Kwa wale mnaoandika mambo ya kuzua kama haya muwe na consciences. Hilo ni suala lako na Mungu wako.

Ila tu sasa kuna AI na IOT si muda mrefu watu kama nyie mtakuwa wazi. Na itakuwa aibu kwenu
 
Ingekuwa hivyo serikali ingekuwa mstari wa mbele kuchunguza na hata huo uchunguzi huru wa kimataifa ulioombwa ungeruhusiwa. Hoja ya kijinga sana hii ya mtu asiyejua kutengeneza uongo
Uchunguzi wa kimataifa huoni kuwa ungepelekea kumleta mnunua documents! Tangu lini mfungwa akachagua gereza,kama anahaki anayo tu,na kama anahatia vilevile itajulikana tu.
Kurukaruka kwa maharage ndo kuiva...hata azunguke mwaka mzima hapa ni kwao atarudi tu.
 
Amakweli yule dada mwembamba wa Marekani ameharabu upstairs za wabongo wengi sana jamani
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Na zile kamera alitoa nani?Na walinzi getini aliwatoa nani?Na hao jamaa waliondoka vipi baada ya tukio bila kukwamishwa na msongamano wa magari? Mimi simjuwi aliyefanya haya,lakini hoja ulizoandika hapa hazikidhi vigezo vya fikra pevu,hivyo basi ni vema ukaenda kuwaeleza watoto wa chekechea
 
Kwa wale mnaoandika mambo ya kuzua kama haya muwe na consciences. Hilo ni suala lako na Mungu wako.

Ila tu sasa kuna AI na IOT si muda mrefu watu kama nyie mtakuwa wazi. Na itakuwa aibu kwenu
Kama huu ni uzushi ukweli ni upi, wewe na mungu wako?
 
Kamera hapa zinakujaje?, ni wewe kukubaliana na hoja au kukataa, simple
 
Hv ww mtoa mada unavijua vichwa vilivyomo humu jf. huwez danganya kitoto hivo.
 
Mkuu kosa nilipi hapo, kueleza nilichobahatika kukipata, nikaona nikilete tukijadili
 
Ungemuuliza vipi zile kamera pale area d ziko wapi?
Na mbona polisi wakakataza lisu asizungumziwe?
Afu ungemtia dola$
 
Mleta mada bila shaka atakuwa na tatizo la akili
 
TL ni msaliti na dawa ya msaliti inajulikana duniani kote!! Kawasaliti watoa info. Siyo mkuu??
Unaandika upupu wako mwenyewe kisha unajijibu mwenyewe kwa id nyingine. Mtaendelea kuwa wajinga zaidi, kwa mawazo ya kijinga kama haya. Tatizo kubwa kukaa kwenu, ugali wa bure, chai bure, unalala bure
 
Mkuu tindo, kosa hapa ni kusikia jamaa walidhulumiana?, haikutakiwa kusemwa hadharani?,

Mkuu thetallest tulishatoka kwenye enzi hizo za kuletewa propaganda hizi za kizee. Propaganda za hivi pelekeeni wazee huko vijini wale wanaotumia simu za torch ambazo button zimefutika maandishi. Narudia tena kukuambia, hicho alichofanyiwa Lissu ni mambo ya kawaida kabisa huku Africa kwa wapinzani wanaoikosoa serekali waziwazi. Na hali hiyo hutekelezeka zaidi unapokuwa na kiongozi asiye na ushawishi wa kisiasa, wala uwezo wa kidiplomasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…