None of the above! Ni vita ya uchumi!!! Mind u
 
You are giving me too much credit than I deserve. I am very shallow.

Kama Magufuli hapendwi na wengi basi upinzani hawana cha kuhofu, 2020 inanukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vyombo husika lini vilikuja na majibu sahihi kuhusu matukio ya upinzani ukweli inaujua ila unaamua kujitilisha huruma tu
 
Hivi how come Taifa Zima linasikiliza habari za wizi wa Almasi, halafu ghafla bin vuup linatokea tukio la kutaka kumuassasinste kiongozi maarufu, hivi hii haiwezi kuwa ni Strategy ya Mabepari wa Almasi kujaribu kuzuia mjadala wa wizi wa Almasi usiende viral, na pia vyombo vya kimataifa visiripoti move ya serikali kuhusu madini hayo ili kulinda shares za Makampuni yao zisishuke.
Yaani Hii assasination attempt how possible can it be a coincidence na Ripoti ya Almasi kusomwa mbele ya president?

Mabepari yana mbinu nyingi za kublackmail serikali mbalimbali, au hata kutengeneza mazingira serikali zichukiwe na kisha ziangushwe kama zisipotii matakwa yao!!
 

Bensanane yuko wapi????

Waliomwagia tindikali kubenea wako wapi??

Waliomngoa kucha na meno Ulimboka wako wapi??

Walimteka mzee wa zimbabwe wako wapi??

Walioshambulia Absalom kibanda wako wapi???

Waliomua dr... Wako wapi??

Walio mtishia Nape Bastola wako wapi???

Walioshambulia CUF buguruni wako wapi??

Huu ni mchezo unaopangwa na watu wenye nia yao.
 
Asante kwa mchango wako.

Kuhusu silaha unaweza kusema majambazi wengi tu siku hizi wanazo SMG/AK47.

Lakini hizo points nyingine ni nzuri sana na sikuziainisha. Nisaidie basi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are giving me too much credit than I deserve. I am very shallow.

Kama Magufuli hapendwi na wengi basi upinzani hawana cha kuhofu, 2020 inanukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes you're too low. Kwasababu wao hawana cha kupoteza hivyo mwenye cha kupoteza ana hofu ya kupotelewa ndio maana anakilinda kwa mitutu! Uacheni uwanja huru na refa huru muone mtakavyopoteana dimbani na hapo ndipo utakapojua maana ya elite bila kamusi!
Waswahili husema, " ukiufunga sana mlango utalala nje "! Usemi huu upo karibu kutimia.
 

Kazi mojawapo ya idara ya Usalama wa Taifa ni kudetect na kuprevent threat to our national security.

Haihitaji mtu kuwa na akili sana kuelewa kwa hali ya siasa ya sasa ikitokea Lisu akashambuliwa watu watainyooshea vidole Serikali.

Hii ni kwa sababu Lisu ashasema idara hii inamfuatilia na inataka kumdhuru. Pia, anakwaruzana na Magufuli openly. Hii ni sababu nyingine kwa nini jambo lolote lile likitokea juu yake Serikali inanyooshewa vidole.

Sasa Rais anapotangaza kwamba yupo kwenye vita ya uchumi, vyombo vya usalama vinapaswa kuhakikisha hakuna "mzungu" anayekuja kumdhuru Lisu ili kuichonganisha Serikali.

Hivyo alipaswa kuwa chini ya uangalizi. Isitoshe kama mzungu anatoka nje na kuweza kufanya hili basi hatupo salama. Hii inaonyesha failure kwa vyombo vyetu.

Failure hii si mara moja bali mara mbili. Kushindwa kutambua hatari na pia kushindwa kuzuia hatari.

Jambo lingine unalohoji kuhusu hii coincidence ya kusoma ripoti na Lisu kupigwa risasi. Unasahau hizi ripoti si tu zinawachafua hawa wazungu bali hata serikali zilizopita.

Je, inawezekana watu kutoka hizi Serikali zilizopita hawapendi kuchafuliwa na sasa wameamua kuhamisha upepo? Hii pia ni moja ya scenario.

Lakini haya matokeo ya kuteka watu na kutolea bastola watu si mapya sasa.

Kabla ya kunyooshea vidole hao wazungu tujiangalie na sisi kwanza kama tu wasafi.
 
..hakuna jambazi wala kibaka atakayetaka kumuua Lissu usiku hata akiwa anatembea...achilia mbali mchana kweupe.....maana yeye ni mtetezi wa wote hawa....waliotaka kumuua Lissu wametumwa...jambo la kujiuliza ni nani waliwatuma???.....tuanze na ujambazi wa bashite Dar uliopita bila kuadhibiwa....ama wale waliomtolea silaha nape...ama kumteka roma....tuanzie hapa....jibu ndipo lilipo....kama watu wanatishia wenzao silaha bila kuadhibiwa...kwanini tusifikiri ndio waliomchapa risasi lissu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…