Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Lissu anaropoka mambo ambayo serikali imeshayatolea ufafanuzi mara kwa mara na kutokana na angalizo ambalo serikali imelipata kutoka kwa madaktari wake tunaomba na wananchi wampuuze ni mgonjwa.Kwahiyo wamasai hawakufukuzwa ngorongoro na mbuga kupewa waarabu?
Kwamba bandari zetu ni issue ya Muungano, iweje bandari za bara wapewe wageni, za Zanzibar zisiguswe?
Matokeo ya Urais 2020 kituo Kwa kituo, hayapo kwenye website ya Tume ya Uchaguzi, ni Kweli au Si Kweli?
Kati Yako na Lissu na wewe, nani yafaa apuuzwe?
mbona mnashinikiza mtu mwenye matatizo ya kimwili na kisaikolijia apate matatizo zaidi ndrugu zango lakini, muwe na huruma wajemeni basi πKwahiyo wamasai hawakufukuzwa ngorongoro na mbuga kupewa waarabu?
Kwamba bandari zetu ni issue ya Muungano, iweje bandari za bara wapewe wageni, za Zanzibar zisiguswe?
Matokeo ya Urais 2020 kituo Kwa kituo, hayapo kwenye website ya Tume ya Uchaguzi, ni Kweli au Si Kweli?
Kati Yako na Lissu na wewe, nani yafaa apuuzwe?
Madaktari hao ni wale kina Janabi?Lissu anaropoka mambo ambayo serikali imeshayatolea ufafanuzi mara kwa mara na kutokana na angalizo ambalo serikali imelipata kutoka kwa madaktari wake tunaomba na wananchi wampuuze ni mgonjwa.
Wewe ni Me au Ke,mbona mnashinikiza mtu mwenye matatizo ya kimwili na kisaikolijia apate matatizo zaidi ndrugu zango lakini, muwe na huruma wajemeni basi π
Madaktari kutoka Nairobi hospital na Ubelgiji alipopewa hifadhi ya kuishi.Madaktari hao ni wale kina Janabi?
Ila muda mwingine ni uoga pia. Maana pakiwa na hoja mnazoona ni nyepesi, Kila mmoja atajitokeza kujibuinaweza kua katika mbinu na hisabati ya siasa,
kwani mbaya iko upande gani hoja yako ikipuuzwa na ukuanza kubabaika na kuhangaika mwenywe physically and mentally, that is science in politics π
Kulitokea nini Hadi mbunge wa JMT Akaenda kutibiwa Nairobi Kwa gharama zake?Madaktari kutoka Nairobi hospital na Ubelgiji alipopewa hifadhi ya kuishi.
by the way,Ila muda mwingine ni uoga pia. Maana pakiwa na hoja mnazoona ni nyepesi, Kila mmoja atajitokeza kujibu
π€£π€£ athari za ubaguzi zimeanza kujionyesha mapema namna hii dah...Wewe ni Me au Ke,
Nijibu Hilo tafadhali Ili nikujibu ipasavyo.
Kuomba kujua ikiwa u ME au KE kabla ya kukujibu ni ubaguzi?π€£π€£ athari za ubaguzi zimeanza kujionyesha mapema namna hii dah...
na bado ndio kwanza picha linaanza. roho ya ubaguzi haijawahi kumwacha mtu salama ππ
Alivamiwa na majambazi inasemekana kulikua na ugomvi wa kugombea nafasi ya mwenyekiti.Kulitokea nini Hadi mbunge wa JMT Akaenda kutibiwa Nairobi Kwa gharama zake?
Tatizo lilikuwa nini Hasa?
Kwahiyo Mbunge wa JMT akivamiwa na Majambazi pale Dom area D, anatibiwa Kwa pesa yake mfukoni nje ya Nchi?Alivamiwa na majambazi inasemekana kulikua na ugomvi wa kugombea nafasi ya mwenyekiti.
