Siamini kama AG hawezi kumjibu Lissu,
Labda Yuko bussy na majukumu.
... Hili lipo wazi, ila mpaka Watanganyika tuamke!Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..
Muungano hata kama ulionekana unafaa enzi hizo sasa imepitwa na wakati. Kumbuka USSR wakatii hua ila baadaye ilibidi isambaratike. Muungano huu jinsi ulivyo lazima utasambaratika
TakatakaπΉπΏ Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
πΉ Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
πΉ Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
πΉ Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
πΉ Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
πΉ Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
π΅ Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
πΉ Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Lissu anaropoka. Kuna busara ya kumjibu mropokaji?Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuniπ
CCM wanamtegemea Lucy Mwashambwa amjibu Tundu LissuSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuniπ
Tena Kiwango cha SGRTakataka
Huo mdahalo utaivua nguo Serikali nzima.Sioni kichwa hata kimoja cha kumjibu Tundu Lisu.Watakuja na 'mipasho' na ngonjera za kumsifia mama yao.Nchi hii Pana wasomi wengi,
Ungeitishwa mdahalo, waitwe viongozi wenye weledi kuhusiana na masuala hayo ya kisheria na kikatiba, Lissu aalikwe zijadiliwe HOJA hizo muhimu,
Uchaguzi umekaribia, wananchi wangependa kuwajua viongozi wanaoijua Katiba na Sheria za Nchi yetu Ili wapewe kuongoza.
Nasubiri msululu wa watakaojitokeza Kumjibu TLSasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?
Au nawewe ni mmojawapo walioshiriki kumshambulia?
Uwezo wenyewe wanao?Huko Serikalini hakuna mwenye uthubutu na hoja za kumjibu Tundu Lisu.Wote wapo kwenye 'mradi wa hovyo' wa kumsifu huyo anayeitwa mama.Wengi ni wanafiki ili kulinda mkate wao.
We jamaa upo? Umepoa sana KakaKumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Sasa wewe ndo umendika nini , elewa Muungano uwepo ila Tanganyika ya watu iludi kama sivyo Zanzibar ife pia tuwe na serikali mojaπΉπΏ Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
πΉ Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
πΉ Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
πΉ Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
πΉ Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
πΉ Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
π΅ Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
πΉ Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Nimecheka kijinga sana ,ccm imejaa vijana wengi wenye laanaLucas anapendekeza CHADEMA ifutwe,
Nae upeo wake ndipo ulipoishia.
this very able government under very able leader Comrade Dr Samia Suluhu Hassan, can never ever walk into mercenaries and puppets traps. I can confirm to you publics, without fear of contradictions πLabda huelewi maana ya kupuuza. Setikali haijapuuza bali imeshindwa kujibu hoja za Lisu. Nape ametoa kauli tayari, na kauli zake zimeashiria utupu wa hoja. Hii ina maana Serikali haijaluuza bali haina jibu lenye mantiki. Hivyo hoja za Lisu zinaendelea kusimama.
naona umerudia tu nilichokujibu kwa kifupi sana kwenye first reply yangu dhidi maswali yako ya mawili madogo ya msingi .....Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..
Ukisoma vizuri mkataba wa Muungano utaona kuwa Waziri Mkuu ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya muungano kwa upande wa Zanzibar. Kama ilivyo Rais wa Zanzibar hana
mamlaka huku bara vile vile Waziri Mkuu hana mamlaka yeyote kule Zanzibar
Mkataba wa Muungano ndio rejea pekee la masuala ya muungano. Articles of the Union zimeanzisha Mamlaka 3, Mambo ya Muungano chini ya Rais wa Muungano, mambo yasiyo ya Muungano kwa Tanganyika chini ya msaidizi mkuu
wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa makamu wa pili wa Rais...
na mwisho ni mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar ambaye ni msaidizi mkuu wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais. Waziri Mkuu wa Tanzania ndiye huyo makamu wa pili wa 1964.
Baadaye Ndo kikafutwa Cheo cha Makamu wa Pili wa Muungano Kikaanzishwa Cheo cha Waziri Mkuu na kikaanza kutiliwa Mkazo...
Ila bara..tuna mengi ya kujilaumu.Kuna mamtu ya Tanganyika, tena yako Sumve 2015 ndani ndani mwa Wilaya ya Kwimba, yanasema eti Lissu apuuzwe.
Kenya na Zanzibar hakuna watu wajinga wa hivyo. Viumbe hao unawapata Tanzania Bara tu.
Ila umeandika upuuzi sanaπΉπΏ Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
πΉ Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
πΉ Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
πΉ Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
πΉ Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
πΉ Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
π΅ Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
πΉ Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
kwa kadri ccm wanavyompuuza basi watanzania wengi wanamwelewa mwamba Lissuni ya kupuuza kabisa, kwasababu tayari mambo hayo yaliisha kwa mujibu wa sheria
baki na maoni na mtazamo wako mwenyewe lakini athari za ubaguzi zitabainika kwenye debe kwa wakati muafaka πkwa kadri ccm wanavyompuuza basi watanzania wengi wanamwelewa mwamba Lissu