Kama jeshi la polisi halina taarifa waende kwa mnajimu wa masuala ya utekaji alietabiri kupatikana kwa Roma siku ya jumapili na akapatikana. Atawasaidia kugundua wahalifu wa Dodoma popote walipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mafunzo ya JKT siku hizi yanatoa products za aina yako?
 
Thread ya kipumbavu kabisa hii!!
 
Ni bora hayo Madini na Maliasili anayojifanya anayapigania yaendelee kuibiwa kuliko mtu kuwaletea wananchi wake kuishi kwa hofu, kuteka watu na kuuwa.
 
Wanapoteza muda kuisingizia Serikali. Watakuja kuaibika baadaye kama walivyoaibishwa na Uhuru Kenyatta.
 
Kitu kimoja naelewa in kwamba a professional mercenary/killer doesn't shoot to wound unless those were the orders, kama ilikua afe asingepona,
Kitu kingine serikali au watu makini wakitaka kukuua it won't be this loud unapata Tu ajali kama wangwe au unakutwa umejiua na kesi inafungwa,
Mytake: huu ni mchezo Fulani Tu tukae tuone who'll win

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nan kasema kuwa serikal ndo wahusika, wakat lissu aliwadanya wale mabwana wa ulaya sasa ulitegemea wamwache salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahao wabunge wanao lalamika kuwa walikuwa wanafatiliwa vipi wao waliwadanganya wazungu nn,wacheni kuwa na mawazo cheap ,tunahitaji maombi kwenye hili taifa,vipi Roma Naye aliwadanganya wazungu nn,wakina bashe,nape,lema nao wamewadanganya wazungu nn mpaka wafwatiliwe acheni hayo mawazo kabisa lazima tupate majibu makini kwenye haya maswali
 

Hahahhahaha utetezi wa UVCCM ni shida.Hivi hujui kwamba akina ya Visasi na upigwaji wa risasi unaonyesha aina ya silaha iliyotumika.

Kumbuka ndani ya gari kulikuwa na watu wawili sasa wewe kazana kitafuta Mchawi siye tumeshamjua mchawi.

Kipenzi Cha baba alikosekana kwenye kuuza sura kule Ikulu uliwa wapi??Saa kumi.na moja asubuhi yupo Morogoro alifuata nini huko??Lile gari liloua watu na kusheheni vijana walibeba silaha za kivita walikuwa wanatoka wapi??Au kuna vita mahali hatujui??

Kadanganye Lumumba bwana
 
Akili zako mgando. Wote walioshuhudia Wakati mmoja na Mbowe hawakupita mgambo? Acha kukalili majibu. ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…