Unasikitisha sana mkuu. Ukipata muda rudia kusoma ulichoandika, na kama kina akisi yaliyomo kichwani mwako, basi safari uliyonayo ni ndefu or la, achana na mijadala critical.by the way,
kusema ukweli lisu hana hoja hata kidogo, na ndio maana hata chairman wake Taifa anakwepa kuambatana nae coz hachelewi kudaivert directions za chama kwa manufaa yake binafsi kwa kuibua vihoja visivyokua na mashiko wala maana yoyote kwa chama chake na taifa kwa ujumlaπ
thus why ni mercenaries ndio pekee wako pamoya na huyo puppet , waandamizi wenzie wametulia tuli, kama hawaoni kitu vile π
Ili kupata majibu rejea Katiba ya JMT. Huko, ukiwa na macho yanayoona utaona majibu kwa uwazi. Nilidhani watu wangedai na kuchukua za kuuvunja muungano, lkn hili hawalifanyi kwani wanatamani kuiona Zanzibar na Wazanzibari wakiwa ni watawaliwa wa Tanganyika asilimia mia moja lkn hawatofanikiwa.Kama Yaliisha Naomba Unijibu Hili swali Mkuu!
Kwanini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hana Usemi Zanzibar???
Kwanini waziri wa Afya wa JMT hana usemi Zanzibar??
Kashindwa kuongoza huko Chadema hadi leo ayatollah aboubakar kawa mwamba wake wa maisha ataweza kuongoza Nini huyo mbwatukaji?Risasi zilishashindwa,
Ikiwa wameshindwa kumjibu Kwa HOJA,
Apewe kuongoza, hakuna namna.
Katiba Zote nimezisoma na naweza kuzitamka kwa Moyo pia..Ili kupata majibu rejea Katiba ya JMT. Huko, ukiwa na macho yanayoona utaona majibu kwa uwazi. Nilidhani watu wangedai na kuchukua za kuuvunja muungano, lkn hili hawalifanyi kwani wanatamani kuiona Zanzibar na Wazanzibari wakiwa ni watawaliwa wa Tanganyika asilimia mia moja lkn hawatofanikiwa.
Pale Mtanganyika kutoka Tanganyika isiyoonekana anapokuwa rais na kuwa na madaraka juu ya Zanzibar na Wazanzibari kwao sio Tatizo, ila Mzanzibari kutoka Zanzibar inayoonekana anapokuwa rais na kuwa na madaraka juu ya Tanganyika na Watanganyika, kwao ni tatizo. Huu ni ugonjwa. Mungu awaponye. Dawa ya hili ni kuuvunja huu muungano, kwahivyo, fanyeni hivyo ili hii fitna iondoke. Tuwache kulialia kiuongouongo.
Mkuu Hilo umedanganya..by the way,
kusema ukweli lisu hana hoja hata kidogo, na ndio maana hata chairman wake Taifa anakwepa kuambatana nae coz hachelewi kudaivert directions za chama kwa manufaa yake binafsi kwa kuibua vihoja visivyokua na mashiko wala maana yoyote kwa chama chake na taifa kwa ujumlaπ
thus why ni mercenaries ndio pekee wako pamoya na huyo puppet , waandamizi wenzie wametulia tuli, kama hawaoni kitu vile π
political statements has no impacts at all. haina maana yeyote mtu azire, akatae au akubali mtanzamo na maoni kinzani, linabaki ni suala la kisiasa tu πUnasikitisha sana mkuu. Ukipata muda rudia kusoma ulichoandika, na kama kina akisi yaliyomo kichwani mwako, basi safari uliyonayo ni ndefu or la, achana na mijadala critical.
sasa naona unataka kuhamisha mijadala πMkuu Hilo umedanganya..
Maana Hoja aliyosema Lissu na Mbowe Kaisema siku hiyo hiyo so huenda ni Hoja ya Chama Chao usiwatetee..
Kuhusu Hoja ya Lissuu kuzungumzwa sana kuliko ya Mbowe ni kwa sababu Lissu ana ushawishi Mkubwa kuliko mbowe
View attachment 2978110
Video hii hapa
View attachment 2978111
Huo ndo ukweli Chadema Huwa hawataki kuukubali..sasa naona unataka kuhamisha mijadala π
unasema ati nani ana ushawishi kuliko nani ?π
umepigaje apo π