza kuuandi hii inamaanisha mleta mada una akili kama za mtoto wangu wa kike wa darasa la 4
Mi naona kama humtendei haki mwanao kumfananisha na mtu kama huyo. Nahisi mwanao ni bora sana hujajua tu.
 
Ebu taarifa yako hiyo ifanye vice-versa!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajitoa ufahamu tu, kwani sakata la Ulimboka kutekwa na kuteswa lilikuwaje? Anadhani tumesahau ile movie ya kamanda Cova na yule mkenya chizi? Hii nchi......!!!
 
Wewe mwenye huu uzi naomba utuambie wajibu wa serikali hii na wale watu ambao Lissu kawataja wanamfatafata walikuwa usalama wa Taifa gani au usalama wa kizungu
Jibu plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Risasi ndizo zinazoonyesha ni aina gani ya silaha imetumika. SMG na SAR zinatumia aina moja ya risasi. SAR ina magazine yenye risasi 10 wakati SMG ni risasi 30. Aina ya umiminaji wa risasi pia inaweza kukupa picha ni silaha gani kati ya hizo mbili imetumika. Nadhani kwa picha hiyo hata wewe sasa unaweza kujua ni silaha gani ilitumika.

Mbowe kutoa kauli siyo lazima aliyefanya preliminary investigation awe ni yeye, Mbowe ni mwenyekiti hivyo anapewa nafasi ya usemaji mkuu, hata kama taarifa hizo zimefanyiwa uchunguzi na watu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao ext. investigators hatuwataki ndio wametuibia sana madini yetu
 
Ndugu yangu hivi wewe unajua maana ya SMG? Ni silaha gani inaweza kupiga risasi 28-32 kwa kipindi kifupi tofauti na silaha zilizopo kwenye kundi la SMG. Tumia basi vichwa vyenu kuwaza baadala ya hayo makalio yenu.
Majambazi wangapi nchini wamekamatwa wakiwa na SMG??tena wanakata Bomba za MBELE iwe fupi ZAIDI..
Magazine ngapi za SMG zinakamtwa kila Leo na Polisi..
Wewe bora ungekua fungu LA nyongeza LA mkaa ukaleta faida nyumbani hata ya kupika Uji

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Haupo kwenye system so kaa kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaelekea wewe kujua hata jinsia ya binadamu inakupashida nahivo wote tunavaa suruali ! lazima upate taabu kutambua.
 
Ukiwa mfarume kwenye farume yako unatakiwa uangalie sana kauli zako kwa watu wako na kwa viongozi wako unaowateua kukusaidia ktk majukumu.

Inshu kama huzi hata mfarume mwenyewe anaweza asujue,tatizo anaweza kuwatuma watu
Bila ya kujua.

Wewe kama mfarme kila Siku una washutumu watu uliowateua juu ya mtu fulani kwamba anaweza kuhatarisha usalama wa farume yako kwasabu tu mfarume hakosolewi hatakama hukuwatuma wakafanye Ubaya juu ya mtu huyo,

Automatic umewatuma wakafanye wanachofanya ili mfarume afurahi.

MFARUME ANATAKIWA SASA KABLA HAJAONGEA AU KUTOA MAAMUZI,APIME KWANZA MAAMUZI YAKE.ANATAKIWA AJUE HATA HAO ANAOWAFOKE NA KUWASHUTUMU HAWAFURAHII HILO,

ASIPOKUA MAKINI KUNASIKU WATAFANYA MABAYA ZAIDI YA HILO
ILI WAMUHALIBIE KABISA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…