Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
stupid mind! nani aliondoa CCTV camera, nani aliondoa walinzi? nani alimfukuza ubunge, nani alikataa kumlipia matibabu. Stupid mind! Chawa mbwa, kupe shetani
Hata jitihada hafifu tu ya kujiondoa kwenye uhusika na tendo hilo ilikuwa ngumu sana kwa Magufuli kuifanya.
Hiyo ndiyo roho mbaya ya ajabu sana aliyokuwa nayo mtu huyo.

Ni vigumu sana kwamtu mmoja kuwa na pande mbili zilizoonyesha kupingana katika mtu huyo huyo mmoja.
Upande mmoja kuwa mtetezi wa wanyonge, kwa huruma kubwa; na upande mwingine kuwa mtu mwenye visasi na chuki kwa wale wanaokosoa matendo yake, hata juu ya vitu vya kipuuzi kama kuhojiwa tu kwa Ph.D.? Unaamua kumpoteza kijana moja kwa moja?
Si akheri hata angemweka jela tu hadi amalize mhula wake wa uongozi?

Magufuli alikuwa na upande mzuri, lakini ubaya wake hauwezi kufutika.
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Ukiandika hivyo tu basi wote tuamini na kuanza kulia kwa kwikwi?Ongezea ukweli zaidi uaminike.
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Maneno ya mkoswaji haya.
 
Hivi Karibuni Tundu Lissu ameanza kumpenda hadharani Raisi Magufuli.

Sio bahati mbaya , na wengine wanaweza kudhani ni kwa sababu anataka kuungwa mkono na wafuasi wa JPM kwenye harakati zake za Uraisi.

Ukweli ni kuwa JPM hakutoa Order ya Lissu kushambuliwa 10000% , Hayati Magufuli aliponzwa na kauli zake alizozitoa muda mfupi kabla ya Lissu kushambuliwa.

Huelewi bado?

Iko hivi, kuna viongozi waandamizi kadhaa walisuka ramani vizuri , viongozi hao waliwahi kumfadhiri Lissu ,kivipi?
Kwa wasiojua ,wapinzani wengi hulipwa na chama tawala kupush agenda muhimu kwa masilahi flani hivi
wenye kujua watanielewa.

Waandamizi hao walitaka wamekosanishe Hayati Magufuli to the highest level na wananchi , waka organize madhira yaliyompata Lissu, too late Lissu amekuja kujua waliomfanyia hivyo ni wafadhili wake wa muda mrefu , mpaka sasa Lissu anatamani hata kesho akalie kwenye kaburi la Hayati Magufuli.

Na wale aliowaona wazuri kwake amegungua ndio waliokua nyuma ya madhira yake.

Ama kweli dunia ina mambo, acha dunia ifunuke ukweli uzidi kuonekana.

Narudia tena Lissu hajaujua vyema ukweli , kitambo kidogo atajua kila kitu na huenda atazimia
Si kweli, Nduli ndiye aliyetoa order ya kuuwawa Tundu Lissu
 
TumainiEl aliwahi andika kuwa operation za awamu ya tano zilikia ni maamuzi ya kitengo sio ya jpm moja kwa moja!

Kwamba kuna maamuzi ya jiwe na maamuzi ya kitengo hakuna kilichofanyika bila kitengo kujua au go ahead ya kitengo!!!

Tusubiri!!!

Mi ninachojiuliza kama kweli awamu ya tano ingedhamiria Lisu aende angeenda kwa vyovyote vile wasinge delay HADI apone tena na kurudi!!!

Kama kweli angekua adui wa Taifa HADI leo asingekuwepo!!!

Hivyo tu nadhani!!!
Wangedhamiria mara ngapi?Ya Mungu siyo ya binadamu.
 
Acha kupindisha kona hapa nimekukamata.
Kwamba Mwendakuzimu hakuwa Muuaji ?
Na sio yeye aliyefanya Jaribio la Kihuni lilipo fail, kutaka Kumuua Lissu?
Sio huyu Mwendakuzimu alikataza wabunge wa CCM kwenda Nairobi Kumjulia Hali Lissu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu ilikataa kutoa stahiki Kwa Lissu za Matibabu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu iliyokataa kufanya uchunguzi wa tukio la Kihuni na la Kioga la kutaka Kumuua Lissu ?
 
Kwamba Mwendakuzimu hakuwa Muuaji ?
Na sio yeye aliyefanya Jaribio la Kihuni lilipo fail, kutaka Kumuua Lissu?
Sio huyu Mwendakuzimu alikataza wabunge wa CCM kwenda Nairobi Kumjulia Hali Lissu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu ilikataa kutoa stahiki Kwa Lissu za Matibabu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu iliyokataa kufanya uchunguzi wa tukio la Kihuni na la Kioga la kutaka Kumuua Lissu ?
Sio yeye. Ushahidi unao!?
hv unajua wazushi kama ww ndio wataanza kuchomwa moto kabla ya wadhambi wote
 
Kwamba Mwendakuzimu hakuwa Muuaji ?
Na sio yeye aliyefanya Jaribio la Kihuni lilipo fail, kutaka Kumuua Lissu?
Sio huyu Mwendakuzimu alikataza wabunge wa CCM kwenda Nairobi Kumjulia Hali Lissu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu ilikataa kutoa stahiki Kwa Lissu za Matibabu ?
Sio Serikali ya Mwendakuzimu iliyokataa kufanya uchunguzi wa tukio la Kihuni na la Kioga la kutaka Kumuua Lissu ?
Na ikamfuta Ubunge kwa kisingizio kuwa haijui Tundu Lissu aliko,swine kabisa.
 
Back
Top Bottom