The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Unamleta duniani kiumbe ambacho hujakiandalia future yake, huwezi hata afford basic need zake na hapo hapo wewe kwanza huna future mpaka wakati huo unamleta dunia hii, hivi utaweza mjengea future mtoto wako wakati wewe mwenyewe huna future!! That's impossible
Dunia hii chanzo cha haya matatizo yote yanaleta na wazazi wasiojua nini maana ya uzazi wa mpango
Dunia hii chanzo cha haya matatizo yote yanaleta na wazazi wasiojua nini maana ya uzazi wa mpango