Mkuu habari za siku!,
Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na ww ila pia naomba kupingana na ww!.
Dhana zote zinaweza kuwa valid na zikawa invalid.
Me naomba kuangalia dhana ya serikali.
Toka mwaka unaanza kumekuwa na matukio mengi ya serikali au vyombo vyake kuonekana kwenye makashi kashi ya uharifu na siraha ki ujumla
Mifano ni mingi,tukianzia kwa clauds fm watu wameingia na siraha na mpk leo clouds wanasema ila haikuwa social visit,Nape kutolewa bastola,office za IMMA kuvamiwa na watu wenye mavazi ya askari,akina roma kutekwa. Na mengine mengi ila kwa kiwango kikubwa hao waharifu they manage to get away with it!.
Kipindi cha nyuma akina Ulimboka na hao watu hawakupatikana
Kwa ambao wanafahamu uwezo wa jeshi au usalama kwenye kukusanya habari na ku deal na uharifu mkubwa au organized crime we are real good.na tunaheshimika saana huko kwenye jamii ya inteligency, ila kwa matukio ya uhalifu wa siku hizi kuna external force na watu wanaweza to get away with it!.
Kuna kitu ambacho huwa kina hamasisha jamii kuwa ya kiharifu.na haya matukio yakiendelea yatasababisha mafia au waharifu wa kimataifa kuona kumbe TZ unaweza l
Kufanya uharifu na ku get away with it!.
Neo.
Sent using
Jamii Forums mobile app