Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
Wala usimhusishe mke wake, aende akampe washeli lake tu kama anamwona wa maana. Yaan opp inakufa natural death halafu wanaongelea urais 2020
 
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
we ni zaidi ya Jangili uliyemtaja we ni pimbi mkuu au kahaba wa makahaba,mwanadamu gani usiye na huruma kwa wenzio ina maana we umefurahia kujeruhiwa kwake,hivi angekuwa ni baba yako au mwanao ungeandika hivi kuna mikosi na lawama mnaitafuta wenyewe akili za darasani ziwasaidie kupambanua vitu.msitafute mikosi kwa bei chee.
 
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
Mkuu, busara na hekima ni kwa wateule wa Mola. Sio kila mtu anajaaliwa akili. Ulijaaliwa ujinga mtupu ndio maaana hata kuandika hujui!
 
Ni dhahiri aliyetoa baraka juu ya shambulizi lililotaka kumuua Tundu Lisu alikuwa na nia ya kupunguza wimbi zito la ushindani katika safari yake ya kisiasa 2020.
Kwa tunaofuatilia nature of the world na spiritual ethics tunafahamu kuwa unapolazimisha kufungua mlango kwa hila na mlango ukagoma kufunguka basi mmiliki wa mlango lazima atapata faida kwa attempt yako.
Napenda kusema hivi, wewe uliyetaka kumuua Lisu kuwa ile sababu iliyokufanya utake utoe uhai wake ili upite kiulaini anguko kubwa linakujia.
Uzi huu nitaufufua November 2020 baada ya Daudi kukaa mahali alipopanajisi Sauli.
Haya uliyetaka kumuua Lissu kazi unayo; watu wanatoa hoja za ulimwengu wa roho kwamba umeshajitafutia mgogoro wa bila lazima
 
Wakuu, Make JamiiForums Great Again!

Lengo la huu uzi ni kuzua mjadala wenye tafakari za kina kwa nia ya kutegua kitendawili cha ni akina nani hasa walihusika na shambulio la Tundu Lissu? Swali hili na uzi kwa ujumla vina nia ya dhati kutegua vitendawili vifuatavyo:

1. Kwa nini Tundu Lissu alishambuliwa? Lengo la mashambulizi dhidi ya Lissu lilikuwa ni nini?

2. Je, mazingira ya kushambuliwa kwa Tundu Lissu yanaweza kutupa picha ya wahusika? Je, mazingira ya tukio yanamfanya nani (akina nani) kuwa "suspect" wa shambulio?

3. Ni akina nani waliratibu shambulio?

4. Ni akina nani walitekeleza shambulio?

5. Ni akina nani walifadhili shambulio?

6. Ni akina nani walihalalisha shambulio?

6. Ni akina nani walifaidika kutokana na shambulio?

Maswali ya ziada:

7. Je, vyombo vya dola nchini Tanzania vimechukulia shambulio la Tundu Lissu kwa uzito unaostahili na kufanya uchunguzi kwa nia ya dhati ya kukamata msururu wa wahusika?

8. Mpaka sasa hivi hakuna matokeo yoyote hata dokezo tu kuhusu uchunguzi wa awali kama ambavyo tumezoea kusikia kutoka vyombo vya dola kwa matukio mengine mengi, je, vyombo vya dola vimezuiwa kufanya uchunguzi? Je, vyombo vya dola ni sehemu ya 1-6 kwa hiyo haiwezekani kujichunguza wenyewe?

9. Je, inawezekana kabisa hakuna uchunguzi wowote uliofanyika/unaofanyika na swala la kushambuliwa Tundu Lissu limewekwa kando? Kwa nini?

10. Kwa mazingira ya tukio la kushambuliwa Tundu Lissu, ni vigumu kiasi gani kwa vyombo vya dola kuwabaini wahusika? Je, vyombo vya dola kushindwa mpaka sasa hivi kuwabaini wahusika, ni uzembe au makusudi?

11. Je, iwapo itabainika baadaye chini ya uchunguzi huru kuwa katika tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu viongozi wakubwa na wenye dhamana ya kulinda usalama na maisha ya raia tena kwa viapo walihusika, je, mustakabali wa Taifa la Tanzania utakuwa nini? Je, ni adhabu gani itawafaa wahusika?

Nina uhakika kuwa iwe leo, kesho, mwakani au mwaka 2020 waliomshambulia Tundu Lissu watafahamika kwa majina na picha hata kama watakuwa wamekufa. Lazima uelewe jambo moja, katika mtiririko wa maswali, 1-6, watu wabaya zaidi ni wale waliofadhili, kuratibu na kuhalalisha shambulio. Wale walioshambulia huenda ni watu waliotakiwa kufanya hivyo kwa lazima tena wakiwa na machaguo 2: wamshambulie Lissu au wauawe wao wenyewe.
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli
Screenshot_20180807-082111~2.jpg
Screenshot_20180807-082111~2.jpg
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Day Light Dreaming
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Yajayo yanafurahisha!
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Kwanini nyinyi CCM na serekali yenu Chini ya Jiwe msimshtaki kwa kudhamiria kuua?
 
Back
Top Bottom