Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Na mwingine nae anawaza tundu lissu na chadema wamejaribu kuzima habari ya ripoti ya alimasi kwa gharama ya maisha,mwingine anawaza lowassa ametaka kumuua kwa kuwa lissu anatishia nafasi ya ugombea urais na mwingine anawaza kutokana na matukio ya chadema dhidi ya zitto,chacha wangwe na kupotea kwa ben saanane na uongozi kukaa kimya,mwingine anawaza tundu lissu na fatuma karume kupanga njama za kulipua ofisi za imma ili kujipatia uungwaji mkono kama wanaonewa yote haya chadema wanahusika 100% wasitake kujitoa na wakati wanalijua labda mapuruzai wenye kuwashabikia ndio hawajui!
 
Mtoa mada safisha makalio yako kwanza kabla hujayatumia kufikiri ulichokifikiri na kukiandika humu.
 
Huo ni uroho wa madaraka tu..2020.
Lissu alishawafunika kina Lowasa na M/kiti wao Mbowe
Ndivyo mnavyojaribu kuunda uongo wenu hivyo! Haya wakamateni basi, msipowakamata tutajua ni nyie. Hamna ujanja hapo mtaumbuka tu.
 
Naanza na kutoa pole kwa watz wenzangu juu ya Mh.Lissu kwa janga lililomkuta..
Kwamfano Siku imetokea Mara Mungu amejaalia hao wahalifu wakakamatwa na IKIBAINIKA kua serikali haikuhusiana kabisa na matendo hayo..
HAO WENYE KUISHUTUMU SERIKALI YETU YA AWAMU YA 5,JE NYUSO ZAO WATAZIWEKA WAPI??

Sent from Calculator Phone vesion007
Na ikiwezekana je
 
Kitu kimoja naelewa in kwamba a professional mercenary/killer doesn't shoot to wound unless those were the orders, kama ilikua afe asingepona,
Kitu kingine serikali au watu makini wakitaka kukuua it won't be this loud unapata Tu ajali kama wangwe au unakutwa umejiua na kesi inafungwa,
Mytake: huu ni mchezo Fulani Tu tukae tuone who'll win

Sent using Jamii Forums mobile app

Walijua wameshammaliza nilikuwa na Visasi kama mbili au zaidi ambazo zililengwa kichwa na kifua,ila wapigaji Hawa kuwa faster kwani walipotoa silaha kwa dirishani Lissu na dereva walishawaona wakainamisha kitu.

Ni issue ya timing tu na Nyumba wako yuko wapi at that time.Ingekuwa mapenzi ya Mungu aondoke muda huu tungekuwa msibani.

Aliyetumwa kaacha nyuma alama ambazo mwisho wa siku zinarudi kwa.aliyewtauma
 
Magufuli + makonda wauaji

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Ila kusema kweli DAB ni zaidi nafikiri mikakati yote ndie mhusika. Nasikitika sana kijana mbichi kiasi kile anahusika kikubwa na haya ma....tu....ki..o eeeh M/Mungu muongoze siyo tu kulia madabahuni bali umtoe roho mbaya ya ukatili

Sent using Gwikereghe S33
 
Na mwingine nae anawaza tundu lissu na chadema wamejaribu kuzima habari ya ripoti ya alimasi kwa gharama ya maisha,mwingine anawaza lowassa ametaka kumuua kwa kuwa lissu anatishia nafasi ya ugombea urais na mwingine anawaza kutokana na matukio ya chadema dhidi ya zitto,chacha wangwe na kupotea kwa ben saanane na uongozi kukaa kimya,mwingine anawaza tundu lissu na fatuma karume kupanga njama za kulipua ofisi za imma ili kujipatia uungwaji mkono kama wanaonewa yote haya chadema wanahusika 100% wasitake kujitoa na wakati wanalijua labda mapuruzai wenye kuwashabikia ndio hawajui!
Vyovyote vile mtakavyolazimisha ila ukweli utatamalaki, always ukweli huwa haulazimishwi kama mnavyolazimisha uongo kuwa ukweli, mtashindwa kama mlivyoshindwa jaribio lenu la kumuua Lissu.
 
Ila kusema kweli DAB ni zaidi nafikiri mikakati yote ndie mhusika. Nasikitika sana kijana mbichi kiasi kile anahusika kikubwa na haya ma....tu....ki..o eeeh M/Mungu muongoze siyo tu kulia madabahuni bali umtoe roho mbaya ya ukatili

Sent using Gwikereghe S33
Makonda ananuka damu yule muda utasema
Hata kupotea kwa kina ben anahusika

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Ila kusema kweli DAB ni zaidi nafikiri mikakati yote ndie mhusika. Nasikitika sana kijana mbichi kiasi kile anahusika kikubwa na haya ma....tu....ki..o eeeh M/Mungu muongoze siyo tu kulia madabahuni bali umtoe roho mbaya ya ukatili

Sent using Gwikereghe S33
Siku utafongewa mkeo alafu utakuja hapa kumlalamikia Bashite!

......
 
Ndugu yangu hivi wewe unajua maana ya SMG? Ni silaha gani inaweza kupiga risasi 28-32 kwa kipindi kifupi tofauti na silaha zilizopo kwenye kundi la SMG. Tumia basi vichwa vyenu kuwaza baadala ya hayo makalio yenu.
Ndugu Zipo aina zaidi ya 100 za silaha aina ya Machine gun zikiwa zimegawanywa katika makundi 5
1 Light machine gun
2 General -purpose machine gun
3 Medium machine gun
4 Heavy machine gun
5 Squad automatic weapons
Na zote zinauwezo wa kupiga risasi mfululizo lakini si machine gun pekee ndizo zenye uwezo wa kutoa risasi nying kwa mfululizo zipo hata pistols (Glock) Mkuu Ng'wale taasisi pekee ya kufanya uchunguzi na upelelezi ni Police tu na taarifa ya preliminary investigation Mbowe aliipata wapi wakati hata Police hawajatoa statement je chadema kuna kitengo cha investigation?
 
Back
Top Bottom